Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Hilo jina la msanii nimegugo silioni, au ni Jamaica ya wapi?
 
Weka na link ya hii picha, ama laa sivyo huu ni uongo mkubwaaa!!!
 
Hivyo Jamaica si kwa wale wavuta bangi? Sasa ukichorwa na mla jani nayo ni sifa!?!
 
Wa Jamaica
Hakuna mwanamuziki Jamaica anaitwa "Las Laciano"... labda kama anatokea kimbiji! Na hakuna wimbo wa "Its me against Jah".
Hilo ni FAMBA mmechapia ndio maana hata sura yake haionyeshwi!
 
Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
Huyo ni mtanzania anaeishi south africa amejichora iyo tatoo miladi ayo nadhani ameingelea iyo habar nyingine mbwembwe hao walioleta habar hiyo ndo wale waliosifia habar ya meli ya kwenda bagamoyo kwaiyo wapuuzie ndugu
 
Hata mugabe ni nabii asiyekubalika kwao sasa tubadilishane magu kwao mugabe kwetu kabla ajaja mugabe mi wakwanza kumpinga na kwangu atakua nisiempenda kaja
 
Kajichora jina sawa, je amekiri kiwa hilo neno ni jina la mh wetu.. Isijekuwa ina maana nyingine huko..

Angechora sura au akikiri kiwa juyo ni mh wetu itakuwa safi zaid.
Ni la mkuu
 
hiyo picha ni dudu tena kanifollow fb nimemuadd as a friend
 
aliyechora hyo tattoo tayari ni mwehu sababu kama ananyimbo ina "Me against Jah" sio mzima huyo
 
Back
Top Bottom