Lucy komba this is too much bhana

Nyie wanawake ndio mnawaharibu wenzenu unajuaje kama alipendewa huo uvaaji? sasa unataka kulazimisha mambo yasio style take..
 
Muulize warumi mbona tulicheka sanaa
Aaah dah nakumbuka alikua kamechisha mwenyewe kiatu chake cha kipaimara skuna za miaka 47 na Samsung yake nyeupe kaibeba juu tuione, jaman Lucy alijua kutuvunja mbavu, Mara ghafla tukasikia wametumbukia kwenye maji na baby wake, dah tulivunjika Mbavu aiseeh
 
Hahahahah yaan nahidi ulicheka kidogo ufeee weeee mim nilizimiaa
 
dem ni mshamba aliyepitiliza yani,halafu kolewa na yule mzungu chizi akaona kama vile anapelekwa mbinguni.kumbe hajui wazungu hawa ulaya huku washashindikana ndio wanakuja kuchukua vimeo huko Afrika.
Demu akiolewa na mzungu anakua na dream nyiiingi kwamba kayatoa maisha sasa ni kula bata kumbe wangjua life ya Europe wangekataa moja kwa moja .
 
Warumi badilisha mwisho umeandika "unaniangusha na mavuzi au ulimanisha mavazi "[emoji102][emoji102][emoji102]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mbona yuko poa tu???
warumi kwa michambo ni hatare
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna watu bado hatujailewa globalization
 
Hahaaaaa.... Warumi wee ni shedaaa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…