Lugha pekee ambayo binadamu anaielewa ni ubabe na kipigo tu

Lugha pekee ambayo binadamu anaielewa ni ubabe na kipigo tu

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Huwa tunajidanganya sana kuwa binadamu ni kiumbe aliyestaarabika. Kwamba ni kiumbe anayesikiliza reasons. Kujidanganya kabisa. Kwenye saikolojia kuna kanuni inasema, "Mind gets what it want." Kuwa akili inapata inachotaka.

Mfano. Kwenye mechi ya Simba na Yanga. Mshabiki wa Yanga atasema ni offside wakati wa Simba anasema siyo offside. Watabishana bila muafaka lakini jibu la kweli ni moja tu.

Anatokea mtu amezaliwa kwenye Ukristo, anatetea kwa nguvu zote kuwa ukristo ndiyo dini ya kweli. Huyohuyo angezaliwa kwenye uislamu angetetea kwa nguvu zote kuwa uislamu ndiyo dini ya kweli. Mambo ya siasa nayo yapo hivyo.

Siku zote akili haipo kusikiliza reasons. Ipo kurationalize ambacho tayari inakikubali. Katika hali kama hiyo lugha pekee anayoweza kuelewa ni kipigo na ubabe tu. Usiangaike sana kureason na binadamu, siyo lugha anayoelewa kirahisi.
 
Huwa tunajidanganya sana kuwa binadamu ni kiumbe rational. Kwamba mnaweza mkakaa mkaongea na kuelewana, au kufikia muafaka. Kwamba anafanya mambo kwa kupima lililo sawa na lisilo sawa. Ni kujidanganya.

Binadamu anafanya mambo kwa kuangalia mambo mawili tu. 1. Maslahi yake 2. Kuepuka adhabu.

Mambo karibu yote anayofanya binadamu ni katika kupata maslahi yake. Kama anaweza kufanya jambo baya lenye maslahi kwake na hakuna adhabu atafanya. Kinachomzuia kufanya uhalifu ni adhabu na si kwa sababu uhalifu ni mbaya.

Siku zote kaa chonjo na binadamu, hana tofauti na wanyama wa porini. Anaongozwa na maslahi yake na kukwepa adhabu. Si kiumbe rational.

Binadamu hakupi haki yako kwa sababu ni kitu sahihi kufanya. Anakupa sababu anaogopa adhabu ya kutokupa. Kama hakuna adhabu, na anapata maslahi kwa kukunyima haki, sahau kuipata.

Kuwa makini. Nu wanyama kama wanyama wengine. Lugha wanayoelewa ni ubabe tu.
 
Huwa tunajidanganya sana kuwa binadamu ni kiumbe rational. Kwamba mnaweza mkakaa mkaongea na kuelewana, au kufikia muafaka. Kwamba anafanya mambo kwa kupima lililo sawa na lisilo sawa. Ni kujidanganya.

Binadamu anafanya mambo kwa kuangalia mambo mawili tu. 1. Maslahi yake 2. Kuepuka adhabu.

Mambo karibu yote anayofanya binadamu ni katika kupata maslahi yake. Kama anaweza kufanya jambo baya lenye maslahi kwake na hakuna adhabu atafanya. Kinachomzuia kufanya uhalifu ni adhabu na si kwa sababu uhalifu ni mbaya.

Siku zote kaa chonjo na binadamu, hana tofauti na wanyama wa porini. Anaongozwa na maslahi yake na kukwepa adhabu. Si kiumbe rational.

Binadamu hakupi haki yako kwa sababu ni kitu sahihi kufanya. Anakupa sababu anaogopa adhabu ya kutokupa. Kama hakuna adhabu, na anapata maslahi kwa kukunyima haki, sahau kuipata.

Kuwa makini. Nu wanyama kama wanyama wengine. Lugha wanayoelewa ni ubabe tu.
Upo sahihi chief
 
Huwa tunajidanganya sana kuwa binadamu ni kiumbe rational. Kwamba mnaweza mkakaa mkaongea na kuelewana, au kufikia muafaka. Kwamba anafanya mambo kwa kupima lililo sawa na lisilo sawa. Ni kujidanganya.

Binadamu anafanya mambo kwa kuangalia mambo mawili tu. 1. Maslahi yake 2. Kuepuka adhabu.

Mambo karibu yote anayofanya binadamu ni katika kupata maslahi yake. Kama anaweza kufanya jambo baya lenye maslahi kwake na hakuna adhabu atafanya. Kinachomzuia kufanya uhalifu ni adhabu na si kwa sababu uhalifu ni mbaya.

Siku zote kaa chonjo na binadamu, hana tofauti na wanyama wa porini. Anaongozwa na maslahi yake na kukwepa adhabu. Si kiumbe rational.

Binadamu hakupi haki yako kwa sababu ni kitu sahihi kufanya. Anakupa sababu anaogopa adhabu ya kutokupa. Kama hakuna adhabu, na anapata maslahi kwa kukunyima haki, sahau kuipata.

Kuwa makini. Nu wanyama kama wanyama wengine. Lugha wanayoelewa ni ubabe tu.
Basi tambua hayo mahitimisho ukiyofikia ni kwa sababu umepoteza imani katika ubinadamu wetu.

Au ni vike unajaribu kurationalize hiyo nadharia yako kwa kuamua kuukataa ubinadamu ili mlinganyo uwiane.

Ukweli unabakia kuwa mwanadamu anayo maamuzi yake na anaweza kuyabadilisha kwa hizo mambo za uoga na ubabe [kinyama zaidi] lakini pia kwa sababu na upendo na imani na tumaini [kibinadamu zaidi].

Kila mwenye akili anao uwezo wa kuchagua kutumia sababu zozote zile anazoona zitamsaidia ama kuepuka kifo[survival] au kuishi vizuri[living]. Atakayechagua survival sio kwamba ni mjinga sana, la. Jua kwake ameona wazi/au hata amejidanganya rasilimali hazitoshi na yupo hatarini
 
Back
Top Bottom