johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nauliza tu Hawa nguli Wawili wa JF Lucas Mwashambwa na Yericko Nyerere hawajapata Tuzo Leo?
Ni hilo tu 🐼
Ni hilo tu 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta hadi rindala Adriz lina chapa ya mama.Nimesikia mpk daftari zimeandikwa mama mitano Tena tunapoelkea watu watapigwa chapa za uso au kwenye kalio
Naona tunapoelekea mpaka nyumbn kwako kutaitwa samia
Unadhani Elon Musk anafanya nini ikulu ya America? 🐼Nimesikia mpk daftari zimeandikwa mama mitano Tena tunapoelkea watu watapigwa chapa za uso au kwenye kalio
Nauliza tu Hawa nguli Wawili wa JF Lucas Mwashambwa na Yericko Nyerere hawajapata Tuzo Leo?
Ni hilo tu 🐼
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuNimesikia mpk daftari zimeandikwa mama mitano Tena tunapoelkea watu watapigwa chapa za uso au kwenye kalio
Luca niazime Laki basi!Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Sina .Luca niazime Laki basi!
Ngoja apate Posho ya Kipaimara Leo 😄Luca niazime Laki basi!
Kwani haichagui dini?Hiyo Namba 2 apewe Malaria 2 😀
Dini Ndio nini Bwashee? 😀Kwani haichagui dini?
Umoja wa Chawa Tanzania (UCHATA) wanaomba serikali ya VEGGIES itambue mchango wao wa kujipendekeza kwa viongoziLucas anadeserve Tuzo mbili
1. Best chawa of JF
2. JF Lowest IQ member
Ajitadhmini .
Katika Bible waliojipendekeza Wote walifeli kuanzia LuciferUmoja wa Chawa Tanzania (UCHATA) wanaomba serikali ya VEGGIES itambue mchango wao wa kujipendekeza kwa viongozi