Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
Duh...Analika vizuri tu huyu bado mbichi
Au kwakuwa mtawa unaeza fikiria bikra.
Acha njaa broo shauri yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...Analika vizuri tu huyu bado mbichi
Nishawahi kumshuhudia bibiyake na rafikiyang alifikisha miak 108 yaani alikuwa akili inarudi utotoni kabisa Yani storyzake matendo madogo madogo anayofanya Kwa waliokuwa wameona na kufikia umri Mkubwa sana wanakuwa na uwezo wa kukumbuka Kwamba huyu mume tupige story hizi au ndo zinabaki story za Kuchezea vikopo?Hata kama wasiposhiriki tendo lakin wanakuwa pamoja wanapiga stori ,wanakula pamoja hiyo ni tosha kabisa inasaidia kukufanya usiwe mpweke,ile akili tu kujua tu ndani kuna mwenzangu ni tiba tosha ya upweke
Bado inategemea kwa sababu swali ni very subjective.Lakin upweke lazima utapata tu
Kazungumzia miongoni mwa watawa, labda pengine wewe utusaidie ni mtawa yupi ana miaka 120+.Moshi huku kuna wazee wenye miaka 120+ halafu huyo ndio mnasema ni mzee kuliko wote
Yaani unawaza awe na mume? Sasa kwa umri huo nani atamsaidia mwingine?Maskin [emoji2301][emoji2301] pole zake
Uzee mbaya sana hasa ukiwa huna hata wajukuu au mume
Hahahaha hakuna mwanaume single au sio.. 🤣🤣🤣Niliota Jana nimepigwa balaa zilezile km za Mandonga haujaoa lkn maana sio Kwa ndoto Ile😂😂😂😂
Piga picha usambaze tuone hao wenye 120+, tatizo waafrika tunafichwa kwenye maandishi .Moshi huku kuna wazee wenye miaka 120+ halafu huyo ndio mnasema ni mzee kuliko wote
Bado inategemea kwa sababu swali ni very subjective.
Upweke ni jambo pana sana, na kila binadamu humu duniani anamzigo wake wa upweke.
Hata wewe hapo ulipo ingawa una familia pengine, lakini kuna upweke unaokutana nao katika sehemu fulani ya maisha kama binadamu.
Huyu sister kama sijakosea, ana upweke wa kuwakosa watu ambao walikuwa wamemzunguka, na ambao hawapo tena kwa kuitwa mbele za haki na Mwenyezi Mungu. Hawa watu wanaweza kuwa marafiki, watawa wenzie, nk.
Maadamu kifo kipo, upweke lazima uwepo. Upweke wetu unaweza husisha kuwakosa wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki.
Binafsi nilipata msiba wa dada yangu, kiukweli kila mara namkumbuka sana, na kuna mengi yanaumiza, lakini hamna budi kujitia matumaini na kusonga mbele.
Yaani unawaza awe na mume? Sasa kwa umri huo nani atamsaidia mwingine?
Sijui umewaza nini.
Hahahaha hakuna mwanaume single au sio.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂Kama Kawa kama dawa😂😂Hahahaha hakuna mwanaume single au sio.. 🤣🤣🤣
Sio fair kabisa..😂Kama Kawa kama dawa😂😂
😂hakuna mwanaume single 😂Sio fair kabisa..
Maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaddddaaaammmm..Naona unatongoza kijanja yaan weweee
Ukizeeka lazima urudie utoto maana akili inadumaa unakuwepo haupo busy japo wapo baadhi wanakuwa na akili vizuri tu ,ila wengine wanakuwa watoto kabisaNishawahi kumshuhudia bibiyake na rafikiyang alifikisha miak 108 yaani alikuwa akili inarudi utotoni kabisa Yani storyzake matendo madogo madogo anayofanya Kwa waliokuwa wameona na kufikia umri Mkubwa sana wanakuwa na uwezo wa kukumbuka Kwamba huyu mume tupige story hizi au ndo zinabaki story za Kuchezea vikopo?
Natania endelea banaMaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaddddaaaammmm..
Nimeachaaaaaa.... 😞😞😞
Hahahaa no way..Natania endelea bana
Ndiyo tunaelekea huko mzeeUkiishi miaka mingi sana ya uzee inakua kama adhabu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app