Luhaga Mpina amejaa tena kwenye kosa la utovu wa nidhamu, Bunge limshughulikie kwa kumfungia vikao 30

Luhaga Mpina amejaa tena kwenye kosa la utovu wa nidhamu, Bunge limshughulikie kwa kumfungia vikao 30

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
Kwani akifungiwa ndiyo itaondoa umasikini wako?
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
Hiyo Mpina anatumiwa na state kama check and Balance ili kuhalalisha "Leading from the dark by unknowns"

Bunge limepoteza uhalali kwa KUTETEA wezi na wabadhirifu halafu Bunge hili liliahapoteza baraka ya the state tangu uchaguzi mkuu uliopita!!!

Hata samiah anajua ndio maana alipewa maelekezo atoe covid-19 lakini akaona ni mfupa mgum kwake!!

Tarajia "the unknowns to lead from the dark"
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
naomba kuuliza wewe unakalia kigogo au upanga hapa dar es salaam
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
Aliyekuzaa ni hasara tupu
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
bashe alikiri mbele ya watanzania wote alitoa vibali kwa wafanyabiashara wasio na viwanda vya sukari ambacho ni kinyume cha sheria, hajarijibu hilo , sio yeye bunge zima limebaki kubweka kama mbwa koko hakuna aliyethubutu kumjibu mwanaume mpina zaidi ya porojo. Hayaa anayetuhumiwa amekiri tukuulize wewe ni nani?😂😂😂
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
Profile picture Yako inaonesha tabia Yako , very sad!
 
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
Katukana bunge Zima, kamtukana Mama Abdul pamoja Na Spika wa bunge , adhabu ya kumvua uanachama haimtoshi huyo
 
Hiyo Mpina anatumiwa na state kama check and Balance ili kuhalalisha "Leading from the dark by unknowns"

Bunge limepoteza uhalali kwa KUTETEA wezi na wabadhirifu halafu Bunge hili liliahapoteza baraka ya the state tangu uchaguzi mkuu uliopita!!!

Hata samiah anajua ndio maana alipewa maelekezo atoe covid-19 lakini akaona ni mfupa mgum kwake!!

Tarajia "the unknowns to lead from the dark"
tazama hapa chini Lucas Mwashambwa pamoja na uchawa wake wote alikiri kwamba bashe lazima ajitokeze kulijibu na tuhuma hizo, lakini mpaka leo si bashe wala bunge zimq lililojibu hoja
Ukiona mpaka lucas kasema ujue kweli kaona majizi na majambazi yanaongozwa na tulia ona hapo chini👇Chawa namba moja nchini akitoa neno
 

Attachments

  • EA70C359-6442-4A47-BADE-BDDC3E875902.jpeg
    EA70C359-6442-4A47-BADE-BDDC3E875902.jpeg
    227.5 KB · Views: 1
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.

Natanguliza shukrani
Matusi gani ameyasema
 
Back
Top Bottom