Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Hi guys!!
Najua kwamba wote tuliomo hapa tumeshaishi na kujifunza mambo mawili matatu kuhusu maisha.
Katika maisha yako so far ni lazima umeshapata mafanikio makubwa au madogo ...umeshashindwa
kwenye mambo makubwa au madogo nk.Yani kwa kifupi umeshaonja matamu na machungu ya maisha
iwe sana au kidogo.
Swali langu ni je mpaka hapo ulipofikia je unajiona/jichukulia kwamba wewe ni mtu mwenye bahati au
mtu asie na bahati???
Kwanini unajichukulia hivyo??
Nimejisikia kuuliza kwasababu wapo watu ambao hua wanajiona wasio na bahati kabisa mpaka pale
wanaposikia/shuhudia ugumu waliopitia wengine na kugundua kwamba wao hawana haki ya kulalamika m
bele ya hao wengine. Kwahiyo nataka tuweze kushirikishana uzoefu wetu maana nna hakika kila mmoja a
tajifunza toka kwa mwenzake.
C'est la vie
Najua kwamba wote tuliomo hapa tumeshaishi na kujifunza mambo mawili matatu kuhusu maisha.
Katika maisha yako so far ni lazima umeshapata mafanikio makubwa au madogo ...umeshashindwa
kwenye mambo makubwa au madogo nk.Yani kwa kifupi umeshaonja matamu na machungu ya maisha
iwe sana au kidogo.
Swali langu ni je mpaka hapo ulipofikia je unajiona/jichukulia kwamba wewe ni mtu mwenye bahati au
mtu asie na bahati???
Nimejisikia kuuliza kwasababu wapo watu ambao hua wanajiona wasio na bahati kabisa mpaka pale
wanaposikia/shuhudia ugumu waliopitia wengine na kugundua kwamba wao hawana haki ya kulalamika m
bele ya hao wengine. Kwahiyo nataka tuweze kushirikishana uzoefu wetu maana nna hakika kila mmoja a
tajifunza toka kwa mwenzake.
C'est la vie