Lucy Komba: Nimeishi na mr. Wiki mbili tu

mmh.majungu hayo.kwani kajiongelesha mwenyewe c magazeti ya udaku ndo yanamwuliza.kaaaa!
 
Watu bwana....kwa hiyo kama alifuatwa na gazeti hilo ili azungumzie ndoa yake mlitaka aongee nini? Mbona mnawapangia watu cha kuongea?

Teeh teeh teeh naona watu na sizitaki mbichi hizi!!
 
mmh.majungu hayo.kwani kajiongelesha mwenyewe c magazeti ya udaku ndo yanamwuliza.kaaaa!

Kwa hyo gazeti la udaku lilimfata likamwuliza umeishi na mumeo week ngapi... Acha uchuro bhana

na yale anayoandika kila siku insta na fb.... Anaulizwa na nani

tukubali ukweli kuwa

dada yetu ni mshamba
 
He!!!! Kamake headline tena najutaaaa kumfahamu.Huyu Dada inaelekea kakulia uswazi sana mbona hatuli tukashiba!!!Kila saa anataja maneno mawili tu mume wng na Denmark.

Wangapi tunawajua wameolewa na wazungu na hawapigi kelele.!!?Kweli ushamba Mzigo.
 
Kweli kwa madada wa kibongo kuolewa na mzungu ni bonge la bahati kwao.
Huyu dada naona kachanganyikiwa hakuwahi kutegemea yani kwake kuwa mke wa mzungu ni sawa na bahati ya mpiga debe kupewa uwaziri.

Mnauhakika na hzi source za habar?????? Maana wakosa kaz cku hz weng
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…