Luhaga Mpina arejea Bungeni kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu yake ya sakata la Sukari

Luhaga Mpina arejea Bungeni kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu yake ya sakata la Sukari

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi kupitia kura baada ya Mpina kushindwa kuthibitisha madai yake dhidi ya Waziri wa Kilimo.

1730961741221.png
Pia, Soma:
Picha na Video: Jambo TV
 
huyu mbunge ananikumbusha kauli hii... upinzani wa kweli unatakiwa utoke ndan y ccm. anajtahd kupambana ingaw hana comeback y wbunge wenzake wte n machawa t.
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi kupitia kura baada ya Mpina kushindwa kuthibitisha madai yake dhidi ya Waziri wa Kilimo.
Pia, Soma:
Picha na Video: Jambo
Huyu mwamba ni jeshi la mtu mmoja. Aibu kwa speaker kuzima hoja yake dhidi ya ufisadi wa mawaziri Bashe na Madilu. Ndio mjue tuna speaker mlinda ufisadi kwa hivyo mwenyewe atakua fisadi. Tulio na uwezo wa kuelewa tulielewa vizuri shutuma alizotoa Mpina za ufisadi aliyofanya waziri Bashe. Tulia akalibeba labda kwa maelekezo toka serikalini kuzima moto na kumgeuzia kibao Mpina. Viva Mpina. Umma wa wananchi wako nawe hadi kieleweke.
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi kupitia kura baada ya Mpina kushindwa kuthibitisha madai yake dhidi ya Waziri wa Kilimo.
Pia, Soma:
Picha na Video: Jambo TV
MSALITI WA NCHI KARUDI BUNGENI KWENDA KUHARIBU TENA
 
Huyu mwamba Tulia alitumika kuzuia madai yake dhidi ya mawaziri kuhusu ufisadi yasisikilizwe na bunge. Kisha akatekeleza kumuadhibu Mpina bure mtu mzalendo aliyekua mkweli kuhusu ufisadi wa mawaziri bashe na gwigulu. Ni speaker fisadi tu licha ya maigizo yake.
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi kupitia kura baada ya Mpina kushindwa kuthibitisha madai yake dhidi ya Waziri wa Kilimo.
Pia, Soma:
Picha na Video: Jambo TV
Aendeleze ubishi atajuwa kwanini ndugai siyo spika hapo.
 
Huyu mwamba Tulia alitumika kuzuia madai yake dhidi ya mawaziri kuhusu ufisadi yasisikilizwe na bunge. Kisha akatekeleza kumuadhibu Mpina bure mtu mzalendo aliyekua mkweli kuhusu ufisadi wa mawaziri bashe na gwigulu. Ni speaker fisadi tu licha ya maigizo yake.
Aendeleze ubishi atajuwa kwanini ndugai siyo spika hapo.
Hebu niambie... Kwani huyoo mvaa kilemba ana uwezo wa kutengeu uteuzi wa mbunge?😏
 
Back
Top Bottom