Bado hujaelewa.But how is parliamentary immunity inconsistent with the constitution? This is an old tradition in Commonwealth countries and Westminster parliaments.
Halafu hata ukivunja parliamentary immunity leo, just to entertain you and rais an immanent critique, how are you applying that retroactively? That is against most logical jurisprudence. Yiu will habe yo apply that going forward and let this incident go.
Unataka kuanzisha sheria inayosema kuvaa mashati ya kijani ni kosa la jinai leo halafu uende kwenye picha kukamata watu wote waliovaa mashati ya kijani kw amwaka mzima uliopita?
How absurd!
It looks like you guys are trying to inbent all kinds of scenarios just to nab the Speaker, against all kinds of principles of law.
You started by trying to break separation of powers.
And now you want to strike laws off the book and invoke that void retroactively?
Katiba ni sheria mama, si ndio?
However, Katiba haiwezi kuwa Too Prescriptive, as such it needs other laws to supplement it.
Parliamentary Immunity ipo kwenye Katiba, Lakini pia, kuna sheria nyingine zime prescribe immunity ya parliament, ikiwemo hiyo sheria uliyosema imetungwa majuzi kumuwekea kinga spika asishitakiwe Mahakamani akiwa Bungeni.
If that supplementary law has provisions which are inconsistent with Constitution, Court has power to order for their removal.