Lugha zenye kudumaza: Masikini, Wanyonge, Uzalendo na Mabeberu

Lugha zenye kudumaza: Masikini, Wanyonge, Uzalendo na Mabeberu

Sio lugha za kudumaza. Ni lugha za kikatiba. Katibu ya nchi inasisitiza sera ya preferential option for the poor. Political philosophy zote zinazotambua ukuu wa maslahi ya pamoja dhidi ya maslahi binafsi zinatambua sera hii pia. Mfano ni social doctrine of the catholic and anglican churches. Boresha hoja yako.
Naona umefanya cherry picking. Hata hivyo hakuna sehemu ya katiba ikitamka hivyo. Preferential option ni kuondoa umasikini na si kuita watu masikini na wanyonge. In short, hakuna tofauti na siasa za kigabacholi.
 
Naona umefanya cherry picking. Hata hivyo hakuna sehemu ya katiba ikitamka hivyo. Preferential option ni kuondoa umasikini na si kuita watu masikini na wanyonge. In short, hakuna tofauti na siasa za kigabacholi.
Rejea:

"Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii neno "kubagua" maana yake ni kutimiza haja, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia utaifa wao, kabila, pahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini, jinsia au hali yao ya maisha kwa namna ambayo watu wa aina fulani wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa fursa au faida iliyoko nje ya masharti au sifa za lazima, isipokuwa kwamba neno "kubagua" halitafafanuliwa kwa namna ambayo itaizuia Serikali kuchukua hatua za makusudi zenye lengo la kurekebisha matatizo katika jamii." (Katiba ya JMT 1977, 13(5))
 
Huko nyuma, wale watu waliokutwa na virusi vyenye kusababisha ukimwi au ubakwaji, walikuwa wanaitwa waathirka (victims). Lakini kadri muda unavyoenda imegundulika hizi ni lugha zenye kurudisha watu nyuma na wengine mpaka sasa hivi wanaitwa survivors.

Bahati mbaya wanasiasa wa chama hiki tawala, hizi ndio zimekuwa ni lugha za kuwahadaa Watanzania kisa tu kupata umaarufu.

Kinyume cha matumizi ya lugha hizi chochezi na dumazi za wanyonge na blah blah ni kuwaona wengine ni matajiri ambao wanapaswa kuishi kama mashetani. Pamoja na mapambio haya, hawa wanaoitwa masikini wako vilevile na hali zao ndio zimezidi kuwa mbaya zaidi.
Badala ya kuweka mikakati ya kupimika ya muda mrefu, kumekuwa na mikakati ya kishabiki.

Wapo wengine mbele za watu wanaitwa mabepari lakini nyuma ya pazia ndio wanaotukopesha (maana deni linazidi kukuwa) na ndio wahisani.

Kifupi, kinachoendelea sana ni udanganyifu wenye kisiasa wenye lengo la kuwafanya wenye uwezo kwamba hawafai isipokuwa wale "wanyonge na masikini".

Ni muhimu kuwafanya Watanzania watambue hali ya umasikini na si kuwaita masikini na majina mengine chochezi.

Tutumie wakati wa sasa tuondoke kwenye siasa zisizo na tija, tujikite kwenye uhalisia wa kuwakwamua Watanzania.
Swali fikirishi waliosababisha wayonge na masikini waendelee kuwepo ni nani
 
Rejea:

"Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii neno "kubagua" maana yake ni kutimiza haja, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia utaifa wao, kabila, pahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini, jinsia au hali yao ya maisha kwa namna ambayo watu wa aina fulani wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa fursa au faida iliyoko nje ya masharti au sifa za lazima, isipokuwa kwamba neno "kubagua" halitafafanuliwa kwa namna ambayo itaizuia Serikali kuchukua hatua za makusudi zenye lengo la kurekebisha matatizo katika jamii." (Katiba ya JMT 1977, 13(5))
Kipengele kinataja hali za watu na si kuwaita masikini na wanyonge.
Pitia vizuri maandiko uone hoja.
 
Bahati mbaya wenye nyenzo za kuwakwamua wananchi kwa zaidi ya miaka 50 ndio wanaowaita haya majina.
 
Huko nyuma, wale watu waliokutwa na virusi vyenye kusababisha ukimwi au ubakwaji, walikuwa wanaitwa waathirka (victims). Lakini kadri muda unavyoenda imegundulika hizi ni lugha zenye kurudisha watu nyuma na wengine mpaka sasa hivi wanaitwa survivors.

Bahati mbaya wanasiasa wa chama hiki tawala, hizi ndio zimekuwa ni lugha za kuwahadaa Watanzania kisa tu kupata umaarufu.

Kinyume cha matumizi ya lugha hizi chochezi na dumazi za wanyonge na blah blah ni kuwaona wengine ni matajiri ambao wanapaswa kuishi kama mashetani. Pamoja na mapambio haya, hawa wanaoitwa masikini wako vilevile na hali zao ndio zimezidi kuwa mbaya zaidi.
Badala ya kuweka mikakati ya kupimika ya muda mrefu, kumekuwa na mikakati ya kishabiki.

Wapo wengine mbele za watu wanaitwa mabepari lakini nyuma ya pazia ndio wanaotukopesha (maana deni linazidi kukuwa) na ndio wahisani.

Kifupi, kinachoendelea sana ni udanganyifu wenye kisiasa wenye lengo la kuwafanya wenye uwezo kwamba hawafai isipokuwa wale "wanyonge na masikini".

Ni muhimu kuwafanya Watanzania watambue hali ya umasikini na si kuwaita masikini na majina mengine chochezi.

Tutumie wakati wa sasa tuondoke kwenye siasa zisizo na tija, tujikite kwenye uhalisia wa kuwakwamua Watanzania.
Siyo lugha za kudumaza tu bali lugha za wizi hizo wapumbavu wanapumbazwa kwa kauli hizo za kishetani huku nchi ikiliwa na watoa kauli hizo.
 
Huko nyuma, wale watu waliokutwa na virusi vyenye kusababisha ukimwi au ubakwaji, walikuwa wanaitwa waathirka (victims). Lakini kadri muda unavyoenda imegundulika hizi ni lugha zenye kurudisha watu nyuma na wengine mpaka sasa hivi wanaitwa survivors.

Bahati mbaya wanasiasa wa chama hiki tawala, hizi ndio zimekuwa ni lugha za kuwahadaa Watanzania kisa tu kupata umaarufu.

Kinyume cha matumizi ya lugha hizi chochezi na dumazi za wanyonge na blah blah ni kuwaona wengine ni matajiri ambao wanapaswa kuishi kama mashetani. Pamoja na mapambio haya, hawa wanaoitwa masikini wako vilevile na hali zao ndio zimezidi kuwa mbaya zaidi.
Badala ya kuweka mikakati ya kupimika ya muda mrefu, kumekuwa na mikakati ya kishabiki.

Wapo wengine mbele za watu wanaitwa mabepari lakini nyuma ya pazia ndio wanaotukopesha (maana deni linazidi kukuwa) na ndio wahisani.

Kifupi, kinachoendelea sana ni udanganyifu wenye kisiasa wenye lengo la kuwafanya wenye uwezo kwamba hawafai isipokuwa wale "wanyonge na masikini".

Ni muhimu kuwafanya Watanzania watambue hali ya umasikini na si kuwaita masikini na majina mengine chochezi.

Tutumie wakati wa sasa tuondoke kwenye siasa zisizo na tija, tujikite kwenye uhalisia wa kuwakwamua Watanzania.
Ni sayansi ya kichawi, hujua fika maneno huumba. Na ukute ndio neno alilopewa kulitumia kuwanajisi nalo watu kichawi.
 
Hizi lugh za umaarufu, ukomo umefika.
Miaka zaidi ya 50 ya kuongoza nchi, watu wale wale wanaitwa lugha za kupumbazwa.
 
Back
Top Bottom