Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati anampeleka huko shule yeye alijua anaenda kujifunza nini ?Juzi nimeona mtandaoni mama mmija akilalamika kuwa mwanae wa miaka 8 hajui vizuri kiswahili. Mwingine anasema mwanae anaongea kiswahili kama cha wahindi.
Hili ni jambo zuri au ni tatizo? Hii ipo kwa kiasi gani? Kiswahili kinaenda kufa?
Hata marehemu jiwe alikuwa hajui kiswahili vizurii,Ni kisukuma tu, hakuna jipya hapo.Juzi nimeona mtandaoni mama mmija akilalamika kuwa mwanae wa miaka 8 hajui vizuri kiswahili. Mwingine anasema mwanae anaongea kiswahili kama cha wahindi.
Hili ni jambo zuri au ni tatizo? Hii ipo kwa kiasi gani? Kiswahili kinaenda kufa?
Wenye kiswahili tupo busy kukitupa na wenzetu huko Uganda wana taman sasa kuongea kiswahili 😀😀😀😀Juzi nimeona mtandaoni mama mmija akilalamika kuwa mwanae wa miaka 8 hajui vizuri kiswahili. Mwingine anasema mwanae anaongea kiswahili kama cha wahindi.
Hili ni jambo zuri au ni tatizo? Hii ipo kwa kiasi gani? Kiswahili kinaenda kufa?
Wenye kiswahili tupo busy kukitupa na wenzetu huko Uganda wana taman sasa kuongea kiswahili [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tbc 1 wamerusha kipindi jana na leo cha kiswahili wakiungana na UBC
Ni kweli hata bila ya kufanya utafiti bado hesabu zinagoma kabisa maana kuna maeneo hakuna shule za English medium.Haiwezekani, uwiano/ratio inagoma kabisa.