Wadau wenzangu wa soccer hivi mkiwa mnaangalia mpira kwenye Televisheni zenu iwe ni EPL,La Liga,Champions League ama ligi yoyote ya majuu ni lugha gani unayovutiwa nao ikitumiwa na commentator.
Mimi binafsi huwa napendelea utangazaji kwa lugha ya kiarabu na zile mbwembe mbwembe zao yaani nabaki nafurahi sana...zamani nilikua navutiwa na jamaa aliekuwa anaitwa John Champion ingawa siku hizi simsikii sana..
Mimi binafsi huwa napendelea utangazaji kwa lugha ya kiarabu na zile mbwembe mbwembe zao yaani nabaki nafurahi sana...zamani nilikua navutiwa na jamaa aliekuwa anaitwa John Champion ingawa siku hizi simsikii sana..