Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

Ameandika kuwa " Kifo Cha Magu ,hakina utata wowote"

Jiulize, HOFU yake juu ya uchunguzi inatoka wapi ikiwa hakuna utata?
Sioni tatizo lolote tume iundwe tu ila tusisahau na hao waliotajwa maana wengine tuliambiwa tu " dissapeared and dead" familia zao zinahitaji kuujua ukweli pia na umma wa watanzania.
 
U
Nahoja ila vyema ukakaa kimyaaa
 
Nachojua Raisi hashitakiwi amewekewa kinga kuu.
Na haya mambo yakumfanya Raisi kama miungu, yanawezekana umungu mtu ukamjegea kuvunja sheria za nchi akajikuta ametengeneza maadui wengi.
Magufuli alikufa kwa ugonjwa ndio taarifa iliyotolewa na serikali yake aliokuwa anaiongoza.
Serikali haipigi ramli,tuache Magufuli apumzike, japo hatukutegemea kuondoka mapema.
 
Mnaogopa nini?,mlimfanya nini Magufuli?
 
System ni kama inamuandaa kuwa hivyo alivyo umuonavyo!!
Hivi system ni nini? Nachojua mama kafumua TISS na kajaza watu wake sasa sielewi mnaposema system ni nini? Ni kompyuta kwamba iko programmed? Kwanza hao system unadhani hawamtaki Samia? Kwamba wanataka Rais anayepinga ufisadi? Ili na wao wasiibe? Deepgreen, Meremeta n.k pesa zililiwa na jeshi lilihusika. Cha ajabu huwa mnatengeneza image kuwa Tiss/JWTZ Ni malaika fulani hivi!!
Ishu ya kifo Cha Rais ni ishu nyeti ukiona anaiongelea ujue ana baraka ya mfumo kuiongelea!!

Na kama system ikiwa serious utaona impact yake Kwa mwenendo was serikali hii!!
Hamna system" inaweza mtumia looser kama Mpina. Huyu ana hasira za kukosa uwaziri tu wala hamna mtu anaweza mtumia. Kama hao system wanampenda mbona hawakumsaidia alipoangushwa ujumbe wa NEC mkoa na taifa?. TISS haiwezi mtumia mtu asiye na influence. H
Kuna jambo linahalalishwa kufanyika kupitia hiyo move!!
hakuna lolote, Mama ndio mwenyekiti wenu hadi 2030 hayo sijui system blah blah ni binadamu tu kama wewe so wanaweza badilishwa it's not like ni kompyuta kwamba iko fixed. Nchi ingekua na system serious kama unayoidhania ipo basi JPM asingekua mgombea 2015 na wala asingewahi kupata Urais. Yaani mtu mgonjwa ana survive kwa betri mnampa Urais!!
 
Kosa la Mpina ni nini kwa uchunguzi huru ukifanyika unaogopa nini kama tatizo linafahamika neno wazuri hawafi alikutoka bahati mbaya
 
Hicho ni kitu kipo wazi mbona, labda hufuatilii
Wewe una taarifa nyeti kuliko aliyekuwa mkewe?

Mkewe alipohojiwa kuhusu jambo Hilo, alishangaa, na kusema mumewe hakuwahi kuwa na tatizo Hilo.

Wasiwasi wako kuhusu uchunguzi ni upi Hasa?
 
Wewe una taarifa nyeti kuliko aliyekuwa mkewe?

Mkewe alipohojiwa kuhusu jambo Hilo, alishangaa, na kusema mumewe hakuwahi kuwa na tatizo Hilo.

Wasiwasi wako kuhusu uchunguzi ni upi Hasa?
Mkewe alihojiwa lini? Na wapi?

Nenda UDSM pale utapata taarifa
 
kitendo cha 2019/2020 kwenye uchaguzi kilisababisha yote haya Mungu alichukia sana kwa dhuruma ya ki umma tusirudie tena.
 
Ni mmoja wao huyo!!
Haswa

Chini ni mtitiriko wa hoja za wadau ambao walikuwa wakitaja mazuri ya Hayat Rais Magufuli-na majibu kutoka kwa Johnny Sack

Ametuvusha salama kipindi cha Covid-19.


Hivi kwa akili yako corona inaweza kuondolewa kwa maombi? Na ndio maana ilimuondoa
Corona ndio imemuua Magufuli, kijazi, Maalim Seif, Balozi Mahiga na watanzania wengine wengi. Lile zee la propaganda lilikuwa likiwadanganya eti maombi yameodoa Corona, tangia lini maombi yakatibu janga? bahati nzuri amekufa


Rejea alichosema mleta mada huko juu na ulinganishe na nukuu zake

Mnaogopa nini kuhusu huu uchunguzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…