Sawa.Judicial Review inasema, unaweza pinga maamuzi ya Mamlaka yeyote ikiwemo Bunge chini ya spika.
Wewe unasema huwezi fanya hivyo? 😂
It’s funny thing when you interpret laws based on logic.Hiyo historia yote naijua.
But it is a logical non sequitur fallacy.
Inawezekana mahakama zikawa zinaweza kuhukumu kwa amri kutoka juu, halafu Mpina akapeleka kesi isiyo na merit ya kusikikizwa.
There is no contradiction there.
Mshaona kesi dhidi ya Spika haina mashiko, sasa mnaanza kujiandaa kisaikolojia kulialia kilio cha "mahakama ya amri kutoka juu"?
Nilitabiri hili.
I am not merely using logic.It’s funny thing when you interpret laws based on logic.
In law logic doesn’t have legal effects and hence non binding. What’s written on statutes is what court would be interested to know not fallacies etc.
So don’t confuse the two.
Hahitaji kuwa mtabiri kujua hizi Mahakama zetu.Hiyo historia yote naijua.
But it is a logical non sequitur fallacy.
Inawezekana mahakama zikawa zinaweza kuhukumu kwa amri kutoka juu, halafu Mpina akapeleka kesi isiyo na merit ya kusikikizwa.
There is no contradiction there.
Mshaona kesi dhidi ya Spika haina mashiko, sasa mnaanza kujiandaa kisaikolojia kulialia kilio cha "mahakama ya amri kutoka juu"?
Nilitabiri hili.
Nadhani Mpini ameshtaki watu sio mihimili. Mi sioni mkanganyiko japo mi si mwanasheria!Mahakama inaweza kutoa hukumu kuhusu uendeshwaji wa mhimili unaojitegemea wa Bunge na Spika?
Hukumu hiyo haitaharibu uhuru wa Bunge kama mhimili unaojitegemea?
Mahakama kuwa zinatoa hukumu fulani kwa amri kutoka juu haimaanishi kwamba Mpina hawezi kupeleka kesi isiyo na merit mahakamani akashindwa on the merit.Hahitaji kuwa mtabiri kujua hizi Mahakama zetu.
Rosta Aziz, aliwahi gusia jinsi Mahakama zilivyo.
Hilo halifanyi nibadili msimamo wangu kwamba Kisheria Mahakama ina nguvu ya kupitia maamuzi ya Mamlaka yeyote unayoijua wewe na kutoa oda pale inapofaa, ikewemo maamuzi ya spika kama Mamlaka ya Bunge.
Sijasema kashtaki muhimili.Nadhani Mpini ameshtaki watu sio mihimili. Mi sioni mkanganyiko japo mi si mwanasheria!
Hizi kesi zina umuhimu sana kupunguza kujisahau kwa watawala. Hata Mpini akishindwa kuna kitu kitabadilika bungeni na sirikalini umakini utarudi
Hapana.I am not merely using logic.
Nimekwambia nipe precedent kutoka Commonwealth Country/ Westminster parliament Speaker alipohukumiwa na mahakama kwa kosa la kazi za kibunge.
Hujaweza kuweka hiyo precedent.
Ila Tanzania kuna kesi mahakama ilikataa kuisikiliza kwa kusema haya ni mashauri ya Bungeni, rudini mkayamalize bungeni. Mahakama haitaki kuingilia mambo ya bunge.
Parliamentary Immunity & Separation of power are not excluded from JUDICIAL REVIEW.Sijasema kashtaki muhimili.
Nasema hivi, Spika, mtu, hasthitakiki mahakamani.Kuna sheria ya kumlinda. Kuna parliamentary immunity. Kuna separationnof powers.
Kwa hiyo Mpina ashitaki wengine lakini kupeleka kesi ya kumshitaki Spika mahakamani mahakama haitaisikiliza.
Mahakama itasema hili ni suala la Bunge, kalimalizeni Bungeni. Mahakama haiingilii mambo ya Bunge.
Hapa napo unapuyanga pia.Sawa.
Lakini kuweza kuanzisha pingamizi si sawa na kufanikisha pingamizi lipate hukumu favorable mahakamani.
Unaruhusiwa kunishitaki, lakini, kunishitaki huko hakumaanishi mahakama itaisikiliza kesi yako na kuhukumu unavyotaka.
Mahakama inaweza kusema hii kesi haina merit tunaitupilia mbali.
Kwa nini unachanganya mawili haya?
Ameshitakiwa tulia(betina)Mahakama inaweza kutoa hukumu kuhusu uendeshwaji wa mhimili unaojitegemea wa Bunge na Spika?
Hukumu hiyo haitaharibu uhuru wa Bunge kama mhimili unaojitegemea?
Kwamba wewe una akili kuliko mawakili 100???Hao wanasheria wengine hata kama wanajua hapa hakuna kesi, wanaweza kumjaza ujinga Mpina ili wale pesa zake tu.
Ila kiukweli hapa Mahakama itaitupilia mbali hii kesi kabla hata ya kuisikikiza kwa kina.
Kwa sababu ya "separation of powers".
How do people not see something that is so obvious?
Kinachowaponza wasukuma ni kukosa utulivu na misimamo ya hovyo.unawezaje kumshitaki bosi wako? Yeye ndiye aliyekuapisha then unampeleka mahakamani? Hivi Leo CCM ikiamua kumfukuza uanachama ana uhakika Gani kwamba akihamia upinzani atashinda? Wasukuma tuwe tunakubari ushauriMawakili wa Luhaga Mpina wanazungumza na waandishi wa habari muda huu.
Pamoja na nambo mengine, mawakili hao wamesema mojawapo ya kesi zilizofunguliwa ni ile anayomshtaki Spika wa Bunge na Mwanasheria mkuu wa Serikali kwa kunyang'anywa na kunyimwa haki ya kuwakilisha wananchi wa kisesa na watanzania wote kwa vikao 15 Bungeni ambapo msingi wa kesi yake anaamini ameonewa kwa kuondolewa kinyume cha Sheria.
Aidha, Mpina anaamini hatua za kuchukuliwa dhidi yake zilikuwa zimepangwa hata kabla ya yeye kusikilizwa.
Hadi sasa, zaidi ya Mawakili 100 wamejitolea kumsaidia Mpina kwenye kesi hii.
===
Kesi (ya kupitia uhalali wa kisheria kuhusu utolewaji wa vibali vya kuagiza sukari) imefunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam ambapo mdai ni ndugu Luhaga Mpina, ambao anawashtaki ni Waziri wa Kilimo, Bodi ya Sukari, viwanda vya ITEL, Zenji Industries, Waziri wa Fedha ambaye yeye anashtakiwa kwa kutoa misahama ya kodi ya VAT (Kodi ya Ongezeko la Thamani) ambapo Mpina anadai hata taarifa ya msamaha wa kodi haikuchapishwa katika gazeti la serikali, lakini pia Mpina amemshtaki Kamishina Mkuu wa TRA kwa kutokudai na kukusanya kodi kwa watu waliopewa vibali vya kuagiza sukari lakini wa mwisho kushtakiwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, shauri hilo liko mahakamani tayari.
Pia soma
Serikali iliwahi kumfukuza kazi spika, au hufahamu hili? Au unakubaliana kuna mhimili mmoja umejichimbia zaidi?Una maana gani kwamba separation of powers Bongo haipo?
De facto au de jure?
Kwahiyo nao wataweka mawakili wa serikali au wa Bashe kama Bashe?Tutafika tu mzee. Hawa umbwa wa CCM ni lazima kuwakabia kwa juu, wasipumue...
Weka kesi ya Spekaker wa bunge la sovereign state, hivyo vibunge vya kata vya Maharaja sitambui vinafuata mfumo wa Maharaja gani.Hapana.
Sijashindwa kuleta precedents, in fact, nimekuletea case ya India ( Common Law Country) ambapo maamuzi ya spika yalibatilishwa na Mahakama.
Nime attach files, usome.
Nina quote “The SC found that the Speaker’s action not only amounted to denial of principles of natural justice to the appellants, but smacked of bias.”
Kupitia Judicial Review, ombi la kupinga maamuzi ya Spika, Yalikubaliwa ( leave to petition for judicial review was granted) na Mahakama ya Juu ya India ( Supreme Court of India- SCI) na baadaye maamuzi ya spika yalitenguliwa kwa kukiuka haki za asili ( Natural Justice).
Mpina, ana haki ya kupinga maamuzi ya spika Tulia Ackson na Mahakama ikiona alikiuka sheria, ina uwezo wa kutengua maamuzi pamoja na kumpa relief Mpina.
Ukiangalia mambo mengi ni marudio tuHata Mzee Mwanakijiji alishawahi kuandika hapa…
Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?
Kwamba kuna taarifa kuwa Mahakama Kuu imeweka zuio (injunction) ya kuzuia Bunge kujadili suala la escrow kwa sababu kuna watu wameenda mbele ya mahakama kutafuta 'relief' fulani ni taarifa ambazo zilitarajiwa na zimekuwa zikinong'onwa kwa siku kadhaa sasa wakati taifa linasubiria mjadala huo...www.jamiiforums.com
Kwani nani kasema they are excluded?Parliamentary Immunity & Separation of power are not excluded from JUDICIAL REVIEW.
Why don’t you get it ? 😂