Nilikuwa namuona mtu anayejua kujenga hoja, kumbe udini umempumbaza. Ni ngumu sana kujadili hoja na mtu wa aina hiiKajamaa ni kapumbavu sana!
Ukimgusa Makamba na Samia huwa kana kuwa kqkali kama pilipili
Wkt wa JPM nilikuwa naona kama ana hoja flani, kumbe ni kwa vile alikuwa ni magufuli john, hajui mantiki, hivi kweli leo yeye ni wa kuhoji eti mpina ana chuki, haoni kabisa hoja ktk maelezo ya mpina?! Halafu anasema eti aulizwe waziri aliyepo! Smh..Huyo jamaa ni mpenzi wa mafisadi, nimekuwa nikimfuatilia kwa muda kuna wakati nahisi hiyo id yake ni yule kiumbe halisi mwenye hilo jina.
Kwasababu amefanana nae vingi kuanzia unafiki na kukalia kimya ufisadi {wakati ule wa mkataba wa DPW nilimuuliza nini maoni yake, akaanijibu hazungumzii jambo lisilo na ushahidi, nikamwambia IGA ipo, akapotea moja kwa moja}.
Tangu wakati ule, huyu mleta mada namuona ni kibaraka wa mafisadi, na ndio maana hata juzi alivyoshangilia Mpina kuondolewa bungeni binafsi sikumshangaa.
Kwahiyo wakusema ni mpina pekee? asiposema Aaaaaah Hamna habari serengeti inauzwa hamsemi akisema yeye mnamuona ni mkabila na mdini? umelogwa weweUfisadi wa Ccm unafahamika kwa miaka 60 sasa, hakuna ambacho hatujasema. Mfano Mpina hajawahi kutaka ripoti ya mafisadi wa mali za CCM isomwe hadharani maana alikua waziri ila cha ajabu leo hii ndio analalamika kwanini list ile haiwekwi wazi, kama sio unafiki ni nini?
Ulifika Chuo Kikuu? Chuo gan? Na ulipata GPA ya ngapi?.Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.
Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?
2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?
3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?
Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.
Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65
Rangi zao halisi zinaanza kuonekana kwa urahisi sana.Wkt wa JPM nilikuwa naona kama ana hoja flani, kumbe ni kwa vile alikuwa ni magufuli john, hajui mantiki, hivi kweli leo yeye ni wa kuhoji eti mpina ana chuki, haoni kabisa hoja ktk maelezo ya mpina?! Halafu anasema eti aulizwe waziri aliyepo! Smh..
Hoja za kutolipwa CSR si waziri ni Biteko? Au Makamba ndio ana majibu? Mfano IPTL haijalipa fedha zetu sasa waziri si Biteko ama?Hii nchi tuna kasumba za hovyo sana, mtu kaeleza alichokiona, badala apate majibu yatakayopangua hoja zake mtu anakimbilia ukabila, udini au ukanda.....! Hoja za Mpina SI za Leo ni za toka siku nyingi.
Kama ulikuwa na hamu ya swali usingeshangilia siku ile Mpina ameadhibiwa asihudhurie vikao zaidi ya kumi vya bunge, kwasababu kama shida yako ni swali kwa Biteko, hilo swali angeweza kuliuliza wakati wowote akiwa bungeni sio lazima iwe kwenye bajeti ya wizara.Tuhuma ya kwamba CSR haijalipwa mpaka leo mbona hailipwi, nilitegemea kwenye hotuba ya bajeti ya Biteko angembana kwanini hatulipwi pesa za CSR ila alikua kimya. Ndio sasa nauliza kwani Makamba bado waziri? Kwanini asimbane Biteko atafute hizo pesa.
Naomba ujibu hili kwanza ndio tuendelee.
Nina Msc ya UDBS na GPA ya 4.3.Ulifika Chuo Kikuu? Chuo gan? Na ulipata GPA ya ngapi?.
Mahakamani inahusiana nini na hoja yangu kuhusu kutomuwajibisha Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamana ya nishati? Analalamika ufisadi wizarani alafu hapo hapo anasema Makamba ndio anahusika? Sasa serikali kutodai pesa za IPTL inahusiana nini na Makamba ambaye sio waziri?Unafiki tu ndo umfanye aende mahakaman? Mahakaman unaweza kwenda Kwasababu tu una unafiki?.
Nimewahi weka humu facts hizo hakuna aliyejibu. Hata wewe huna uwezo wa kujibu. Mfano nilihoji hoja ya Mpina kuwa kuna ufisadi wa Trillion 30 kwa mwaka mmoja tu wa bajeti 2021/22 nililuliza je kwa bajeti ya Trillion 44 je ina maana mishahara au deni la taifa halikulipwa mwaka mzima?Tulishasema, mwenye Hoja na Facts zenye shahidi kama anavyofanya MPINA ,aziweke wazi, tutamsoma, tutamsikiliza, tutampima, tutafanya maamuzi.
Watanzania sio wajinga.
Sio kila jambo la maslahi ya kitaifa alisemee yeye, Kuna issue ya priorityJibu swali, waziri wa nishati ni Biteko na mpaka napoandika hapa hatujalipwa hela za CSR, IPTL wala Cost-overruns je kwanini Mpina asimhoji Biteko?
Huu ni uthibitisho kuwa ccm imeoza!Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.
Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?
2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?
3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?
Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.
Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65
Tatizo wote humu hamjasikiliza video kabla ya comments. Mpina ameweka wazi kabisa kuwa kuna ufisadi wizara ya Nishati ndio maana hatujalipwa pesa za CSR, JNHEPP na IPTL.Hoja za Mpina hazikujibiwa si na Serikali wala Bunge badala yake alishambuliwa, kutishwa hatimaye kuadhibiwa kinyume na taratibu.
Nawe mleta uzi umejikita kwa Mpina personally kuliko hoja alizotoa indicating that hoja zake ni nzito hazijibiki!
Kama hoja zake zingejibiwa kwa vielelezo tungesema kweli ana lake jambo.
Una tatizo la kumpangia Mpina nini cha kuongea, au kama ni swali, unataka amuulize nani na asimuulize nani.Yaani unataka tumshabikie huyo fisadi wa CCM ndio niwe mzalendo? Mimi napinga unafiki miaka yote, huwezi ukawa unapinga ufisadi alafu wewe unfocused kwa January na Bashe unaacha kina Biteko na Mavunde wanaofanya makosa yaleyale.
Tatizo mkuu hujasikiliza video kabla ya comments. Mpina ameweka wazi kabisa kuwa kuna ufisadi wizara ya Nishati ndio maana hatujalipwa pesa za CSR, JNHEPP na IPTL. Na hili namuunga mkono kabisa kuwa CCM inanuka ufisadiKama ulikuwa na hamu ya swali usingeshangilia siku ile Mpina ameadhibiwa asihudhurie vikao zaidi ya kumi vya bunge, kwasababu kama shida yako ni swali kwa Biteko, hilo swali angeweza kuliuliza wakati wowote akiwa bungeni sio lazima iwe kwenye bajeti ya wizara.
Hivyo basi, kama ulikubali kufurahia ujinga wa Spika Tulia na ile kamati ya bunge aliyounda ili kumuadhibu Mpina, basi ujue hiyo ndio siku ulipomfunga Mpina mdomo asimuulize Biteko hilo swali lako, usimlaumu hana kosa, kosa ni lako.
Kwahiyo priority yake ni Makamba sio ufisadi? Ndio unafiki wenyewe huo naousemea hapaSio kila jambo la maslahi ya kitaifa alisemee yeye, Kuna issue ya priority
Sugar gap ni tani 95,000 nini nini kilimfanya Bashe aagize tani 410,000??Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.
Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?
2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?
3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?
Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.
Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65
Hoja ni kuhusu makamba kwenye video hayo ya sugar gap nimeshajibu kwenye ule uzi wa Mpina kuenguliwa bungeni.Sugar gap ni tani 95,000 nini nini kilimfanya Bashe aagize tani 410,000??
Maswali magumu ya Mpina!!
Supply iwe juu ya Demand.Sugar gap ni tani 95,000 nini nini kilimfanya Bashe aagize tani 410,000??
Maswali magumu ya Mpina!!
Demand ipi wakati viwanda vya ndani vinazalisha zaidi ya tani 300,000 na kubakisha gap ya tani 95000-100,0000!Supply iwe juu ya Demand.