Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

Hahaha kuna watu hawampendi watakuja kupinga. zitto junior Karibu tena usikie uongo wa Mpina huku.
Acha kupindisha mambo nilisema humu uongo wa Mpina aliowahi sema bungeni specifically uongo wa Trillion 30 eti zilifisadiwa ndani ya bajeti moja!! Na kwamba miamala shuku ipo ya Trillion 120!! Na hata wewe mtetezi ulikosa ushahidi so ndio basis ya kumuita muongo.

So kabla hujatafuta attention jibu hizo hoja na lini aliwahi peleka ushahidi bungeni.

Kuhusu hili la Bashe maadam aliambiwa apeleke bungeni tusubiri majibu ya Bashe ili kubalance mjadala.
 
Mpina naelekea kuiumehe kosa lako la kutoboa mitumbwi ya Wananchi Kwa Kisingizio cha zana haramu za uvuvi.
 
Waziri wa Kilimo kuna jambo linakuhusu Wakulima wa Njombe. Ushirika wa Wakuu wa wilaya mkoa na wanunuzi ni malalamiko mazito…
Toeni WaKenya kwenye kununua zao la parachichi na mahindi. Wanasafirisha matunda nje wanasema Product of Kenya wakati ni matunda na mahindi ni product ya Tanganyika

Nani alituloga? Umaskini tunautengeneza wenyewe sorry watawala wana.,
 
Hahaha ulidandia treni, mjadala ulikuwa huu huu wa Bashe na Mpina wewe ukaleta hbari ambazo wengine hatukuwa nazo. Mpina aliishapeleka ushahidi kama kawaida na spika ata clear soon fuatilia. Bashe aliisha sema siku ile ile kwamba"Mpina yuko sahihi, NERF ndio walibadili kanuni za uagizaji".
 
Unachekesha kweli kweli, yaani Rais hana taarifa? Rais through proxy - yaani Abdul and the team- syndicate wapo kazini. Bashe hana ubavu wa kufanya hizi deal bila ya kule juu. Sawa na kusema ati Daudi Balali alito pesa EPA bila kule juu kutojua. Ofisi ya juu inakupa moyo/confidence ya kufanya; kuwa wataku-protect na wewe unaingia mkenge!!
 
Mpina anauwezo mkubwa sana.angekuwa na Samia anauwezo kama mpina,Nchi hii ingepiga hatua kama ilivyo ulaya.
 
Shida saizi utakuta amefanya labda hakuwa kwny mgao, na kuna mtu kichwa nyuma yake sio yy. Sasa mkimpa uraisi mwaka tu mnakuja kulia tena apa.
Atajitokeza mjinga ambae hajapewa mgao wake, atafanya kazi ya kuchoma wenzake naye mtampa Urasi, kumbuka nae atakua anatoka CCM.
Kama CCM wakimteua Mpina kuwa mgombea urais wao 2025 nitampigia kura. Ni moja ya watu wanaojitambua waliopo ndani ya bunge.

Au niseme ndio mtu pekee anaejitambua hapo mjengoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…