Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu hawa, yani mtu mzima unaenda kwa tuzo ya mwijaku ili iweje, kiongozi anaweza kwenda ni mwaliko ila pia walio andaa mwaliko huo kwa kiongonzi hawatakiwi one kana kwenye ofisiNauliza tu Hawa nguli Wawili wa JF Lucas Mwashambwa na Yericko Nyerere hawajapata Tuzo Leo?
Ni hilo tu 🐼
Hawezi kuwa nayo huyo,mpaka Paige porojo ndio apeweLuca niazime Laki basi!
🤣🤣Hawezi kuwa nayo huyo,mpaka Paige porojo ndio apewe
🤣🤣Ngoja apate Posho ya Kipaimara Leo 😄
Hata mimi lina chapa ya mama.
Kikuda 🐼Inawezekana kabisa hata huyo anayesifiwa Kuna wakati anatamani kuwaambia waache kumpa sifa za kikuda lakini protokali ya mbogamboga inamzuia.
HeheheNimesikia mpk daftari zimeandikwa mama mitano Tena tunapoelkea watu watapigwa chapa za uso au kwenye kalio
Ndiyo huko TangaHehehe
Ntumie elfu kumi nipate kula mchana nna njaa ndo tuendelee na hayo majiRais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Nii hela bruh hakuna mtu anayekaa na mtu asiye na kitu......Unadhani Elon Musk anafanya nini ikulu ya America? 🐼
Anatengeneza Chapa
hata mimi sina hela.Ntumie elfu kumi nipate kula mchana nna njaa ndo tuendelee na hayo maji
Anafanya biashara na Trump!! Trump is a deal maker kama Samia anavyouza bandari za Tanganyika!Unadhani Elon Musk anafanya nini ikulu ya America? 🐼
Anatengeneza Chapa
sasa Huna hela unafanya uchawa wa nn humu ? kama sio kupoteza muda?hata mimi sina hela.
Kwani wote waliomo humu wana hela wakati wote? Hata ATM zenyewe tu kuna wakati zinaishiwa hela .sasa Huna hela unafanya uchawa wa nn humu ? kama sio kupoteza muda?
Ndio maana inatumika hovyo na ccm kwasababu ya njaa yako!hata mimi sina hela.
Oya Sayngay tulia basi , you will regret Maarass