Akamtahiri kwanza ndio atupigie kelele zake
nadhani alisema nikifunga ndoa watanikoma.sasa ataenda kukoma huko kwa hao anaowasujudu pale atakapoletewa mbwa ale nae sahani mojaulimbukeni tu mxieeeeeeewMmh hapana this is too much aisee. Naona alikuwa kapania kweli kuolewa ili tumkome
ahahhah binamuuuuuuuuu hiyo aloshika bibie unayo weweeeee aahhhaha jamani lucy limbukeni tumuuulize huyo mzungu kwani alimkuta bibie n bikra???????
nadhani alisema nikifunga ndoa watanikoma.sasa ataenda kukoma huko kwa hao anaowasujudu pale atakapoletewa mbwa ale nae sahani mojaulimbukeni tu mxieeeeeeew
Hhheeeee halo ya mende kuvaa mkoti bila kufunga kishikizoooooooo
Harusi imepata mwenekeleeee
anaonekana homeless mzoefu.mzungu gani hata fakesmile hakuna ka kalazimishwa bwanaHuyo mdenmark nae ndo wale wale, bora nikuunganishie kwa rummy wa julie mimacho, ila huyo mden mark hamna kitu apo
Dina una maneno weyee haki ya nanii wifii zakoo watakua wanakomaa
Una maneno wewe utakuwa ni mzaramu tu.
Pita kwa sinta ukasome wikiend story kwa chini kuna koment ya nesi na police utavunjika mbavu
We utakua ni mmakonde tu
We utakua ni mmakonde tu
Hahaha poa shoga angu. Kizuri kula na nduguyo
Tena mmakonde chale......chigala chipoti(Sigara sportsman)
Hahahaaaaaaaa uwiii umenichekesha nusu nijikojoleee dina
Ulimbukeni mbaya mno ndugu yangu
yaani mtu akishakua limbukeni tu namchukulia kama mgonjwa wa akili maanake hakawii kutembea uchi sikumoja.na hii iwe fundisho kwa wengine wanaoplan waje kutukomoa na ulimbukeni mkojo wao...pumbavu zao.
hAhaaaaaaaaaaaa
jamani watu wamepindaaaa