Lucy komba: Sizai mpaka nipate uraia wa Denmark

Lucy komba: Sizai mpaka nipate uraia wa Denmark

Status
Not open for further replies.
Yule ndo anaona kana tu alikua kahaba mzoefu Yaani wazungu wanasema retired ----- kuwaharibu tu mabinti wakimwona wanaanza ku tafuta wazungu pori kumbe ndani anatamani kukimbia.anabaki ohh single mothers.na bado

Na badooo atahangaika mnoooo na watu wanamsoma tu
 
Wambea leo mmekutana full maumbea.Wasomaji wa magazeti ya Shigongo wakijua chimbo hili hawatanunua magazeti ya Shigongo.
 
Amejiaibisha mno. Sikutegemea Lucy awe limbukeni hivyo
Hivi anafanya hapo mahakamani Kama judge Au Vip maanake sijui elimu yake.maaanake Mtu akiwamsomi sana hata hajali sana na mwishowe anakua Kama chizi.kama professors wengi japo sio wote.
 
Umenichekeshaa eti ile simu alikua anamechisha hhhhhaaaa na gauniii aisee watu mna manenoo

Alikuwa ana mechisha mwenzangu, gauni jeupe,viatu na simu nyeupe utamtaka sasa, ila nasikia simu ilitumbukia kwenye maji walivyoanguka yani nilicheka binamu nusu nizimie, nataman ningeziona izi picha, lucy nimempenda bure kwa kweli
 
Alikuwa ana mechisha mwenzangu, gauni jeupe,viatu na simu nyeupe utamtaka sasa, ila nasikia simu ilitumbukia kwenye maji walivyoanguka yani nilicheka binamu nusu nizimie, nataman ningeziona izi picha, lucy nimempenda bure kwa kweli

Simu ilitumbukia kwenye maji maskin akakosa cha kumechishiaa loo ila Lucy ni kibokoo hii harusi ni funga mwaka aisee
 
Hivi wewe ni jinsia gani shemale?naona unatishia kuwasaga watu,angalia usije ukafumuliwa marinda town hapa au umekuja na mbio za mwenge.

Hata we ukitaka tunakusaga tu ili mradi uwe msafi ukiwa wanuka uvundo tunakuletea mbwa anakulamba mpaka ukojoeee na unye kabisa
 
Aisee Heaven Sent nilicheka hiyo jana sijui juzii,kwa Sinta kuna vituko jamaniii huyo kaka alivyomjibu basi Ashu nae akamjibu tena halaf akamaliziaa usisahau kupunguza kula kama unaenda vitani samahani lakini aisee nilicheka mnooo,kule ndio kuna umbeaa aisee nishashindwa kujiunga,aisee

Haahahaha mimi niliisoma ile juzi nafikiri. Jana night nikairudia vizuri aisee Ashu ni kiboko. Nilicheka hadi nikapiga kelele. "Eti mtu kaingia jikoni kachukua sahani si msahani, sinia si sinia, anapakua kama anaenda vitani kesho".
Mwingine naye jana analalamika kimario chake kinataka tu kula nyama, kikikuta wine kinakunywa tu yote na kazi kujichezesha tu mziki. Mwingine akasema "napita tu", akajibiwa "pita tu na kanyagio lako kama twangio" nilichekaaaa uwiiiii
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa ana mechisha mwenzangu, gauni jeupe,viatu na simu nyeupe utamtaka sasa, ila nasikia simu ilitumbukia kwenye maji walivyoanguka yani nilicheka binamu nusu nizimie, nataman ningeziona izi picha, lucy nimempenda bure kwa kweli

Hahahahah uwiiiiii binamu me mbavu zangu jamani, sitaki bana khaaaa
 
Hivi anafanya hapo mahakamani Kama judge Au Vip maanake sijui elimu yake.maaanake Mtu akiwamsomi sana hata hajali sana na mwishowe anakua Kama chizi.kama professors wengi japo sio wote.

Sijui hata kama ni judge or vipi
 
Simu ilitumbukia kwenye maji maskin akakosa cha kumechishiaa loo ila Lucy ni kibokoo hii harusi ni funga mwaka aisee

Walitumbukia mwenzangu na simu ndo ikawa kushnei, yani nilicheka sana, eti akawa anasema wabaya wake walitaka kumfanyia kitu mbaya, sasa sijui walitak kumfanyaje
 
Haahahaha mimi niliisoma ile juzi nafikiri. Jana night nikairudia vizuri aisee Ashu ni kiboko. Nilicheka hadi nikapiga kelele. "Eti mtu kaingia jikoni kachukua sahani si msahani, sinia si sinia, anapakua kama anaenda vitani kesho".
Mwingine naye jana analalamika kimario chake kinataka tu kula nyama, kikikuta wine kinakunywa tu yote na kazi kujichezesha tu mziki. Mwingine akasema "napita tu", akajibiwa "pita tu na kanyagio lako kama twangio" nilichekaaaa uwiiiii

Mara sinta achambwee eti tokaa unyonyeshe unakeraa unabania koment, ta.ko lako
Huko ni noumaaa aisee halaf zile out of topic ni tamu balaaa,halaf wana majibu haoo
Niliona huyo eti pita na kanyagio lako nilicheka mnoo
Sinta yuko poa hata akichambwa anaachia tu koment
 
Hata we ukitaka tunakusaga tu ili mradi uwe msafi ukiwa wanuka uvundo tunakuletea mbwa anakulamba mpaka ukojoeee na unye kabisa

Ahahah ahahaaa, nikiwa na wewe humu, hata boko haramu ikija lazima wasande, shikamoo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom