Lugalo walambishwa asali

Lugalo walambishwa asali

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Shilingi Bilioni 4.4 zimetolewa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya miradi ya ujenzi Lugalo, pia zaidi ya Bilioni 4.8 kwa utekelezaji wa miradi ya afya kwenye Idara nyingine za Ulinzi na Usalama ikiwemo Jeshi la Polisi na Jeshi la Magereza.

FWGYW65VsAE3Zct.jpg
 
Bila ya uimara wa Lugalo sasa hivi ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kongwa kingekuwa kimeshaanza

acheni walambe asali
 
Shilingi Bilioni 4.4 zimetolewa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya miradi ya ujenzi Lugalo, pia zaidi ya Bilioni 4.8 kwa utekelezaji wa miradi ya afya kwenye Idara nyingine za Ulinzi na Usalama ikiwemo Jeshi la Polisi na Jeshi la Magereza.

View attachment 2271725
Samia ndo katoa hiyo fedha au serikali ndiyo imetoa????acha uchawa kijana
 
Back
Top Bottom