Hahaaa lol çpati picha ulivofurahi
Leo ana furaha isiyo na kifani, mmbea asiye na kifani kurudi kwenye jukwaa.
Mmbea uliyetukuka karibu sana.
Hhhhaaa warumi tumetoka nae mbalii banaaa
hahahaha nimecheka sana.Ujumbe amepata lakin
Bora karud maana kulipoa sana ujue
Hahaaa lol çpati picha ulivofurahi
hebu laleni....
Mmm madam hatuna vitanda
Bina umenielewa pm??halafu nione mtu anajipendekeza kwakoo hata hawahangaiki na wewee ntameza mtu
....laleni chini
nimekusoma binamu, nilikuwa ICU yani soon mngeaza kunichangia rambi rambi, maana warumi mie kifua kilinijaa maubuyu hatar, had nilichanganyikiwa, pa kusemea umbea sina tabu tupu mmh, sasa sijui naanza na umbea gan apa maana ni shiiida
hahahaha nimecheka sana.Ujumbe amepata lakin
Hhhhhaaaaa binam anza nayo keshoo bana, usiku umeingiaaa hhhhaaaa
uwiiii binamu kesho naona kama mbali au? maana naona kama ntasahau, apa nipo na peni na karatas naandika umbea nisije sahau binamu
Bina kuna nyimbo nimeiona kuna verse kachana Baghdad ni yeye au namfananishaa?? Wembamba gani huo?? Namuona hayupo sawaa
Najua sasa binamu? mi nipo zangu busy sa ivi naandaa umbea wa kesho, sijui nianze na umbea upi yani full shidaa. mwenzio siku iz nimeanza mafundisho ya kipaimara, nikipokea si utanisindikiza binamu? natak uvae lile gauni ka la dada lucy, watakomaje mtaa wa pili? na zile skuna wee
Hhhhhaaaaaaaa ntakusindikizaa,kwani unataka kuoa?? Au kipaimara inakuwajee
Gauni tutanunua pale aliponunua lucy na simu je nyeupe mi sina utanipa yako mi yangu ina rangi tofauti
Hhhhhaaaaaaaa ntakusindikizaa,kwani unataka kuoa?? Au kipaimara inakuwajee
Gauni tutanunua pale aliponunua lucy na simu je nyeupe mi sina utanipa yako mi yangu ina rangi tofauti
Gauni ntakununulia kama la lucy ila lenyewe rangi ya kijani, we uta mechisha na wigi la kijani, watakutakaje? na simu usisahau galaxy note4 ile kama ya kajala kwa ajili ya kujipiga ma selfies