Kidudu Amos
Member
- Sep 22, 2016
- 15
- 4
Ofcoz umeongeaBora bhana ili kama vipi na hapa Bongo iwe "legalized" tupate morali tuchore tattoos za Magu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofcoz umeongeaBora bhana ili kama vipi na hapa Bongo iwe "legalized" tupate morali tuchore tattoos za Magu
Hakuna mwanamuziki Jamaica anaitwa "Las Laciano"... labda kama anatokea kimbiji! Na hakuna wimbo wa "Its me against Jah".Wa Jamaica
Huyo ni mtanzania anaeishi south africa amejichora iyo tatoo miladi ayo nadhani ameingelea iyo habar nyingine mbwembwe hao walioleta habar hiyo ndo wale waliosifia habar ya meli ya kwenda bagamoyo kwaiyo wapuuzie nduguAcheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
Habari ya kughushi tu.Usiumize kichwaHilo jina la msanii nimegugo silioni, au ni Jamaica ya wapi?