kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Katika sehemu ambayo lugha ya asili zitapotea kwa kasi ni moshi
Yaani tofauti na jamii nyingine ni nadra sana kumkuta mzazi wa kichaga akibonga na mwanae kilugha hapa nazumgumzia wazazi wa sasa hivi na watoto waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 mpaka sasa
Tamaduni nyingi africa zinakufa ila walau zingebaki lugha za asili basi lakini kwa wachaga imekua tofauti
Nizipongeze jamii nyingi za tz kwa kuendelea na utamaduni mwema wa kurithisha watoto wenu lugha za asili kama nyenzo mbadala za mawasiliano
Pia wachaga wengi wakiwa mjini wanajifanya waswahili na kwamba hawajui kichaga (wanaona aibu, wanavunga kuzungumza kichaga) watakwambia hawajui hususani wasichana
Ee mungu wa israel tuhurumie watoto wetu na vizazi vyetu
Yaani tofauti na jamii nyingine ni nadra sana kumkuta mzazi wa kichaga akibonga na mwanae kilugha hapa nazumgumzia wazazi wa sasa hivi na watoto waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 mpaka sasa
Tamaduni nyingi africa zinakufa ila walau zingebaki lugha za asili basi lakini kwa wachaga imekua tofauti
Nizipongeze jamii nyingi za tz kwa kuendelea na utamaduni mwema wa kurithisha watoto wenu lugha za asili kama nyenzo mbadala za mawasiliano
Pia wachaga wengi wakiwa mjini wanajifanya waswahili na kwamba hawajui kichaga (wanaona aibu, wanavunga kuzungumza kichaga) watakwambia hawajui hususani wasichana
Ee mungu wa israel tuhurumie watoto wetu na vizazi vyetu