Pre GE2025 Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

Pre GE2025 Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
A double whammy.

Ila tatizo ninaloliona hapa ni kwamba, mahakama ikikataa kusikiliza kesi ya Spika, kwa sababu za halali za separation of powers, watu watasema mahakama imekataa kwa amri kutoka juu.
Mkuu nafikiri unaitafsiri "separation of powers" na "checks and balance" ndivyo sivyo.
Kiuhalisia checks and balance ni kuzuia mhimili mmoja usivuke mipaka yake ya kiutendaji au usikiuke katiba na sheria zilizokubaliwa kuongoza utendaji wa mhimili husika na pale ambapo huo mhimili unavuka au unakiuka taratibu zake zilizokubaliwa/kuwekwa basi mhimili mwingine uwe na uwezo wa kuurudisha mstarini au kufanya remedy.
 
Mahakama inaweza kutoa hukumu kuhusu uendeshwaji wa mhimili unaojitegemea wa Bunge na Spika?

Hukumu hiyo haitaharibu uhuru wa Bunge kama mhimili unaojitegemea?
Hapa umechanganya concept, kwani chombo Cha mwisho Cha utendaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania si tulishakubaliana Ni mahakama as per CURT?

Pia fatilia Afrika Kusini uone Bunge linavyochachafywa na Mahakama i.e wanaita ConCourt (Consitutuional Court ).
 
Jambo la msingi ni kwamba mahakama haitakiwi kuhukumu shauri la Bunge linavyojiendesha.

Mbunge akiweza kushitaki hata kwa mizimu aende tu.
Hapana sio sahihi,
Kama katiba yetu inasema wabunge wote lazima wawe na chama cha siasa halafu ikitokea spika anaapisha wabunge wasiokuwa na chama chochote cha siasa mahakama ina wajibu wa kutengua ubunge wa hao wasio na chama cha siasa kwa ukiukwaji wa katiba n taratibu za bunge.
 
Mkuu nafikiri unaitafsiri "separation of powers" na "checks and balance" ndivyo sivyo.
Kiuhalisia checks and balance ni kuzuia mhimili mmoja usivuke mipaka yake ya kiutendaji au usikiuke katiba na sheria zilizokubaliwa kuongoza utendaji wa mhimili husika na pale ambapo huo mhimili unavuka au unakiuka taratibu zake zilizokubaliwa/kuwekwa basi mhimili mwingine uwe na uwezo wa kuurudisha mstarini au kufanya remedy.
Bunge halitakiwi kuingiliwa linavyojiendesha, likiingiliwa kuna hatari ya muhimili kuongozwa kwa remote control.

Separation of powers imekataza mahakama kumhukumu Spika kwa jinsi anavyoendesha Bunge ili kuweka separation kati ya Bunge na Mahakama. Spika na wabunge wafanye kazi zao kwa uhuru bila ya kuogopa kuingiliwa na mahakama.

Ndiyo maana hata mbunge akifanya kosa bungeni katika kazi zake za kibunge, hatakiwi kushitakiwa na kuhukumiwa mahakamani, kwa sababu ana parliamentary immunity.

Sasa, ikiwa mbunge ana parliamentary immunity, Spika si zaidi?

Unaelewa kuwa Spika analindwa asishitakiwe na kuna sheria ya immunity imepitishwa?
 
Mahakama inafuata sheria. Usifanye kosa la kuchanganya sheria na haki.

Mahakama zishawahi kutupa kesi za mashauri ya bunge kwa msingi wa kutenganisha nguvu za Bunge na Mahakama.

Nimeuliza swali hujanijibu, sijui kama hata umelielewa.

Mahakama haiingilii Bunge. Hii ni mihimili tofauti na yote inajitegemea. Sijui watu hawaelewi hii kanuni au vipi?

Hii kesi ya Spika na masuala ya Bunge linavyoendeshwa itasikilizwaje na Mahakama bila Mahakama kuingilia uhuru wa Bunge?

Huoni kwamba Mpina alitakiwa kwenda Bungeni na kuweka motion ya kumpigia Spika kura ya kukosa imani, Spika awe impeached? Wabunge wamalize mambo yao Bungeni bila ya kuingia kwenye mtego wa kupeleka kesi Mahakamani halafu Mahakama ikatae kusikikiza kesi kwa sababu ni jambo la uendeshwaji wa Bunge, na Mahakama haiwezi kuingilia mambo ya uendeshwaji wa Bunge?
Hata kama ni suala la uendeshwaji wa bunge so long ni suala linalohitaji tafsiri ya sheria mahakama itimize wajibu wake. hakuna mtu au chombo kilicho juu ya sheria
 
Hata kama ni suala la uendeshwaji wa bunge so long ni suala linalohitaji tafsiri ya sheria mahakama itimize wajibu wake. hakuna mtu au chombo kilicho juu ya sheria
Sawa.

Ndiyo maana Mpina kapeleka kesi mahakamani, hajakatazwa.

Na mahakama itamwambia kuwa kwenye suala la kumshitaki Spika, mahakama haiwezi kuhukumu, hili ni suala la Bunge.

Unaelewa kuwa Bunge lilitunga na kupitisha sheria ya immunity ambayo imemuwekea Spika kinga dhidi ya kushitakiwa?
 
Precedents lazima ziwepo, ni suala la kuzitafuta.

Hata kama sio Tanzania, kwasababu sisi ni Common Law country, tuna weza import legal precedents from UK S2(3), Judicature and Application of Laws Act.
Na hata kusema "hili suala la kumshtaki Spika kwa jinsi alivyoendesha Bunge ni suala la Bunge, kalimalizeni Bungeni" ni sehemu ya kutafsiri sheria, kanuni na taratibu hizo.

Na kuna precedent ya hili la kurudisha kesi Bungeni. Mahakama ishawahi kufanya hivi, ikifanya tena haitakuwa mara ya kwanza.Kazi
 
Na hata kusema "hili suala la kumshtaki Spika kwa jinsi alivyoendesha Bunge ni suala la Bunge, kalimalizeni Bungeni" ni sehemu ya kutafsiri sheria, kanuni na taratibu hizo.

Na kuna precedent ya hili la kurudisha kesi Bungeni. Mahakama ishawahi kufanya hivi, ikifanya tena haitakuwa mara ya kwanza.
Kazi ya kutafsiri sheria ni ya Mahakama sio Bunge.

Kumrudisha Mpina bungeni akatafsiriwe sheria na spika wakati ipo Mahakama yenye kazi hiyo ni jambo la ajabu.

Kwanza kurudi saivi haruhusiwi mpaka amalazie adhabu ambayo kimsingi anadai imekiuka sheria.
 
Precedents lazima ziwepo, ni suala la kuzitafuta.

Hata kama sio Tanzania, kwasababu sisi ni Common Law country, tuna weza import legal precedents from UK S2(3), Judicature and Application of Laws Act.
Weka precedent kutoka Commonwealth/ Westminster parliament system ambayo si banana republic hapa. Precedent ya Spika ameshitakiwa na kuhukumiwa kwa kesi ya alivyoendesha Bunge.

Unaelewa kwamba Tanzania imepitisha sheria ya immunity kumkinga Spika, na viongozi wengine wakubwa wa serikali kushitakiwa mahakamani?
 
Kazi ya kutafsiri sheria ni ya Mahakama sio Bunge.

Kumrudisha Mpina bungeni akatafsiriwe sheria na spika wakati ipo Mahakama yenye kazi hiyo ni jambo la ajabu.

Kwanza kurudi saivi haruhusiwi mpaka amalazie adhabu ambayo kimsingi anadai imekiuka sheria.
Kusema "hili ni suala la Bunge, si la mahakama, kamalizeni suala hili Bungeni" ni kutafsiri sheria pia.

Kwenye suala la kumshitaki Spika, Mpina hatarudishwa Bungeni akatafsiriwe sheria.

Mpina atarudishwa Bungeni na kuambiwa mahakama haimuhukumu Spika kwenye suala la Spika kuendesha Bunge, pia, kuna sheria ya kumkinga Spika asishitakiwe mahakamani. Hilo ni suala la Bunge, si la mahakama. Hiyo ndiyo sheria.
 
Ukifuata utawala wa sheria, mahakama haivunji parliamentary immunity
Parliamentary immunity imewekwa na sheria, Mahakama chini ya ibara 64(5) ya Katiba, ina uwezo wa kubatilisha sheria inayokinzana na Katiba na ku oder the same to be struck off from statutes.

Hivyo, chini ya utawala wa sheria, Mahakama ina uwezo kikatiba kuvunja parliamentary immunity so long it’s inconsistent with Constitution.
 
Sawa.

Ndiyo maana Mpina kapeleka kesi mahakamani, hajakatazwa.

Na mahakama itamwambia kuwa kwenye suala la kumshitaki Spika, mahakama haiwezi kuhukumu, hili ni suala la Bunge.

Unaelewa kuwa Bunge lilitunga na kupitisha sheria ya immunity ambayo imemuwekea Spika kinga dhidi ya kushitakiwa?
Unachanganya kitu hapa, nahisi hii ndio sababu huelewi dhima ya kesi ya Mpina.

Anachopinga Mpina ni maamuzi ya spika kumzuia asihudhurie vikao 15 mfululizo Bungeni. Na sio kumshitaki spika kama yeye, NI MAAMUZI YA SPIKA. Kwamba yalikiuka sheria & utaratibu uliopo kwe National Standing Order of National Assembly, 2023.
 
Parliamentary immunity imewekwa na sheria, Mahakama chini ya ibara 64(5) ya Katiba, ina uwezo wa kubatilisha sheria inayokinzana na Katiba na ku oder the same to be struck off from statutes.

Hivyo, chini ya utawala wa sheria, Mahakama ina uwezo kikatiba kuvunja parliamentary immunity so long it’s inconsistent with Constitution.
But how is parliamentary immunity inconsistent with the constitution? This is an old tradition in Commonwealth countries and Westminster parliaments.

Halafu hata ukivunja parliamentary immunity leo, just to entertain you and rais an immanent critique, how are you applying that retroactively? That is against most logical jurisprudence. Yiu will habe yo apply that going forward and let this incident go.

Unataka kuanzisha sheria inayosema kuvaa mashati ya kijani ni kosa la jinai leo halafu uende kwenye picha kukamata watu wote waliovaa mashati ya kijani kw amwaka mzima uliopita?

How absurd!

It looks like you guys are trying to inbent all kinds of scenarios just to nab the Speaker, against all kinds of principles of law.

You started by trying to break separation of powers.

And now you want to strike laws off the book and invoke that void retroactively?
 
Weka precedent kutoka Commonwealth/ Westminster parliament system ambayo si banana republic hapa. Precedent ya Spika ameshitakiwa na kuhukumiwa kwa kesi ya alivyoendesha Bunge.

Unaelewa kwamba Tanzania imepitisha sheria ya immunity kumkinga Spika, na viongozi wengine wakubwa wa serikali kushitakiwa mahakamani?
I will say this again.

Mpina anadai maamuzi ya spika kumsimamisha kwa vikao 15 sio halali kisheria.

Mahakama ikiona kulikuwa na ukiukwaji wa sheria, kupitia judicial review, inaweza ku order maamuzi ya spika yaondolewe na Mpina arudishwe Bungeni.

Rejea, Mahakama Kenya ilivyotoa order kwa Rais Kenyatta Kuwaapisha Majaji wa Rufani pale alivyogoma kuwaapisha.

Mahakama kupitia Judicial Review wali order Mandamus ( compelling an authority to perform its mandate where it has failed to do so)

That’s how law works.

I REPEAT, EDUCATE YOURSELF ON JUDICIAL REVIEW AND ITS IMPLICATIONS.
 
Kusema "hili ni suala la Bunge, si la mahakama, kamalizeni suala hili Bungeni" ni kutafsiri sheria pia.

Kwenye suala la kumshitaki Spika, Mpina hatarudishwa Bungeni akatafsiriwe sheria.

Mpina atarudishwa Bungeni na kuambiwa mahakama haimuhukumu Spika kwenye suala la Spika kuendesha Bunge, pia, kuna sheria ya kumkinga Spika asishitakiwe mahakamani. Hilo ni suala la Bunge, si la mahakama. Hiyo ndiyo sheria.
Speaker ni Authority, unakubali hili?

Kama ndio, authorities zote zinaweza kuwa challenged kisheria kupitia judicial review kwenye maamuzi yake.

Wapi huelewi?
 
Unachanganya kitu hapa, nahisi hii ndio sababu huelewi dhima ya kesi ya Mpina.

Anachopinga Mpina ni maamuzi ya spika kumzuia asihudhurie vikao 15 mfululizo Bungeni. Na sio kumshitaki spika kama yeye, NI MAAMUZI YA SPIKA. Kwamba yalikiuka sheria & utaratibu uliopo kwe National Standing Order of National Assembly, 2023.
Spika kamfukuza Mpina vikao 15 bungeni. Mpina analalamika kaonewa.

Sehemu ya Mpina kumshitaki Spika ni bungeni, si mahakamani.

Bunge lina mpaka mchakato wa kumtoa Spika kwa impeachment na vote of no confidence.

Mahakama haiingilii namna Spika anavyoendesha Bunge.

Kwanza Spika ana sheria ya kinga dhidi ya kushitakiwa mahakamani. Unamshitakije?
 
Speaker ni Authority, unakubali hili?

Kama ndio, authorities zote zinaweza kuwa challenged kisheria kupitia judicial review kwenye maamuzi yake.

Wapi huelewi?

Kuwa challeghed on what?

That is a logical non sequitur fallacy.

Kuweza kuwa challenged si kuwa successfully challenged.

Unaruhusiwa kufungua kesi dhidi ya Spika kwa sababu ya alivyoendesha Bunge, hapo umeanzisha challenge. Unataka tafsiri ya sheria kutoka mahakamani.

Mahakama nayo inaruhusiwa kukuambia hili ni shauri la Bunge, mahakama haiingilii Bunge na kuhukumu kesi ya Spika anavyoendesha Bunge. Kapeleke suala lako Bungeni mkalimalize huko huko. Hatutaki kuvunja separation of powers kwa kuingilia kesi za Spika anavyoendesha Bunge.

Huelewi wapi?
 
Sahihi....ila mpina why now?
Kanuni ya Maisha haitaki mambo ya yesterdays bhana, ni todays na the future huko.

Ukianza kujiuliza kwa nini jana sijafanya hili ama lile, kwa nini jana sikulisema hili nk nk, unakuwa umekiuka kanuni za maisha ya kidunia.

Ubongo kwa kufikiri na kuwaza hufafanya kazi masaa yote, hivyo kuwaza jambo jipya leo haimaanishi kuidhihaki jana, sababujana wazo hilo lilikuwa bado kuzalishwa akilini.

Hapo ni kuangalia tu hoja iliyopo mezani ni nini, lakini kuanza kuhoji kwa nini isiwe jana, jibu lake ni simple tu kwamba: 'jambo hili nimeliwaza leo, siku ya jana wazo hilo sikuwa nalo'.
 
Back
Top Bottom