Lugha katika picha; Usinene ukamala

Aliyekuwa mwenyekiti amekuwa akisema cdm ni kikubwa kuliko viongozi.Na chama kusema kweli ni wanachama ambao walimsihi mwenyekiti kwa heshima amwachie Lisu lakini akaisahau kauli yake mwenyewe.sasa uchaguzi umeisha Viongozi wapya wasahau vijembe vilivyopita na kusameheana ili kujenga imani nyingine kuwa chama hiki ni cha matumaini hata wakati wa dhoruba.Uimara wa chama hiki kitaifanya hata ccm kuwa imara na kuwatumikia wananchi vema maana wanajua cdm inaweza kuwa mbadala wakati wowote hata kesho
 
Jasusi nguli , mbobevu kaenda adi Moscow na Ukraine kufanya research kaandika adi kitabu sjapenda mtunzieni heshima yake james bond wetu,
Na katika vijarida vyake kuna sehemu kaandika kuwa alienda Comoro miaka fulani ila uondokaji wake alizamia boti usiku mnene akapanda na mzee mmoja aliyefika katikati ya bahari akatupa mizigo na kuwaaga abiria wengine kuwa kafika (Alikuwa jini)[emoji1787]
Kifupi jasusi kapitia mengi
 
Ni kweli kabisa CDM,chama imara
 
Maskini ya Mungu Odero hasikiki na binafsi hadi leo simjui sura
 
Hapo jamaa kamebanwa na kanaweza jikojolea
 
Kwahiyo hapa hajuiekama amelala au yuko macho? Hajui kama amekaa au amesimama ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…