Lucy komba this is too much bhana

siku hizi umepooooza sana binamu nini mbaya? mbona hutupi tena yale mambo yetu???rudi kwa kasi bhana hili jukwaa limedoda kabisaaaa aione WARUMI
 
Nani kwakwambia ana pesa? yaani Warumi unanichekesha, mpunga kukuni nimeogopa kumwaga
 
Hatuja kumith. Usikute nawewe umeletwa mjini na defender
 
Mie macho yote kuangalia hilo vazi ila sijaliona sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…