Pre GE2025 Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

Pre GE2025 Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Judicial Review inasema, unaweza pinga maamuzi ya Mamlaka yeyote ikiwemo Bunge chini ya spika.

Wewe unasema huwezi fanya hivyo? 😂
Sawa.

Lakini kuweza kuanzisha pingamizi si sawa na kufanikisha pingamizi lipate hukumu favorable mahakamani.

Unaruhusiwa kunishitaki, lakini, kunishitaki huko hakumaanishi mahakama itaisikiliza kesi yako na kuhukumu unavyotaka.

Mahakama inaweza kusema hii kesi haina merit tunaitupilia mbali.

Kwa nini unachanganya mawili haya?
 
Hiyo historia yote naijua.

But it is a logical non sequitur fallacy.

Inawezekana mahakama zikawa zinaweza kuhukumu kwa amri kutoka juu, halafu Mpina akapeleka kesi isiyo na merit ya kusikikizwa.

There is no contradiction there.

Mshaona kesi dhidi ya Spika haina mashiko, sasa mnaanza kujiandaa kisaikolojia kulialia kilio cha "mahakama ya amri kutoka juu"?

Nilitabiri hili.
It’s funny thing when you interpret laws based on logic.

In law logic doesn’t have legal effects and hence non binding. What’s written on statutes is what court would be interested to know not fallacies etc.

So don’t confuse the two.
 
It’s funny thing when you interpret laws based on logic.

In law logic doesn’t have legal effects and hence non binding. What’s written on statutes is what court would be interested to know not fallacies etc.

So don’t confuse the two.
I am not merely using logic.

Nimekwambia nipe precedent kutoka Commonwealth Country/ Westminster parliament Speaker alipohukumiwa na mahakama kwa kosa la kazi za kibunge.

Hujaweza kuweka hiyo precedent.

Ila Tanzania kuna kesi mahakama ilikataa kuisikiliza kwa kusema haya ni mashauri ya Bungeni, rudini mkayamalize bungeni. Mahakama haitaki kuingilia mambo ya bunge.
 
Hiyo historia yote naijua.

But it is a logical non sequitur fallacy.

Inawezekana mahakama zikawa zinaweza kuhukumu kwa amri kutoka juu, halafu Mpina akapeleka kesi isiyo na merit ya kusikikizwa.

There is no contradiction there.

Mshaona kesi dhidi ya Spika haina mashiko, sasa mnaanza kujiandaa kisaikolojia kulialia kilio cha "mahakama ya amri kutoka juu"?

Nilitabiri hili.
Hahitaji kuwa mtabiri kujua hizi Mahakama zetu.

Rosta Aziz, aliwahi gusia jinsi Mahakama zilivyo.

Hilo halifanyi nibadili msimamo wangu kwamba Kisheria Mahakama ina nguvu ya kupitia maamuzi ya Mamlaka yeyote unayoijua wewe na kutoa oda pale inapofaa, ikewemo maamuzi ya spika kama Mamlaka ya Bunge.
 
Mahakama inaweza kutoa hukumu kuhusu uendeshwaji wa mhimili unaojitegemea wa Bunge na Spika?

Hukumu hiyo haitaharibu uhuru wa Bunge kama mhimili unaojitegemea?
Nadhani Mpini ameshtaki watu sio mihimili. Mi sioni mkanganyiko japo mi si mwanasheria!

Hizi kesi zina umuhimu sana kupunguza kujisahau kwa watawala. Hata Mpini akishindwa kuna kitu kitabadilika bungeni na sirikalini umakini utarudi
 
Hahitaji kuwa mtabiri kujua hizi Mahakama zetu.

Rosta Aziz, aliwahi gusia jinsi Mahakama zilivyo.

Hilo halifanyi nibadili msimamo wangu kwamba Kisheria Mahakama ina nguvu ya kupitia maamuzi ya Mamlaka yeyote unayoijua wewe na kutoa oda pale inapofaa, ikewemo maamuzi ya spika kama Mamlaka ya Bunge.
Mahakama kuwa zinatoa hukumu fulani kwa amri kutoka juu haimaanishi kwamba Mpina hawezi kupeleka kesi isiyo na merit mahakamani akashindwa on the merit.

To think otherwise is a non sequitur fallacy.

Mahakama kuwa na nguvu ya kupitia maamuzi ya mamlaka yoyote haina maana itapitia.

That is another non sequitur fallacy.

Mathalani, mteule wa Rais aliyetenguliwa na Rais akienda kushitaki mahakamani, shauri lake litatupiliwa mbali, kwa sababu Rais ni mkuu wa muhimili, teuzi na tenguzi zake hazihojiwi mahakamani.

Kwenye uchaguzi wa rais, rais akishatangazwa na Tume ya Uchaguzi, matokeo hayo kwa sheria zetu hayapingiki mahakamani.

Maamuzi ya Spika katika kuendesha bunge, hayahukumiwi na mahakama.

Mifano mingi tu.

Sema inaonekana una fantasy yako unayoiendekeza.

Utapigwa na kitu kizito halafu uje ulielie kusema "mahakama zinaendeshwa kwa amri kutika juu" wakati hili ni jambo wazi kabisa.

Mahakama haitamhukumu Spika kwenye kesi ya kuwndesha Bunge.
 
Nadhani Mpini ameshtaki watu sio mihimili. Mi sioni mkanganyiko japo mi si mwanasheria!

Hizi kesi zina umuhimu sana kupunguza kujisahau kwa watawala. Hata Mpini akishindwa kuna kitu kitabadilika bungeni na sirikalini umakini utarudi
Sijasema kashtaki muhimili.

Nasema hivi, Spika, mtu, hasthitakiki mahakamani.Kuna sheria ya kumlinda. Kuna parliamentary immunity. Kuna separationnof powers.

Kwa hiyo Mpina ashitaki wengine lakini kupeleka kesi ya kumshitaki Spika mahakamani mahakama haitaisikiliza.

Mahakama itasema hili ni suala la Bunge, kalimalizeni Bungeni. Mahakama haiingilii mambo ya Bunge.
 
I am not merely using logic.

Nimekwambia nipe precedent kutoka Commonwealth Country/ Westminster parliament Speaker alipohukumiwa na mahakama kwa kosa la kazi za kibunge.

Hujaweza kuweka hiyo precedent.

Ila Tanzania kuna kesi mahakama ilikataa kuisikiliza kwa kusema haya ni mashauri ya Bungeni, rudini mkayamalize bungeni. Mahakama haitaki kuingilia mambo ya bunge.
Hapana.

Sijashindwa kuleta precedents, in fact, nimekuletea case ya India ( Common Law Country) ambapo maamuzi ya spika yalibatilishwa na Mahakama.

Nime attach files, usome.

Nina quote “The SC found that the Speaker’s action not only amounted to denial of principles of natural justice to the appellants, but smacked of bias.”

Kupitia Judicial Review, ombi la kupinga maamuzi ya Spika, Yalikubaliwa ( leave to petition for judicial review was granted) na Mahakama ya Juu ya India ( Supreme Court of India- SCI) na baadaye maamuzi ya spika yalitenguliwa kwa kukiuka haki za asili ( Natural Justice).

Mpina, ana haki ya kupinga maamuzi ya spika Tulia Ackson na Mahakama ikiona alikiuka sheria, ina uwezo wa kutengua maamuzi pamoja na kumpa relief Mpina.
 

Attachments

Sijasema kashtaki muhimili.

Nasema hivi, Spika, mtu, hasthitakiki mahakamani.Kuna sheria ya kumlinda. Kuna parliamentary immunity. Kuna separationnof powers.

Kwa hiyo Mpina ashitaki wengine lakini kupeleka kesi ya kumshitaki Spika mahakamani mahakama haitaisikiliza.

Mahakama itasema hili ni suala la Bunge, kalimalizeni Bungeni. Mahakama haiingilii mambo ya Bunge.
Parliamentary Immunity & Separation of power are not excluded from JUDICIAL REVIEW.

Why don’t you get it ? 😂
 
Sawa.

Lakini kuweza kuanzisha pingamizi si sawa na kufanikisha pingamizi lipate hukumu favorable mahakamani.

Unaruhusiwa kunishitaki, lakini, kunishitaki huko hakumaanishi mahakama itaisikiliza kesi yako na kuhukumu unavyotaka.

Mahakama inaweza kusema hii kesi haina merit tunaitupilia mbali.

Kwa nini unachanganya mawili haya?
Hapa napo unapuyanga pia.

Ulichotaka kueleza ni outcome ya kushitaki, ambayo inaweza kuwa favorable for one party while unfavorable to another party, this doesn’t necessarily mean unfavorable outcome of case on part of plaintiff would be because there’s no merit of case. WRONG!

Unfavorable outcome of case can be a number of things, some of which can be attributable even to biases of presiding judge(s).

Unfortunately , Court Registrar, one appointed by President is the one assigning cases to a specific judges 😹
 
Mahakama inaweza kutoa hukumu kuhusu uendeshwaji wa mhimili unaojitegemea wa Bunge na Spika?

Hukumu hiyo haitaharibu uhuru wa Bunge kama mhimili unaojitegemea?
Ameshitakiwa tulia(betina)
Hao wanasheria wengine hata kama wanajua hapa hakuna kesi, wanaweza kumjaza ujinga Mpina ili wale pesa zake tu.

Ila kiukweli hapa Mahakama itaitupilia mbali hii kesi kabla hata ya kuisikikiza kwa kina.

Kwa sababu ya "separation of powers".

How do people not see something that is so obvious?
Kwamba wewe una akili kuliko mawakili 100???
 
Mawakili wa Luhaga Mpina wanazungumza na waandishi wa habari muda huu.

Pamoja na nambo mengine, mawakili hao wamesema mojawapo ya kesi zilizofunguliwa ni ile anayomshtaki Spika wa Bunge na Mwanasheria mkuu wa Serikali kwa kunyang'anywa na kunyimwa haki ya kuwakilisha wananchi wa kisesa na watanzania wote kwa vikao 15 Bungeni ambapo msingi wa kesi yake anaamini ameonewa kwa kuondolewa kinyume cha Sheria.

Aidha, Mpina anaamini hatua za kuchukuliwa dhidi yake zilikuwa zimepangwa hata kabla ya yeye kusikilizwa.

Hadi sasa, zaidi ya Mawakili 100 wamejitolea kumsaidia Mpina kwenye kesi hii.

===

Kesi (ya kupitia uhalali wa kisheria kuhusu utolewaji wa vibali vya kuagiza sukari) imefunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam ambapo mdai ni ndugu Luhaga Mpina, ambao anawashtaki ni Waziri wa Kilimo, Bodi ya Sukari, viwanda vya ITEL, Zenji Industries, Waziri wa Fedha ambaye yeye anashtakiwa kwa kutoa misahama ya kodi ya VAT (Kodi ya Ongezeko la Thamani) ambapo Mpina anadai hata taarifa ya msamaha wa kodi haikuchapishwa katika gazeti la serikali, lakini pia Mpina amemshtaki Kamishina Mkuu wa TRA kwa kutokudai na kukusanya kodi kwa watu waliopewa vibali vya kuagiza sukari lakini wa mwisho kushtakiwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, shauri hilo liko mahakamani tayari.

Pia soma

Kinachowaponza wasukuma ni kukosa utulivu na misimamo ya hovyo.unawezaje kumshitaki bosi wako? Yeye ndiye aliyekuapisha then unampeleka mahakamani? Hivi Leo CCM ikiamua kumfukuza uanachama ana uhakika Gani kwamba akihamia upinzani atashinda? Wasukuma tuwe tunakubari ushauri
 
Bunge kama sehemu mojawapo ya mihimili,Kiongozi wake Mkuu Spika anafunguliwa mashitaka kwenye mihimili mwingine,kuna shida mahala.

Nadhani huko ni kuingilia mihimili mwingine kutekeleza majukumu/maamuzi yake.

Kwa upande mwingine shauri hilo linaweza kupelekea baadhi ya kanuni na Sheria za uanzishwaji na uendeshaji wa Bunge zikapitiwa upya.

Kinga niionayo kwa Mh.Spika ni kuwa sio yeye aliyependekeza adhabu bali lile lilikuwa ni azimo na michango ya wabunge.

Sema tu kuna swali la kwanini wabunge wa mahala pengine kuchangia mbunge mwenzao anayewakilisha wananchi wa Jimbo lake na Taifa kwa ujumla asimamishwe kwa muda mrefu,Je ni nani atakuwa mbadala wa aliyesimamishwa?
 
Mahakama ndiyo Mhimili wenye mamlaka ya kutafusiri Sheria zinazotungwa na bunge au Serikali na kuagiza ipasavyo,kama zinakinzana na Katiba ya nchi
 
Hapana.

Sijashindwa kuleta precedents, in fact, nimekuletea case ya India ( Common Law Country) ambapo maamuzi ya spika yalibatilishwa na Mahakama.

Nime attach files, usome.

Nina quote “The SC found that the Speaker’s action not only amounted to denial of principles of natural justice to the appellants, but smacked of bias.”

Kupitia Judicial Review, ombi la kupinga maamuzi ya Spika, Yalikubaliwa ( leave to petition for judicial review was granted) na Mahakama ya Juu ya India ( Supreme Court of India- SCI) na baadaye maamuzi ya spika yalitenguliwa kwa kukiuka haki za asili ( Natural Justice).

Mpina, ana haki ya kupinga maamuzi ya spika Tulia Ackson na Mahakama ikiona alikiuka sheria, ina uwezo wa kutengua maamuzi pamoja na kumpa relief Mpina.
Weka kesi ya Spekaker wa bunge la sovereign state, hivyo vibunge vya kata vya Maharaja sitambui vinafuata mfumo wa Maharaja gani.
 
Hata Mzee Mwanakijiji alishawahi kuandika hapa…

Ukiangalia mambo mengi ni marudio tu
 
Parliamentary Immunity & Separation of power are not excluded from JUDICIAL REVIEW.

Why don’t you get it ? 😂
Kwani nani kasema they are excluded?

Why are you repeating this logical non sequitur fallacy?

Mimi nakwambia hata zikiwa reviewed, mahakama itakataa kusikiliza kesi ya Spika kuhusu anavyoendesha bunge.

Wewe unaniambia kuna Judicial Review.

That is a logical fallacy, logical non sequitur.

Just because there is judicial review, that does not guarantee that the court will take a case against the Speaker regarding how she runs the parliament.

Logical non sequitur fallacy.
 
Back
Top Bottom