Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Hicho kisukuma baba...mashikolo mageni means vitu vigeni...always hutumika kwa kitu usokijua na mtu kakwambia ufanye...then in short unamjibu...mashikolo mageni ili usichekweFirstlady,
mashikoro mageni ni kichagga cha wapi na kinamaanisha nini?
mhhh,unaonaje kama tungeanza na kisukuma?
Kuna kamusi kibao za kisukuma wazee...Kisukuma ni simple as kiswahili...ngosha,bebenang'ho,namhala na mengineyo sasa wewe hebu niambie neno gani la kisukuma ambalo hutaweza liandika?tena ukome kabisa na hiyo lugha....kuna vitabu kibao vya kisukuma...nenda BUJOLA mwanza utapata translations nyingi tu toka kwa wasukuma pia DICTIONARY utapata mkuu..so ondoa shaka kwenye hilo li lugha wajameni
makabila yameanza kujitokeza hapa.
Wakuu Magulumangu na Firstlady,Hicho kisukuma baba...mashikolo mageni means vitu vigeni...always hutumika kwa kitu usokijua na mtu kakwambia ufanye...then in short unamjibu...mashikolo mageni ili usichekwe
kulimola duh!mashikoro mageni
nitafanya namna ya kuvitafuta, mkuuHichi si kiChagga. Ni kiMarangu ndio unaulizia.
Machame hakuna shida ya maandishi, tunatamka r kama "gh" itamkwavyo na waSwahili katika kusema "ghafla" kwa mfano, "maare" = majani
Sehemu inayohitaji matamshi "wa" kama kumaanisha watoto tunaandika "v" = "vana"
Sioni ugumu wa kuandika kiMarangu pia, mbona vitabu vya nyimbo za kiLutheri vya kiMarangu vimeandikwa na vinasomeka?
Location: MOSHI TANZANIA. mkuu hiyo ni location yako. mbona wajikana? makyao wachaga bana, au wewe mchaga mzaramo?Sasa wakuu,
Mbona hawa wachaga hawaeleweki?
nimepata toto la kichaga mtu wangu nikaona nipende na ua lake (kichaga)Umeshajifunza kichaga?
una furaha sana
ote umchihie koshaa!!!!
maana yake nini?
Kingi,kulimola duh!
nitafanya namna ya kuvitafuta, mkuu
Location: MOSHI TANZANIA. mkuu hiyo ni location yako. mbona wajikana? makyao wachaga bana, au wewe mchaga mzaramo?
nimepata toto la kichaga mtu wangu nikaona nipende na ua lake (kichaga)
preta unanikuna. iyo okwi!