Luhaga Mpina apokelewa na maelfu ya Wananchi jimboni kwake Kisesa, CHADEMA na ACT Wazalendo washiriki Mapokezi Wakiongozwa na CCM

Huyo ndio Msukuma halisi ,mtanganyika mwenzetu ,sio wale wengine feki mashushu wa Rwanda waliojipenyeza kukwapua rasilimali za Tanganyika ,wamegawana vitalu vya madini yote kanda ya ziwa na kugawa mpaka upm.

Aibu kubwa inakuja kwa wabunge wa CCM. Rasilimali za asili haziwezi kuwaacha wezi salama
 
Anaempa hizo zilizosababisha akafungiwa ni mkubwa kuliko huyo aliemfukuza na kumfungia uwakilishi wake Bungeni!
Hakuna mkubwa CCM kuliko mwenyekiti, mbona Mpina alikatwa NEC taifa na mkoa na hakuna kilichotokea. Huko CCM hakuna demokrasia, Mwenyekiti anachoamua ndio kinakua.
 
Undisputed luhaga mpina. A man with brass balls among all mbogamboga comrades.
Stop gaslighting, he's heading into a political oblivion!! Never expect a CCM crony to be a patriot, most are just opportunists who are frustrated by their exclusion from the corruption coffers!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…