Lucas Mwashambwa una matumizi mabaya ya chuki

Lucas Mwashambwa una matumizi mabaya ya chuki

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, ndugu Lucas Mwashambwa, Sio bure kazi unazozifanya za kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zinaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye umetumwa na unalipwa hatufanyi kutoka rohoni, nikirejea uzi wako wa jana kuhusu Makamu Mwenyekiti wa Chadema ndugu Tundu Lissu kutumia majukwaa yasiyo kuwa imara ule uzi niliu copy na ku paste WhatsApp ili ni usome mstari kwa mstari nimesoma zaidi ya mara tatu nikagundua una tatizo sehemu maana una chuki ambazo hazina maana yoyote. Tundu Lissu anachokifanya ni kutoa elimu ya uraia kwa Wananchi na haijalishi anatumia Jukwaa la aina gani as long as elimu imewafikia Wananchi. Sasa ndugu Lucas Mwashambwa unapoonyesha chuki kwa mtu ambaye hakusaidii chochote hiyo ni matumizi mabaya ya chuki. Wewe hata hakujui na inawezekana huwa anakusoma tu humu Jamiiforums. Hilo liangalie CHUKI NI UCHAFU MOYO kosoa kwa kujenga hoja zenye tija Mkuu. Lengo la Lissu ni kutoa elimu sio kusimama kwenye majukwaa kama yanayotumiwa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala na anachokizungumza hakina tija wala manufaa kwa ustawi wa maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Na mwisho wa ule uzi wako unakisifia Chama cha Mapinduzi na Raisi kwa hoja nyepesi kama tissue yaani unachokifanya kusifia Chama Tawala ni sawa na kuisifia na kuishukuru ATM Machine kukupa hela pale unapoenda ku withdraw na wakati hizo ni hela ni za kwako. Hata kama unalipwa hebu jaribu kuwa unaandika hoja zenye mashiko maana umekuwa ni mtu mwenye kuandika vitu visivyo kuwa na tija katika ulimwengu wa watu wenye access ya taarifa mbalimbali hapa duniani.
Nawasilisha
 
Lucas Mwashambwa anaangalia vocha ilikotokea, Hana maadili Wala itikadi. Hata TLP wakimtumia vocha ya buku kumi atawatosa waliompa buku Saba.
Na sidhani Kama Kuna mtu anamchukulia serious huyu chawa uchwara. Ukiona mwanaume anamsifia mwanamme mwenzake kwa kazi nzuri ujue hapo Kuna Jambo.
 
Hawa jamaa wakishalipwa vijisenti wanaona kila mtu alie kinyume chao ni zuzu .
Ni mazuzu sana Mkuu jumapili iliyopita walikuwa wanapita kuandikisha majina, aisee kuna Dada tena ni mjumbe nilimpa makavu mpaka akanywea. Mama anatekeleza na mabango yapo kibao barabarani sasa mnapita kuchukua namba za NIDA au kama una Kadi ya Chama za nini. Nilimwambia hiyo 10,000 utatumia leo tu na shida zitaendelea kukunyoosha tu.
 
Mkuu Hawa vijana wa ccm huwa wanalipwa elfu 20 ili kusifia tu Hawa ni vijana wa hovyo sana Hawa ni chawa hawajui kesho Yao Itakuwa vp inasikitisha sana ndio maana wazungu wanatuona sisi ni nyani.We are failed nation
 
Mkuu Hawa vijana wa ccm huwa wanalipwa elfu 20 ili kusifia tu Hawa ni vijana wa hovyo sana Hawa ni chawa hawajui kesho Yao Itakuwa vp inasikitisha sana ndio maana wazungu wanatuona sisi ni nyani.We are failed nation
Kwa nini huwa wameweka nguvu kubwa kwenye kusifia? Kusifia kuna nguvu gani kwa kitu ambacho kinaonekana hata kwa macho tu kuwa hakipo sawa?
 
Ni mazuzu sana Mkuu jumapili iliyopita walikuwa wanapita kuandikisha majina, aisee kuna Dada tena ni mjumbe nilimpa makavu mpaka akanywea. Mama anatekeleza na mabango yapo kibao barabarani sasa mnapita kuchukua namba za NIDA au kama una Kadi ya Chama za nini. Nilimwambia hiyo 10,000 utatumia leo tu na shida zitaendelea kukunyoosha tu.
Tuna tatizo kubwa sana kuanzia ngazi ya malezi , la kutanguliza njaa mbele akili nyuma.
 
Naona wewe ndio una matatizo makubwa sana maana mimi nimewapa tahadhari kuwa ipo siku Makamu Mwenyekiti wenu ataanguka na kuumia vibaya sana kwenye vimeza vya kuuzia nyanya na vitunguu mnavyomuandalia na kumpandisha kutumia kama jukwaa. Ndio maana nikasema pia kuwa mtu mvivu wa kutumia akili hukimbilia majibu mepesi na marahisi yasiyohitaji akili. Sasa wewe kwa uvivu wako wa kutumia akili kama ambavyo amewahi kutanabaisha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere umekimbilia kusema kuwa nimeandika vile kwa chuki.

Ok basi endeleeni kumpandisha kwenye vimeza vyenu mnavyoshikizia na matofali chini. Siku yakitokea ya kutokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi ni wavivu sana na watu msiojielewa kabisa . Hivi hamuoni hata aibu kumpandisha Makamu Mwenyekiti kwenye meza ya nyanya? Yaani hata ACT wazalendo chama cha juz juzi kinawazidi akili?
 
Anaandika vitu vyepesi kuliko jamaa anayeandika uzi wa aya tatu?
 
Naona wewe ndio una matatizo makubwa sana maana mimi nimewaona tahadhari kuwa ipo siku Makamu Mwenyekiti wenu ataanguka na kuumia vibaya sana kwenye vimeza vya kuuzia nyanya na vitunguu mnavyomuandalia kutumia kama jukwaa. Ndio maana nikasema pia kuwa mtu mvivu wa kutumia akili hukimbilia majibu mepesi na marahisi yasiyohitaji akili. Sasa wewe kwa uvivu wako wa kutumia akili kama ambavyo amewahi kutanabaisha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere umekimbilia kusema kuwa nimeandika vile kwa chuki.

Ok basi endeleeni kumpandisha kwenye vimeza vyenu mnavyoshikizia na matofali chini. Siku yakitokea ya kutokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi ni wavivu sana na watu msiojielewa kabisa . Hivi hamuoni hata aibu kumpandisha Makamu Mwenyekiti kwenye meza ya nyanya? Yaani hata ACT wazalendo chama cha juz juzi kinawazidi akili?
Ukiwa hauna hoja jifunze kukaa kimya
 
Naona wewe ndio una matatizo makubwa sana maana mimi nimewapa tahadhari kuwa ipo siku Makamu Mwenyekiti wenu ataanguka na kuumia vibaya sana kwenye vimeza vya kuuzia nyanya na vitunguu mnavyomuandalia na kumpandisha kutumia kama jukwaa. Ndio maana nikasema pia kuwa mtu mvivu wa kutumia akili hukimbilia majibu mepesi na marahisi yasiyohitaji akili. Sasa wewe kwa uvivu wako wa kutumia akili kama ambavyo amewahi kutanabaisha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere umekimbilia kusema kuwa nimeandika vile kwa chuki.

Ok basi endeleeni kumpandisha kwenye vimeza vyenu mnavyoshikizia na matofali chini. Siku yakitokea ya kutokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi ni wavivu sana na watu msiojielewa kabisa . Hivi hamuoni hata aibu kumpandisha Makamu Mwenyekiti kwenye meza ya nyanya? Yaani hata ACT wazalendo chama cha juz juzi kinawazidi akili?
Tunapaswa kuwa na wanasiasa wenye hoja zenye uzito na sio wenye hoja za kimwijaku mwijaku sio kila mtu ni kilaza mkuu.
 
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, ndugu Lucas Mwashambwa, Sio bure kazi unazozifanya za kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zinaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye umetumwa na unalipwa hatufanyi kutoka rohoni, nikirejea uzi wako wa jana kuhusu Makamu Mwenyekiti wa Chadema ndugu Tundu Lissu kutumia majukwaa yasiyo kuwa imara ule uzi niliu copy na ku paste WhatsApp ili ni usome mstari kwa mstari nimesoma zaidi ya mara tatu nikagundua una tatizo sehemu maana una chuki ambazo hazina maana yoyote. Tundu Lissu anachokifanya ni kutoa elimu ya uraia kwa Wananchi na haijalishi anatumia Jukwaa la aina gani as long as elimu imewafikia Wananchi. Sasa ndugu Lucas Mwashambwa unapoonyesha chuki kwa mtu ambaye hakusaidii chochote hiyo ni matumizi mabaya ya chuki. Wewe hata hakujui na inawezekana huwa anakusoma tu humu Jamiiforums. Hilo liangalie CHUKI NI UCHAFU MOYO kosoa kwa kujenga hoja zenye tija Mkuu. Lengo la Lissu ni kutoa elimu sio kusimama kwenye majukwaa kama yanayotumiwa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala na anachokizungumza hakina tija wala manufaa kwa ustawi wa maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Na mwisho wa ule uzi wako unakisifia Chama cha Mapinduzi na Raisi kwa hoja nyepesi kama tissue yaani unachokifanya kusifia Chama Tawala ni sawa na kuisifia na kuishukuru ATM Machine kukupa hela pale unapoenda ku withdraw na wakati hizo ni hela ni za kwako. Hata kama unalipwa hebu jaribu kuwa unaandika hoja zenye mashiko maana umekuwa ni mtu mwenye kuandika vitu visivyo kuwa na tija katika ulimwengu wa watu wenye access ya taarifa mbalimbali hapa duniani.
Nawasilisha
Mwehu huyo anaweza kukuaminisho Kuna chooni ni chumbani panafaa kulala
 
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, ndugu Lucas Mwashambwa, Sio bure kazi unazozifanya za kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zinaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye umetumwa na unalipwa hatufanyi kutoka rohoni, nikirejea uzi wako wa jana kuhusu Makamu Mwenyekiti wa Chadema ndugu Tundu Lissu kutumia majukwaa yasiyo kuwa imara ule uzi niliu copy na ku paste WhatsApp ili ni usome mstari kwa mstari nimesoma zaidi ya mara tatu nikagundua una tatizo sehemu maana una chuki ambazo hazina maana yoyote. Tundu Lissu anachokifanya ni kutoa elimu ya uraia kwa Wananchi na haijalishi anatumia Jukwaa la aina gani as long as elimu imewafikia Wananchi. Sasa ndugu Lucas Mwashambwa unapoonyesha chuki kwa mtu ambaye hakusaidii chochote hiyo ni matumizi mabaya ya chuki. Wewe hata hakujui na inawezekana huwa anakusoma tu humu Jamiiforums. Hilo liangalie CHUKI NI UCHAFU MOYO kosoa kwa kujenga hoja zenye tija Mkuu. Lengo la Lissu ni kutoa elimu sio kusimama kwenye majukwaa kama yanayotumiwa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala na anachokizungumza hakina tija wala manufaa kwa ustawi wa maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Na mwisho wa ule uzi wako unakisifia Chama cha Mapinduzi na Raisi kwa hoja nyepesi kama tissue yaani unachokifanya kusifia Chama Tawala ni sawa na kuisifia na kuishukuru ATM Machine kukupa hela pale unapoenda ku withdraw na wakati hizo ni hela ni za kwako. Hata kama unalipwa hebu jaribu kuwa unaandika hoja zenye mashiko maana umekuwa ni mtu mwenye kuandika vitu visivyo kuwa na tija katika ulimwengu wa watu wenye access ya taarifa mbalimbali hapa duniani.
Nawasilisha


Mwacheni. Dogo hana kazi. Hajawahi pata teuzi. Anashikishwa tu na watu mbalimbali ukuta kumsupport. Mwacheni mnataka aishi vipi? Watu wa maana hata ndani ya CCM wamemdharau. Sasa hivi anajisogeza kwa Kafulila baada ya Makonda kumtema. Ingawa kuna kipindi akizidiwa tena anamtafuta Makonda ampe kitu. Ndo kaamua kuishi hivyo mwacheni.
 
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, ndugu Lucas Mwashambwa, Sio bure kazi unazozifanya za kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zinaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye umetumwa na unalipwa hatufanyi kutoka rohoni, nikirejea uzi wako wa jana kuhusu Makamu Mwenyekiti wa Chadema ndugu Tundu Lissu kutumia majukwaa yasiyo kuwa imara ule uzi niliu copy na ku paste WhatsApp ili ni usome mstari kwa mstari nimesoma zaidi ya mara tatu nikagundua una tatizo sehemu maana una chuki ambazo hazina maana yoyote. Tundu Lissu anachokifanya ni kutoa elimu ya uraia kwa Wananchi na haijalishi anatumia Jukwaa la aina gani as long as elimu imewafikia Wananchi. Sasa ndugu Lucas Mwashambwa unapoonyesha chuki kwa mtu ambaye hakusaidii chochote hiyo ni matumizi mabaya ya chuki. Wewe hata hakujui na inawezekana huwa anakusoma tu humu Jamiiforums. Hilo liangalie CHUKI NI UCHAFU MOYO kosoa kwa kujenga hoja zenye tija Mkuu. Lengo la Lissu ni kutoa elimu sio kusimama kwenye majukwaa kama yanayotumiwa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala na anachokizungumza hakina tija wala manufaa kwa ustawi wa maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Na mwisho wa ule uzi wako unakisifia Chama cha Mapinduzi na Raisi kwa hoja nyepesi kama tissue yaani unachokifanya kusifia Chama Tawala ni sawa na kuisifia na kuishukuru ATM Machine kukupa hela pale unapoenda ku withdraw na wakati hizo ni hela ni za kwako. Hata kama unalipwa hebu jaribu kuwa unaandika hoja zenye mashiko maana umekuwa ni mtu mwenye kuandika vitu visivyo kuwa na tija katika ulimwengu wa watu wenye access ya taarifa mbalimbali hapa duniani.
Nawasilisha
Luca ni mwanasesere "Eunice"!Anamung'unya issues bila tafakari yoyote.
 
Back
Top Bottom