Lucy komba this is too much bhana

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mi nilijua lile gauni lako la kipaimara ulilovaa kwenye harusi yako ilikua bahati mbaya kumbe ndo fashion zako, Lucy ni muigizaji mzuri sana na anajiheshimu ila huwa unaniangusha kwenye mavazi tu, ebu jaribu kwenda na wakati bhana, mtu umeolewa nchi za watu na pesa unazo ila unavaa kama mabeki tatu wa mbagala, yani unaniangushaga hapo tu, na sura imepauka kama umemwagiwa debe la unga, nguo unavaa za kishamba utadhani sio staa, badilika bhana tafuta wataalamu wa make up wakupake vzur, huo wanja wako kama ulipakwa na wachawi yani unatisha badilika aiseeh, sina bifu na wewe but unaniangusha sana na mavazi yako
 
Akyamungu umu nikiboko kwa udaku na michambo.Nallog out kwa hisani ya mange.NB;jamani msinichambe Mimi bibi yangu ana PhD ya....shauri zenu
 
Jamani mbona kapendeza au macho yangu
 
Binamu katika ubora wako, kweli umerudi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…