Lucas Mwashambwa na Yeriko Nyerere hawajapewa Tuzo yoyote huko kwa akina Mwijaku?

Lucas Mwashambwa na Yeriko Nyerere hawajapewa Tuzo yoyote huko kwa akina Mwijaku?

Lucas anadeserve Tuzo mbili

1. Best chawa of JF
2. JF Lowest IQ member

Ajitadhmini .
Umoja wa Chawa Tanzania (UCHATA) wanaomba serikali ya VEGGIES itambue mchango wao wa kujipendekeza kwa viongozi
 
hao jamaa washapata tuzo zao kitambo kama bado hawajapata serikali ilifanyie kazi
 
Back
Top Bottom