Luaga Mpina, mbunge wa Kisesa sifa za kijinga na kutafuta cheap popularity zimekuponza

Luaga Mpina, mbunge wa Kisesa sifa za kijinga na kutafuta cheap popularity zimekuponza

Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Huna lolote.


MPINA shikilia hapohapo, haya majizi mpaka yaabike.



Shahidi alizotoa Mpina, hamna ya kughushi.


Nyambafu
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Vyote unavyofanya wewe kama chawa na wanaokulipa ni kama headline yako inavyosema. "Wewe, Tulia,SSH ndio mnatafuta sifa za kijinga hampo upande wa Wananchi, maslahi ya Taifa".
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Acha ujinga wewe chawa mpumbavu!!!
 
Washirika wa mafisadi naona leo mko fasta kufungua nyuzi za kumshambulia Mpina. Ama kweli mafisadi yana umoja.
 
Washirika wa mafisadi naona leo mko fasta kuifungua nyuzi za kumshambulia Mpina. Ama kweli mafisadi yana umoja.
Mpina kachokoza mzinga wa nyuki.
Tutajifunza mengi sana kutokana na jambo hili.
 
Mpina kawashika Mapaimbu, anachofanya ni kubinya tu kidogo vinasikika vilio vya Yalaaaa!
 
Nafikiri umetumwa kuja kupima nguvu ya umma jukwaani ila huyo bashe wako ni mwizi na spika ni muhuni ushahidi alipewa na akataka kuukalia mpina ni very smart amewashtaki kwa wananchi, bashe alitakiwa tangu juzi aite waandishi huku barua ya kujiudhulu ikimfikia raisi kabla hakwea pipa kwenda SA!
Kama hadi Kipara mwenyewe unakubali Nondo za Mpina mi nani nipinge.
 
Mpina aliuliza katika ile ripoti wewe uko mkoa gani na wilaya gani ambayo mlinunua sukari elfu 10...ndo yaleyale anayo shutumiwa Bashe kudanganya bunge mara 18 na wewe unakuja kutudanganya hapa. Wananchi siyo wajinga kama mnavyodhani. Mpina kauliza maswali magumu mnajitokeza na majibu mepesi.
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
⚖️Justice for Asimwe#
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Waovu Mna jitetea.Mazwazwa nyie.
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Kuwa Mzalendo kwa Nchi yako, kataa rushwa na dhuluma, tetea haki, usawa na utawala bora kwa maslahi ya Taifa
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Pumbavu kabisa wewe, kama Bashe kakutuma mwambie wamekataa
 
Wewe ni mbunge mzoefu sana bungeni, unajua utaratibu wa bunge wala sihitaji kuiufundisha, umekuwa Waziri kwa vipindi tofauti, watu wa Kilwa Kivinje wana hasira sana na ww ulipoenda kukamata nyavu zao na kuzichoma, enzi hizo ukiwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Umepewa nondo feki na wafanyabiashara ili ukamchafue, Bashe yuko smart sana bro, sisi tuliokuwa uraiani tunajua katika serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mawaziri wanaopendwa na wananchi ni Bashe, Awesu, Silaa.Hawa bwana wameonyesha kuzimudu sana nafasi hizo, they are very professional.

Bashe alipotoa ufafanuzi bungeni kuhusu sukari najua wafanyabiashara mafisadi walikufuata na wakakupa data za mchongo ukazifyatue bila kufanya uchambuzi, hao wafanyabiashara waliokupa hiyo habari kuwa kampuni feki zimepewa tenda ya sukari kinyume cha utaratibu wamekupoteza.

Kiufupi umeyatimba, umefutwa kabisa katika ramani ya siasa kwa utoto ulioufanya.

Sisi tumeteseka sana na suala la sukari, tulikuwa tunanunua sukari kwa kilo efu 10, wafanyakazi waliopewa vibali vya kuingiza hawakuingiza kama serikali ilivyowataka, hata kama kampuni ya kubeba mabetri ilipewa kazi ya kuleta serikali mimi kwangu nilikuwa naona sawa tu.

Najua wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaoshirikiana na wanasiasa hawapendezwi na mafanikio ya serikali hii ya awamj ya sita ukiwemo wewe.

Kwani Mpina mbona ulikuwa na platform nyingi tu za kuaddress suala hilo kuliko utoto ulioufanya wa kuita vyombo vya habari ukijifanya kuongea kwa kujiamini na suti yako hiyo kama gofu la Kilwa Songo Mnara.

Muda c mrefu bro Bunge litakuzawadia zawadi nzuuuuri
Who is this guy?
 
Mtoa post hana tofauti na uchafu wa maliwatoni

Nchi inateketezwa na mafisadi mbunge anafanya kazi yake ya kuweka uozo hadharani wewe ngumbaro unakuja kuharisha upumbavu apa
 
Back
Top Bottom