Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Jibu hoja amefeli kwenye nnNdiyo amekutuma?
Zanzibar, mafuta hayajapanda wao wanayatoa wapi?Amejaa chuki tu dhidi ya Makamba!
Saivi Hakuna mgao na hali ya umeme umerudi kuwa kawaida! Kama kukatika umeme umeme haijaanza kukatika Leo wala jana!
Kuhusu bei ya Mafuta inabidi atuambie ni wapi duniani Mafuta hayajapanda bei!
Amejawa na chuki tu Huyu mpuuzi na mkabila! Wana hasira na Makamba wa watu Kwa kuendekeza upuuzi wao wa roho mbaya
Sukuma gang smart? Smart kwa nini? Kumshabikia Zumaridi?
Makamba toka mwanafunzi alikuwa incompetent hata yeye mwenyewe analijuwa hili. Huyu dogo anabebwa kwa sababu baba yake yuko chamani na ni mnafiki sana na ndiyo maana hata marehemu Magufuli aliligundua hili kuwa dogo habebeki na kumtema. Baada ya kutemwa akajiunga kwenye mkono wa waasi kutaka kumuanguasha Magufuli na bahati nzuri akadakwa akiteta kisha kuomba samahani ya kinafiki. He's like his father if not worse. Wanaume wa Kisambaa sawa tu na Wazaramo au Wapemba kwa unafiki.Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.
Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.
Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.
Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.
Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.
Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.
Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
Tatizo la magasho kuanzia mwenezi wenu😄😄😄 Haya nenda kanyonywe puru Kama ilivyo kawaida yako mtoto mzuri 😄😄😄
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kwa make nichekeVita inaanza Rasmi, uzuri wa Sukuma gang wengi ni smart upstairs
Tanesco yenyewe inamhujumu rais kwenye mradi ya jnhpp kwa kumkatia umeme mkandarasi, matokeo yake sasa serikali inadaiwa mabilioni ya pesa.Waziri amejikita kwenye Tanesco tu.
Labda kwa sababu Mandondo ndio Maharagwe kwa kiswahili.
Waziri ana nia njema lakini nia hiyo asiitimize kisiasa awe kikazi zaidi!
Ilikuwa account ya wote...Huyu ni Nape
Anachoweza ni kutuma vibonzo nakujifanya Mr smart..Tanesco yenyewe inamhujumu rais kwenye mradi ya jnhpp kwa kumkatia umeme mkandarasi, matokeo yake sasa serikali inadaiwa mabilioni ya pesa.
Huyu januari hakuna kitu kabisa ni boya tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Majiraniii tayari huku unabii wa Lissu umetimia kwa ukamilifuLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli haitawaacha salama, walidhani kuongoza ni jambo rahisirahisi kama kujibatiza jina la kigogo2014 huko twita.
Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.
Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.
Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.
Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.
Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.
Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.
Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
Na kuvaa shati "Obama Style" !Anachoweza ni kutuma vibonzo nakujifanya Mr smart..
Ko hadi afanye maajabu ndo akosea wengine la sivyo ni kukaa kimya?Aache majungu na kubweka bweka. Alipokuwa Waziri wa mazingira na pia mifugo alifanya jambo gani la ajabu kwa Taifa!