Samaki waliongezeka kuanzia kwenye mabwawa hadi bahariniAache majungu na kubweka bweka. Alipokuwa Waziri wa mazingira na pia mifugo alifanya jambo gani la ajabu kwa Taifa!
Huyo Mpina 2025 Hana ubunge
Magufuli kashakufa,Kama hamtaki kuongozwa na Samia,hamieni Somalia mbuzi nyie,
Huyo Kalemani wenu msitegemee kama atarudi nishati au kupewa Tena uwaziri,,msahau kabisa kabisa
Sawa kwa uliyoyasema haya twambie mradi wa bwawa la Nyerere kwann umechelewa?Amejaa chuki tu dhidi ya Makamba!
Saivi Hakuna mgao na hali ya umeme umerudi kuwa kawaida! Kama kukatika umeme umeme haijaanza kukatika Leo wala jana!
Kuhusu bei ya Mafuta inabidi atuambie ni wapi duniani Mafuta hayajapanda bei!
Amejawa na chuki tu Huyu mpuuzi na mkabila! Wana hasira na Makamba wa watu Kwa kuendekeza upuuzi wao wa roho mbaya
Hajafeli ila anafanyiwa hujuma na baadhi ya watendaji ambao kimsingi sio wazalendo, lengo lao ni kumuqngusha Waziri bila kujali gharama na adha wanazo zipata wananchi.
na hili ndio tatizo la kujaza watu wa aina moja ktk Idara za Serikali, matokeo yake ni hujuma za chini kwa chini.
tubadilike.
Watu wa jiwe mnakazi na mnakazi sana na mtakubali tu kua jiwe alishatoweka harudi na hatorudi
Sukuma gang ebu kaeni kwa kutulia
Asante Sana kwa kuzidi kujifunua kuwa kumbe mna ajenda yenu nyie kama nyie na wala hamna ajenda za kitaifa!
Kwa taarifa yako hayo mambo mtafanikiwa huko kwenu kwa asili Rwanda na Burundi SIO TANZANIA
Umefeli wewe,huyu tunaibuka nae 2025 kwa goli la kiwiko.Makamba amefeli mapema sana
Wewe kwenu wapi Kenya, Zambia, Malawi ama Congo
Ulichelewa kwa sababu Magufuli hakuchukua mkandarasi sahihi ambaye alichukua tender akawa anasuasua mwishowe kawapa wachina ndo wanajengaSawa kwa uliyoyasema haya twambie mradi wa bwawa la Nyerere kwann umechelewa?
Anatetea kwa kutunga tuhuma za uongo? Kwamba Waziri Makamba ndio anaweza hujumu mradi wa maslahi ya Nchi? Na Ili iwaje?Unamtisha nani wee mbulula
Alichokosea nini hapo km sio kutetea wananchi na nchi yetu kwa ujumla
Ulimsikiliza CAG juzi aliposema TANESCO imelipa fine ya tsh 18 billion kwa kukata umeme na kupelekea mkandarasi kuchelewa kufikia milestone za mradi.Ulichelewa kwa sababu Magufuli hakuchukua mkandarasi sahihi ambaye alichukua tender akawa anasuasua mwishowe kawapa wachina ndo wanajenga
Kama hivyo kwann waziri arushe vijembe na huku ana majibu ya msingi, kuhusu tozo ya sh 100 kwenye mafuta kuiondoa kinyemela bila kufuata taratibu za bunge na hapo unamtetea??Ulichelewa kwa sababu Magufuli hakuchukua mkandarasi sahihi ambaye alichukua tender akawa anasuasua mwishowe kawapa wachina ndo wanajenga