Ludovick Utoh: Mapendekezo ya CAG huwa yanafanyiwa kazi, ila sio yote

Ludovick Utoh: Mapendekezo ya CAG huwa yanafanyiwa kazi, ila sio yote

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Aliyekuwa CAG, Ludovick Utoh amesema kuna mawaziri 8 waliachia ngazi katika awamu ya nne kutokana na ripoti za CAG. Amesema alipokuwa CAG walifanikiwa kuonesha fedha za EPA na mapendekezo yalitekelezwa japo mengine hayakutekelezwa.

Kwa miaka ya hivi karibuni hakukuwa na scandal kubwa kama za EPA na ESCROW ambayo yaliwahi kutokea katika wakati wake.

Aidha amesema yanayoandikwa kwenye ripoti za CAG sio wizi bali ni viashiria, kwa kuwa ili kusema wizi, ni lazima uchunguzi ufanyike.
 
Wahuni wamebeba audit findings ambazo nyingine ni makosa ya kihasibu, kuchelewa vithibitisho, kutoa maelezo na kuanza kuchafua watu makusudi! Tuhuma zitakuwepo tu lakini kinachoendelea sasa ni siasa tu.
 
Wahuni wamebeba audit findings ambazo nyingine ni makosa ya kihasibu, kuchelewa vithibitisho, kutoa maelezo na kuanza kuchafua watu makusudi! Tuhuma zitakuwepo tu lakini kinachoendelea sasa ni siasa tu.
Hkn anayechafuliwa kama hukufuata taratibu ni wewe usiyefuata taratibu ndiyo umejichafua. Mfano Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dodoma wamechimba kisima cha 300m wakakitelekeza ni nani amewachafua hapo kama si wao wenyewe kujichafua?

Au MSD staff mmoja analipwa 72m kama posho ya safari ya China hapo nani kamchafua kama sisi yeye mwenyewe na greed yake mbaya kajichafua?
 
Back
Top Bottom