Lucky Dube: Miaka kumi(10) tangu auawe

Lucky Dube: Miaka kumi(10) tangu auawe

Mkuu ukisoma haya mashairi utagundua kitu

Lucky Dube Lyrics

"Good Things"

There will be a time in your life
When you'll need me the most
But I won't be there
There will be a time in your life
When you won't need me at all
I won't be there
But while I've got the chance
I'm gonna tell you what I know
About this world we're living in
It may seem so beautiful
From where you are
It may look so innocent
In your eyes
But let me tell you
It's not a bed of roses

[Chorus: x3]
Good things come to those
Who got out and made them happen
They don't come to those who wait

I can sit here and teach you
Every trick in the book
But at the end of the day
It is your life

[Chorus: x3]
Good things come to those
Who got out and made them happen
They don't come to those who wait

You don't have to worry
The future is in your hands
[Till fade]
RIP JAHMAN
 
Kuna gazeti moja kama sikosei ni mwanaspoti niliona kichwa cha habari MIAKA KUMI TANGU KUFA KWA LUCKY DUBE nikapata shauku ya kusoma walau kwa juu juu nilichokiona ni hicho hicho eti Dube alimuua Senso kwa hiyo mashibiki wa Senzo walilipiza kisasi. Nilisikitika sana aisee dah nakatamani nimtafute mwandishi nimuombe uthibitisho.
Kwakweli walioneza uvumi huu wametenda dhambi kubwa! Lucky aliwakosea nini lkn?
 
daah kwakweli hata mimi nilimuelewa zaidi Dube kuliko Bob...hapo kwenye "kutovuta ganja" sikubaliani na wewe mkuu!! kwa message alizokuwa ana portray kwenye jamii haiwezekani kwamba alikuwa hali ganja!! mtu wa kawaida ambaye hali majani hawezi kufikiria au kuandika mashairi kama aliyokuwa anaandika dube,tukubaliane tu kuwa alikuwa anakula ganja japo alikuwa hakubali moja kwa moja au kukataa moja kwa moja pindi akihojiwa!! tafuta ngoma yake inaitwa "rastaman's prayer", kaisifia sana ganja humo(mie sili ganja though).

saying all these,to me,Lucky Phillip Dube was a prophet
Ingzebier,Negusta Negust.R.I.P Rasta
Kwa jinsi ulivyoelezea hapo haiwezekani ukawa hutumii ganja.
 
Yote yawezekana Tobinho, ila katika majibu yake mbalimbali kwa maswali aliyoulizwa, alisema hatumii ganja. Kuhusu wimbo Rastaman's Prayer' toka album ya 'Trinity' iliyotoka mwaka 1995,... kwa nilivyomuelewa Dube, si kwamba alikuwa akisifia ganja/marijuana ama bangi, no, alikuwa anaelezea namna gani wanadamu tunavyomuomba Mungu kwa mahitaji yetu mbalimbali, naye (Mungu) bila hiyana hujibu maombi yetu. Mfano wanasiasa huwa wanatumia uongo zaidi na ahadi za kufikirika ili wapate nafasi wanazozihitaji, mataifa makubwa nayo huwakandamiza mataifa madogo kwa manufaa yao, ila yote haya huwa hayawezekani bila kupiga goti kwa Mungu; Wale wanaovuta bangi pia humuomba Mungu kuistawisha, unaona jinsi alichokuwa anamaanisha! Angalia hiyo mashairi hapo chini kisha uchambue. Ila pia inawezekana aliona majibu ya anatumia au kutokutumia ganja hayakuwa muhimu zaidi kwa watu. Inawezekana pia alikuwa anatumia na baadaye akaacha kutokana na labda kuwa muumini wa dini ya Kikristo ya 'shembe" ambayo yeye Dube alikuwa muumini wake.

"There comes a time
In everyman's life where he's got to face
The truth no matter what
We are coming to you father
With our sins and everything
To thank you

Those that smoke marijuana
Wanna thank you father
For making it grow internationally
They wanna thank you lord
Even though police cut it down
Sometimes they burn it down
But it grows again
Thank you father

We wanna thank you father
For everything you've given us

Nations that oppress other nations
Wanna thank you father
Even though it's painful to be oppressed
But they thank you...
For making them strong

Politicians thank you father
For making them to be able
To lie with a straight face
While the nation cries
They wanna thank you lord

Kwa mujibu wa maelezo yake, hakuwa akitumia mmea, hapa nanukuu baadhi ya majibu yake

“If Rastafarianism is about having dreadlocks, smoking marijuana and believing that Haile Selassie is God, then I am not Rastafarian. But if it is about political, social and personal consciousness, then, yes, I am”.
 
Aliuwa kwa upanga na yeye akauwawa kwa upanga, sijui wezi wa magari sijui majambazi hizo ni porojo tuuu, jamaa alipewa kile alicho stahili, full stop!
 
Yes usivute kama hutaki kufanya hivyo.
Niko salama sijui wewe kaka

Nna kichwa chepesi, nikiona mvinyo tu naanza kucheka na kufurahi bila mpangilio huku kijasho kinanitoka Kwa mbali. Hiyo inanipa ishara kwamba mie na vilevi hatuivi chungu kimoja.
 
Nna kichwa chepesi, nikiona mvinyo tu naanza kucheka na kufurahi bila mpangilio huku kijasho kinanitoka Kwa mbali. Hiyo inanipa ishara kwamba mie na vilevi hatuivi chungu kimoja.
Sasa ukivuta bangi ukaona kuku unaweza ukacheka hadi ujishangae mwenyewe
 
Sasa ukivuta bangi ukaona kuku unaweza ukacheka hadi ujishangae mwenyewe

Ujue hiyo inanipeleka mbio ni Ile wine, Tena alcohol kidogo tu. Bangi naweza kujikuta ndio dereva wa lile basi la Kwa Malkia lilisafirisha wazee wa misafara
 
Ha haa wewe hufai

Ila Lucky Dube nimeanza kusikiliza nyimbo zake Bado sijaanza darasa la kwanza. Nimemsikiliza nikiwa shule ya msingi, sekondari, Hadi Sasa ni mwimbaji wangu Bora kabisa wa mziki wa kunesanesa, napenda mpangilio wa vyombo, sauti za waimbaji, sauti yake na zaidi kabisa ujumbe kwenye nyimbo zake.
 
Back
Top Bottom