Yote yawezekana Tobinho, ila katika majibu yake mbalimbali kwa maswali aliyoulizwa, alisema hatumii ganja. Kuhusu wimbo Rastaman's Prayer' toka album ya 'Trinity' iliyotoka mwaka 1995,... kwa nilivyomuelewa Dube, si kwamba alikuwa akisifia ganja/marijuana ama bangi, no, alikuwa anaelezea namna gani wanadamu tunavyomuomba Mungu kwa mahitaji yetu mbalimbali, naye (Mungu) bila hiyana hujibu maombi yetu. Mfano wanasiasa huwa wanatumia uongo zaidi na ahadi za kufikirika ili wapate nafasi wanazozihitaji, mataifa makubwa nayo huwakandamiza mataifa madogo kwa manufaa yao, ila yote haya huwa hayawezekani bila kupiga goti kwa Mungu; Wale wanaovuta bangi pia humuomba Mungu kuistawisha, unaona jinsi alichokuwa anamaanisha! Angalia hiyo mashairi hapo chini kisha uchambue. Ila pia inawezekana aliona majibu ya anatumia au kutokutumia ganja hayakuwa muhimu zaidi kwa watu. Inawezekana pia alikuwa anatumia na baadaye akaacha kutokana na labda kuwa muumini wa dini ya Kikristo ya 'shembe" ambayo yeye Dube alikuwa muumini wake.
"There comes a time
In everyman's life where he's got to face
The truth no matter what
We are coming to you father
With our sins and everything
To thank you
Those that smoke marijuana
Wanna thank you father
For making it grow internationally
They wanna thank you lord
Even though police cut it down
Sometimes they burn it down
But it grows again
Thank you father
We wanna thank you father
For everything you've given us
Nations that oppress other nations
Wanna thank you father
Even though it's painful to be oppressed
But they thank you...
For making them strong
Politicians thank you father
For making them to be able
To lie with a straight face
While the nation cries
They wanna thank you lord