Lucas Mwashambwa una matumizi mabaya ya chuki

Lucas Mwashambwa una matumizi mabaya ya chuki

Naona wewe ndio una matatizo makubwa sana maana mimi nimewapa tahadhari kuwa ipo siku Makamu Mwenyekiti wenu ataanguka na kuumia vibaya sana kwenye vimeza vya kuuzia nyanya na vitunguu mnavyomuandalia na kumpandisha kutumia kama jukwaa. Ndio maana nikasema pia kuwa mtu mvivu wa kutumia akili hukimbilia majibu mepesi na marahisi yasiyohitaji akili. Sasa wewe kwa uvivu wako wa kutumia akili kama ambavyo amewahi kutanabaisha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere umekimbilia kusema kuwa nimeandika vile kwa chuki.

Ok basi endeleeni kumpandisha kwenye vimeza vyenu mnavyoshikizia na matofali chini. Siku yakitokea ya kutokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi ni wavivu sana na watu msiojielewa kabisa . Hivi hamuoni hata aibu kumpandisha Makamu Mwenyekiti kwenye meza ya nyanya? Yaani hata ACT wazalendo chama cha juz juzi kinawazidi akili?
Jukwaa halina maana sana kama unachokiongea mbele ya watu hakina tija wala mashiko, Lissu aliumizwa akiwa kwenye gari la kifahari tena full kiyoyozi. Acha kuwa materialistic kama Dada zetu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na huu utumwa uliokubali unakuongezea shida na kukudumaza akili. Elewa : Wakati wowote na mahali popote jambo la hatari usilolitarajia linaweza kukupata. Hivi lile tukio la Lissu kupigwa risasi kuna binadamu yeyote alitarajia. Yaani kuna watu mmekuwa arrogance sana as if kama hapa duniani mtaishi milele.
 
Naona wewe ndio una matatizo makubwa sana maana mimi nimewapa tahadhari kuwa ipo siku Makamu Mwenyekiti wenu ataanguka na kuumia vibaya sana kwenye vimeza vya kuuzia nyanya na vitunguu mnavyomuandalia na kumpandisha kutumia kama jukwaa. Ndio maana nikasema pia kuwa mtu mvivu wa kutumia akili hukimbilia majibu mepesi na marahisi yasiyohitaji akili. Sasa wewe kwa uvivu wako wa kutumia akili kama ambavyo amewahi kutanabaisha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere umekimbilia kusema kuwa nimeandika vile kwa chuki.

Ok basi endeleeni kumpandisha kwenye vimeza vyenu mnavyoshikizia na matofali chini. Siku yakitokea ya kutokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi ni wavivu sana na watu msiojielewa kabisa . Hivi hamuoni hata aibu kumpandisha Makamu Mwenyekiti kwenye meza ya nyanya? Yaani hata ACT wazalendo chama cha juz juzi kinawazidi akili?
Kwa hio unawaonea huruma.
 
Ila Lucas Mwashambwa amesema ukweli, kwa jukwaa hili la nyanya sokoni huyu rais mtarajiwa wa Tanzania kuanzia 2025 akianguka itakuaje au mnataka atoneshe kidonda?

IMG_20230525_060347.jpg
 
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, ndugu Lucas Mwashambwa, Sio bure kazi unazozifanya za kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zinaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye umetumwa na unalipwa hatufanyi kutoka rohoni, nikirejea uzi wako wa jana kuhusu Makamu Mwenyekiti wa Chadema ndugu Tundu Lissu kutumia majukwaa yasiyo kuwa imara ule uzi niliu copy na ku paste WhatsApp ili ni usome mstari kwa mstari nimesoma zaidi ya mara tatu nikagundua una tatizo sehemu maana una chuki ambazo hazina maana yoyote. Tundu Lissu anachokifanya ni kutoa elimu ya uraia kwa Wananchi na haijalishi anatumia Jukwaa la aina gani as long as elimu imewafikia Wananchi. Sasa ndugu Lucas Mwashambwa unapoonyesha chuki kwa mtu ambaye hakusaidii chochote hiyo ni matumizi mabaya ya chuki. Wewe hata hakujui na inawezekana huwa anakusoma tu humu Jamiiforums. Hilo liangalie CHUKI NI UCHAFU MOYO kosoa kwa kujenga hoja zenye tija Mkuu. Lengo la Lissu ni kutoa elimu sio kusimama kwenye majukwaa kama yanayotumiwa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala na anachokizungumza hakina tija wala manufaa kwa ustawi wa maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Na mwisho wa ule uzi wako unakisifia Chama cha Mapinduzi na Raisi kwa hoja nyepesi kama tissue yaani unachokifanya kusifia Chama Tawala ni sawa na kuisifia na kuishukuru ATM Machine kukupa hela pale unapoenda ku withdraw na wakati hizo ni hela ni za kwako. Hata kama unalipwa hebu jaribu kuwa unaandika hoja zenye mashiko maana umekuwa ni mtu mwenye kuandika vitu visivyo kuwa na tija katika ulimwengu wa watu wenye access ya taarifa mbalimbali hapa duniani.
Nawasilisha
Una chuki binafsi na Lucas Mwashambwa,Viongozi wa chama chake na chama cha Lucas kwa ujumla. Lissu hakusaidii kitu elewa hilo.
Haelimishi chochote zaidi ya kulitanua tumbo lake tu
 
Naona wewe ndio una matatizo makubwa sana maana mimi nimewapa tahadhari kuwa ipo siku Makamu Mwenyekiti wenu ataanguka na kuumia vibaya sana kwenye vimeza vya kuuzia nyanya na vitunguu mnavyomuandalia na kumpandisha kutumia kama jukwaa. Ndio maana nikasema pia kuwa mtu mvivu wa kutumia akili hukimbilia majibu mepesi na marahisi yasiyohitaji akili. Sasa wewe kwa uvivu wako wa kutumia akili kama ambavyo amewahi kutanabaisha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere umekimbilia kusema kuwa nimeandika vile kwa chuki.

Ok basi endeleeni kumpandisha kwenye vimeza vyenu mnavyoshikizia na matofali chini. Siku yakitokea ya kutokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi ni wavivu sana na watu msiojielewa kabisa . Hivi hamuoni hata aibu kumpandisha Makamu Mwenyekiti kwenye meza ya nyanya? Yaani hata ACT wazalendo chama cha juz juzi kinawazidi akili?
Nmeamin kwel una chuki binafsi na moyo wako umejaa kisran Cha elfu 20 mnazopewaga kama ajira na posho ya kununua bando
 
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, ndugu Lucas Mwashambwa, Sio bure kazi unazozifanya za kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zinaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye umetumwa na unalipwa hatufanyi kutoka rohoni, nikirejea uzi wako wa jana kuhusu Makamu Mwenyekiti wa Chadema ndugu Tundu Lissu kutumia majukwaa yasiyo kuwa imara ule uzi niliu copy na ku paste WhatsApp ili ni usome mstari kwa mstari nimesoma zaidi ya mara tatu nikagundua una tatizo sehemu maana una chuki ambazo hazina maana yoyote. Tundu Lissu anachokifanya ni kutoa elimu ya uraia kwa Wananchi na haijalishi anatumia Jukwaa la aina gani as long as elimu imewafikia Wananchi. Sasa ndugu Lucas Mwashambwa unapoonyesha chuki kwa mtu ambaye hakusaidii chochote hiyo ni matumizi mabaya ya chuki. Wewe hata hakujui na inawezekana huwa anakusoma tu humu Jamiiforums. Hilo liangalie CHUKI NI UCHAFU MOYO kosoa kwa kujenga hoja zenye tija Mkuu. Lengo la Lissu ni kutoa elimu sio kusimama kwenye majukwaa kama yanayotumiwa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala na anachokizungumza hakina tija wala manufaa kwa ustawi wa maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Na mwisho wa ule uzi wako unakisifia Chama cha Mapinduzi na Raisi kwa hoja nyepesi kama tissue yaani unachokifanya kusifia Chama Tawala ni sawa na kuisifia na kuishukuru ATM Machine kukupa hela pale unapoenda ku withdraw na wakati hizo ni hela ni za kwako. Hata kama unalipwa hebu jaribu kuwa unaandika hoja zenye mashiko maana umekuwa ni mtu mwenye kuandika vitu visivyo kuwa na tija katika ulimwengu wa watu wenye access ya taarifa mbalimbali hapa duniani.
Nawasilisha
Huyu jamaa huwa namchukulia kama mental case
 
Kwa nini huwa wameweka nguvu kubwa kwenye kusifia? Kusifia kuna nguvu gani kwa kitu ambacho kinaonekana hata kwa macho tu kuwa hakipo sawa?
Uongo ukiongelewa mara kwa mara hugeuka na kuonekana kua ndio ukweli na watu wataamini huo uongo.
 
Back
Top Bottom