Lucas Mwashambwa waulize wakubwa haya maswali watusaidie majibu

Lucas Mwashambwa waulize wakubwa haya maswali watusaidie majibu

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Lucas mwashambwa pamoja na mazuri yote ya Serikali unayoyatangaza humu, umeshawahi kujiuliza kwanini bei ya Mchele ifike 4,000 kwa kilo tatizo liko wapi na nani amesababisha hali hiyo ili iweze kushauri na kutuletea majibu.

Waulize kwanini Kilo ya Nyama iuzwe 10,000 hadi 11,000 kutoka sh 5,500 hadi 6,000 kuna shida gani kwenye mifugo?

Waulize kwanini vifaranga vya wafugaji wa Tanzania vinachomwa moto kwa kukosa soko lakini siku mbili baadae vinakamatwa Airpot vifaranga kutoka Ubelgiji na kufia hapo hapo airpot kwa kukosa vibali.

Waulize kwanini Tangu aingie Janauri Makamba umeme ukaanza kukatika hadi sasa watanzania wengi wamefilisika biashara zao zilizokuwa zinategemea umeme watafidiwa na nani kwa hasara hiyo?

Waulize alafu tuletee mrejesho hapa.
 
saidoo25
Leo umeamua kupasua mbarika!

Lucas mwashambwa
Sidhani kama huwa hajui haya,huwa anayajua vizuri sana,ila anaendekeza njaa ya ubongo!
FB_IMG_1674134227879.jpg
 
Lucas mwashambwa pamoja na mazuri yote ya Serikali unayoyatangaza humu, umeshawahi kujiuliza kwanini bei ya Mchele ifike 4,000 kwa kilo tatizo liko wapi na nani amesababisha hali hiyo ili iweze kushauri na kutuletea majibu.

Waulize kwanini Kilo ya Nyama iuzwe 10,000 hadi 11,000 kutoka sh 5,500 hadi 6,000 kuna shida gani kwenye mifugo?

Waulize kwanini vifaranga vya wafugaji wa Tanzania vinachomwa moto kwa kukosa soko lakini siku mbili baadae vinakamatwa Airpot vifaranga kutoka Ubelgiji na kufia hapo hapo airpot kwa kukosa vibali.

Waulize kwanini Tangu aingie Janauri Makamba umeme ukaanza kukatika hadi sasa watanzania wengi wamefilisika biashara zao zilizokuwa zinategemea umeme watafidiwa na nani kwa hasara hiyo?

Waulize alafu tuletee mrejesho hapa.
Huyu msafwa anaganga njaa tu.
 
Nitakujibu maswali yako yote nikipumzika kidogo maana nilikuwa shamba kwa hiyo ngoja nipumzike so unajuwa kazi ya shambani,ndio maana umeona sijaja hapa kwa kuwa sikuwa na nafasi ya kuingia humu jamvini
 
Back
Top Bottom