kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Unajua maana ya lofa au uchawa ndio unakusumbua?We
We ni lofa mwenzie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya lofa au uchawa ndio unakusumbua?We
We ni lofa mwenzie
Mwamba mpina is back.Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi kupitia kura baada ya Mpina kushindwa kuthibitisha madai yake dhidi ya Waziri wa Kilimo.
Pia, Soma:
Picha na Video: Jambo TV
Sifahamu unamuongelea nani.Huyu mwamba Tulia alitumika kuzuia madai yake dhidi ya mawaziri kuhusu ufisadi yasisikilizwe na bunge. Kisha akatekeleza kumuadhibu Mpina bure mtu mzalendo aliyekua mkweli kuhusu ufisadi wa mawaziri bashe na gwigulu. Ni speaker fisadi tu licha ya maigizo yake.
Hebu niambie... Kwani huyoo mvaa kilemba ana uwezo wa kutengeu uteuzi wa mbunge?😏
Hii tahadhari ya kutokula hovyo ameanza kuichukua siku nyingi sana.......tangu enzi zile alipowapima kwa rula samaki waliopikwa.Ila ajiangalie sana ikiwezekana hata chakula Kantini asile wana hasira naye sana.
ulitaka aendelee kutega kama wale wabunge wako? amemaliza ahdabu ya kidharimu amerudi kuwatumikia wananchi wake full stop....Njaa haina mbabe, amewahi posho za vikao
Ccm akili ndogo wanajua wamefanya ujinga alafu wanalazimisha wapewe ushahidi alafu ni kwa mtu kama Mpina lile kosa spika hatolirudia tena,spika ndiyo alizinguaSubiri atalianzisha tena
Naona umevurugwa mkuuHuyo mshamba wa kisukuma anapambania tumbo lake hampambanii yeyote, shida ni kukosa uwaziri. Ni fisadi tu amewanyanganya wananchi ardhi yao kule Morogoro. Lilivyo jinga anafikiri anaweza kushindana na Rais, Rais ni jitu kubwa sana huwezi shindana nalo. Akamfufue yule mshamba mwenzake ndiyo atarudi kuwa waziri. Lofa hilo
Mbona unaandika ujinga namna hii aisee! Kwani hii nchi ni ya Nani hadi ufike huko kote? Kama we ni kijana hautaweza kutunza familia maana kichwani hamna kitu!Huyo mshamba wa kisukuma anapambania tumbo lake hampambanii yeyote, shida ni kukosa uwaziri. Ni fisadi tu amewanyanganya wananchi ardhi yao kule Morogoro. Lilivyo jinga anafikiri anaweza kushindana na Rais, Rais ni jitu kubwa sana huwezi shindana nalo. Akamfufue yule mshamba mwenzake ndiyo atarudi kuwa waziri. Lofa hilo
RaisMbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi kupitia kura baada ya Mpina kushindwa kuthibitisha madai yake dhidi ya Waziri wa Kilimo.
Pia, Soma:
Picha na Video: Jambo TV
Wewe mjinga sana, unadhani huko bungeni kaenda peke yake kufata posho?Njaa haina mbabe, amewahi posho za vikao
Sijamuongelea Gwajima, nimemuongelea Luhaga Mpina, mjinga mwenzioE
Wewe mjinga sana, unadhani huko bungeni kaenda peke yake kufata posho?
Mpina kaenda baada ya muda wa adhabu kuisha, kama ni posho hàta mbunge wako askofu gwàjima yumo humo bungeni.