Luaga Mpina, mbunge wa Kisesa sifa za kijinga na kutafuta cheap popularity zimekuponza

Luaga Mpina, mbunge wa Kisesa sifa za kijinga na kutafuta cheap popularity zimekuponza

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
 
Umekunywa chai? Na vipi Wazazi wako kule Bushi wamekunywa Chai au Chau ni anasa kwao kutokana na sera mbovu za CCM?

huyo Bashe unaye mtetea anakujua? anawajua wazazi wako wanao teseka kule bushi kwa sababu ya CCM?

Sakata la Sukari unazania limeanza leo? Upigaji unazania umeanza leo?

Kizazi cha kujipendekeza na kujikomba ni kizazi cha hivyo sana na evolution yake ni kwenda kushikishwa ukuta.
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Huna akili wee

Ova
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Uboya amefutwa kwenye ramani za siasa? ujinga ujinga, afutwe na nani? Ok chukulia kafutwa unazania life lako kitabadilika?
Unaweza kuta umetoka kuoiga vitumbua na chai ya rangi then unakuja kuandika uharo humu

Hebu tuonyeshe hapa life lako na ukoo wako litakavyo badilika baada ya Mpina kufutwa kwenye Siasa.
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Kilichoongea ni njaa siyo akili. Ungejua nia yake ya dhati ya kufanya jamii itambue madudu yanayotendwa usingemlaumu, hata hivyo Mpina hakuzaliwa kuwa katika ramani ya siasa kwa maisha yake yote. Kama bado wananchi wake wanamhitaji, huwezi kumfuta!! Tanzania ni nchi ya kidemokrasia popote ataenda na bungeni ataingia.
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Nafikiri umetumwa kuja kupima nguvu ya umma jukwaani ila huyo bashe wako ni mwizi na spika ni muhuni ushahidi alipewa na akataka kuukalia mpina ni very smart amewashtaki kwa wananchi, bashe alitakiwa tangu juzi aite waandishi huku barua ya kujiudhulu ikimfikia raisi kabla hakwea pipa kwenda SA!
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
we utakuwa mmoja wa wale wanaotumia puru sungilo kupitishia pombe
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Baada ya Kamati ya Kamati ya Maadili utagundua kwamba Mpina amefanya kazi kubwa
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Mafisadi na chawa wa watawala mumechafukwa kweli kweli
 
suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara asee hapa umekosea wana kilwa,wana unesco wana utalii
 
Back
Top Bottom