Luhaga Mpina anaongozwa na chuki na ukabila kuliko uzalendo na ukweli. Ushahidi huu hapa

Luhaga Mpina anaongozwa na chuki na ukabila kuliko uzalendo na ukweli. Ushahidi huu hapa

Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Mkishikwaga pabaya, mnakujaga na hoja zisizo na mashiko kama hizi..!!
 
Mleta Uzi ningekuwa nimezaliwa Leo na kukua Leo ningekulewa lakni Kwa Sasa Hivi Kanye uchambie nguzi ulale.

Hoja za mpina hayupo mbunge Wala waziri aliye simama akazipangua tofauti na porojo hizi mnazo leta!!


Mpina anaungwa mkono na watanganyika wengi wanao umia Mali Yao kuliwa kama apple
 
Hakuna evidence hata kidogo, na hamna mtu Ambaye ameweza kuleta evidence ya hiyo Trilion, hata Zitto aliyeibua hizo hana evidence. Leta evidence. Kuna ndege alinunua cash na kweli ndege zipo; so what? Kwa haya ya Mpina Vs Makamba au Bashe kuna hard evidence

CAG ndiye aliyeibua hiyo hoja
 
Nilitaka nikujibu kwa hekima, ila ngoja nikujibu kipuuzi kama ulivyouliza.
Nakuuliza swali, wewe ambapo huwa unamlaumu magufuli, wkt kuna rais mwingine, huwa unamaanisha nini?!
Cc; denoo JG ,

NB: Nilifikiri una uwezo wa kupambanua muda na mantiki kumbe ushabiki unaweza kukupumbaza ukawa mjinga wkt flani. Makamba ni nani asisemwe.

Wanasemwa hadi kina Mkapa, kina Nyerere, kwani hatuna marais wengine saivi.?!
Huyo jamaa ni mpenzi wa mafisadi, nimekuwa nikimfuatilia kwa muda kuna wakati nahisi hiyo id yake ni yule kiumbe halisi mwenye hilo jina.

Kwasababu amefanana nae vingi kuanzia unafiki na kukalia kimya ufisadi {wakati ule wa mkataba wa DPW nilimuuliza nini maoni yake, akaanijibu hazungumzii jambo lisilo na ushahidi, nikamwambia IGA ipo, akapotea moja kwa moja}.

Tangu wakati ule, huyu mleta mada namuona ni kibaraka wa mafisadi, na ndio maana hata juzi alivyoshangilia Mpina kuondolewa bungeni binafsi sikumshangaa.
 
Tuhuma yako ya kwanza; Mpina anamtupia lawama Makamba na Maharage licha ya kuwa hawapo tena Wizara ya Nishati;

Hii hoja ya kitoto kabisa, ina maana hujui kwamba tuhuma hizo ni za wakati Makamba na Maharage wakiwa wizara ya Nishati? kwamba unataka kwasababu hao jamaa wameondoka wizara ya Nishati, basi na tuhuma dhidi yao zisizungumziwe? No way, lazima wajibu.
Tuhuma ya kwamba CSR haijalipwa mpaka leo mbona hailipwi, nilitegemea kwenye hotuba ya bajeti ya Biteko angembana kwanini hatulipwi pesa za CSR ila alikua kimya. Ndio sasa nauliza kwani Makamba bado waziri? Kwanini asimbane Biteko atafute hizo pesa.

Naomba ujibu hili kwanza ndio tuendelee.
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Ni kumuacha hivyo hivyo
 
Hata kama nakaa mtaani mimi sijakutuma uje kuniwakilisha hapa, mbona unashindwa kuielewa fact nyepesi hivi?!

Wenzako Basi wamenituma, wewe tulia kama hukunituma
Kama mnakubali hoja za Mpina ni sahihi, sasa kwanini nyie mnaleta hoja zisizokuwepo za ukanda na udini? hamjioni nyie ndio wenye matatizo?

Unashindwa kuelewa upo nchi na Dunia Ipi Mkûu?
Unajua maana ya Demokrasia?
Mpina ametumia Uhuru wake Kufichua maovu Jambo ambalo ni jema.
Lakini mtoa Mada naye Katumia Uhuru wake kumshangaa Mpina kuwa mzalendo na mfichua maovu. Swali Hapo NI "why now?"

Sasa shida yako ni MTU kutumia Uhuru wake Kutoa maonî yake Bila kuvunja Sheria

Au wapi Mpina kwenye hoja zake amezungumzia udini, ukanda, na chuki kama nyie mlivyoamua kumjibu?
Hakuna sehemu yoyote Mpina amezungumzia hayo(Ukabila na Udini) ila hoja ya mtoa Mada NI kuhusu Mawe mawili ya Mpina.


Just shut up.

Unafoka kizungu😃
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Ishu wamepiga hawajapiga...........mengine mbele kwa mbele,,, wa dizaini hio mbona wakina Zito Kabwe wapo
 
- Hoja zako # 2 & 3 zote naziweka kundi moja, nilichokiona kwenye mindset yako simply hutaki Makamba atajwe kwa ubaya, na kwasababu umejaa mahaba yaliyopitiliza kwa Makamba, na chuki kwa wapinzani wake, ndio maana unamuona kila anaempinga Makamba ana chuki nae binafsi kumbe huo ni ugonjwa wako peke yako.
Wapi nimesema namkubali Makamba? Mbona hata Bashe nilimtetea humu. Nachopinga ni huu unafiki kwamba akikosea January au Bashe or fisadi mwingine wa CCM inakua kesi ila akifanya msukuma mwenzake kama Biteko anakaa kimya.

Mfano IPTL ilipaswa kutulipa 2021, je waziri hakua Kalemani? Mbona hakumbana ila alipoingia January ndio akasema amehongwa.

Tuache unafiki kama tunataka kusaidia hili taifa. Double standards hazitotusaidia, Biteko leo ni waziri ila hatujalipwa CSR mpina mbona yupo kimya?
 
Biteko ameingia ofisini lini? muda wa Biteko aliokaa ofisini na Makamba aliokaa ofisini unafanana?au unamuona Biteko malaika afanye kila kitu ndani ya muda mfupi aliokaa ofisini?
Biteko amekaa mwaka mzima tayari, hatujalipwa CSRA, Hatujalipwa hela za kucheleweshewa mradi, wala IPTL haijatulipa pesa zetu ila Mpina yupo kimya analaumu tu January.

Sasa anataka January akazipambanie hizo pesa kama nani?
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Nikushauri tu Kwa mahaba uliyonayo Kwa bwana solar eclipse omba akuoe roho Yako iridhike. Mpina ni lidude likubwa mno huliwezi wewe vingenevyo utakunya huku unatembea kama ng'ombe.
 
Biteko amekaa mwaka mzima tayari, hatujalipwa CSRA, Hatujalipwa hela za kucheleweshewa mradi, wala IPTL haijatulipa pesa zetu ila Mpina yupo kimya analaumu tu January.

Sasa anataka January akazipambanie hizo pesa kama nani?
Kwani hujawahi yasemea hayo unamsubiri mpina aseme? Punguza uharo wako
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Kusimamia Mambo yenye maslahi mapana ya nchi ni UBINAFSI?? SUKARI,VIBALI OVYO, KUMLINDA KMULIMA WA MIWA,Kuhoji sana CAG report ni ubinafsi???
 
Wewe tangu siku ile umeshangilia Mpina kupewa adhabu ya kufukuzwa bungeni nilishajua kichwa chako ni kibovu, ni mpiga zumari wa mafisadi usie na huruma na pesa zetu watanganyika, wala usitudanganye kujiita mzalendo, hauna uzalendo wowote
Yaani unataka tumshabikie huyo fisadi wa CCM ndio niwe mzalendo? Mimi napinga unafiki miaka yote, huwezi ukawa unapinga ufisadi alafu wewe unfocused kwa January na Bashe unaacha kina Biteko na Mavunde wanaofanya makosa yaleyale.
 
Kwani hujawahi yasemea hayo unamsubiri mpina aseme? Punguza uharo wako
Ufisadi wa Ccm unafahamika kwa miaka 60 sasa, hakuna ambacho hatujasema. Mfano Mpina hajawahi kutaka ripoti ya mafisadi wa mali za CCM isomwe hadharani maana alikua waziri ila cha ajabu leo hii ndio analalamika kwanini list ile haiwekwi wazi, kama sio unafiki ni nini?
 
Kusimamia Mambo yenye maslahi mapana ya nchi ni UBINAFSI?? SUKARI,VIBALI OVYO, KUMLINDA KMULIMA WA MIWA,Kuhoji sana CAG report ni ubinafsi???
Jibu swali, waziri wa nishati ni Biteko na mpaka napoandika hapa hatujalipwa hela za CSR, IPTL wala Cost-overruns je kwanini Mpina asimhoji Biteko?
 
Nikushauri tu Kwa mahaba uliyonayo Kwa bwana solar eclipse omba akuoe roho Yako iridhike. Mpina ni lidude likubwa mno huliwezi wewe vingenevyo utakunya huku unatembea kama ng'ombe.
Nani hamuwezi si alikatwa kwenye uchaguzi wa NEC mkoa na taifa, je nini alizuia? He's a nobody kwenye siasa za nchi hii. Ni mtu anaendeshwa na chuki baada ya kunyimwa uwaziri.
 
Mpina anaeleza mambo na vielezo na Time Line, inaonyesha Biteko kaja lini hapo Wizarani na Makamba kaja lini na kakaa muda gani. Na wewe unyesha vielelezo na Time Line siyo kuleta majungu. Huna evidence kaa pembeni.
Biteko amekuja August 2023, amekaa mwaka mzima kwanini hajadai pesa za CSR au IPTL? au tumsubiri January ambaye hayupo wizarani atafute hizo pesa?
 
Nonsense, tuhuma za Mpina ni genuine hazina uhusiano wowote na mambo ya kimila, au kikanda, tuondolee hii segregation ya kizamani hapa.
Mbona hajamuita Biteko na ndio ana dhamana ya kudai pesa za CSR na IPTL? mbona mnakwepa hili swali
 
Back
Top Bottom