Siku hizi wameongezewa posho 20kTakataka za Lumumba buku 7.
Kwani akifungiwa ndiyo itaondoa umasikini wako?Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
πππKwani akifungiwa ndiyo itaondoa umasikini wako?
Hiyo Mpina anatumiwa na state kama check and Balance ili kuhalalisha "Leading from the dark by unknowns"Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
naomba kuuliza wewe unakalia kigogo au upanga hapa dar es salaamLuhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
Aliyekuzaa ni hasara tupuLuhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
bashe alikiri mbele ya watanzania wote alitoa vibali kwa wafanyabiashara wasio na viwanda vya sukari ambacho ni kinyume cha sheria, hajarijibu hilo , sio yeye bunge zima limebaki kubweka kama mbwa koko hakuna aliyethubutu kumjibu mwanaume mpina zaidi ya porojo. Hayaa anayetuhumiwa amekiri tukuulize wewe ni nani?πππLuhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
Profile picture Yako inaonesha tabia Yako , very sad!Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
sio tabia tu mpaka kinyesi chakeProfile picture Yako inaonesha tabia Yako , very sad!
πππππsio tabia tu mpaka kinyesi chake
Katukana bunge Zima, kamtukana Mama Abdul pamoja Na Spika wa bunge , adhabu ya kumvua uanachama haimtoshi huyoLuhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani
tazama hapa chini Lucas Mwashambwa pamoja na uchawa wake wote alikiri kwamba bashe lazima ajitokeze kulijibu na tuhuma hizo, lakini mpaka leo si bashe wala bunge zimq lililojibu hojaHiyo Mpina anatumiwa na state kama check and Balance ili kuhalalisha "Leading from the dark by unknowns"
Bunge limepoteza uhalali kwa KUTETEA wezi na wabadhirifu halafu Bunge hili liliahapoteza baraka ya the state tangu uchaguzi mkuu uliopita!!!
Hata samiah anajua ndio maana alipewa maelekezo atoe covid-19 lakini akaona ni mfupa mgum kwake!!
Tarajia "the unknowns to lead from the dark"
Matusi gani ameyasemaLuhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao 30 vya Bunge. Nina imani hoja hii itawasilishwa kikao kijacho ili iende maadili.
Natanguliza shukrani