Luhaga Mpina ataka Bunge lipitishe sheria ya kunyonga mafisadi na wezi wa fedha za umma

Luhaga Mpina ataka Bunge lipitishe sheria ya kunyonga mafisadi na wezi wa fedha za umma

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, ameiomba Serikali kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia na kupitisha sheria kali, ikiwemo adhabu ya kunyongwa kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya ubadhilifu wa mali za umma.


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Nyakafuru, Halmashauri ya Mbogwe, mkoani Geita, Mpina alisisitiza kuwa matumizi mabaya ya kodi za wananchi yanawakosesha haki ya kupata huduma bora za kijamii, jambo linalosababisha madhara makubwa kwa jamii.

"Kutokana na mafisadi hawa wachache, bado tunashuhudia vifo vya wajawazito na watoto, wagonjwa wakikosa huduma muhimu hospitalini, elimu duni kutokana na ukosefu wa miundombinu bora ya kujifunzia na kufundishia, huku baadhi ya watu wachache wakigawana na kutafuna fedha hizo kwa tamaa," alisema Mpina.

Aidha, alibainisha kuwa alipowasilishwa kwa mara ya kwanza hoja hiyo bungeni, alikuwa Mbunge wa 121 kujiorodhesha kuunga mkono na hadi sasa wabunge 168 tayari wameunga mkono pendekezo hilo.

Mpina.png

"Ninaamini katika Bunge lijalo la bajeti, hoja hii itajadiliwa kwa kina. Rais wetu aliunda tume ya maboresho ya kodi, nami nilichangia kwa kuandika ripoti yenye kurasa 235 kuhusu masuala ya kodi. Ripoti yangu ilibaini kuwa kila mwaka, takribani trilioni 42 zinapotea kutokana na ubadhilifu wa fedha za umma," aliongeza.

"Fedha za umma zikitumiwa vibaya, matokeo yake ni kwamba hospitali hazitakuwa na dawa wala madaktari wa kutosha. Watu wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma hizo muhimu? Watoto wangapi wamefariki kwa kukosa damu kwa sababu fedha zinaliwa na mafisadi?" alihoji Mpina.

Mbali na hayo, aliwataka wawakilishi wa wananchi kuepuka kuwa "machawa" wa viongozi wakubwa na badala yake wazingatie kusimamia maslahi ya wapiga kura wao.

Source: Nipashe
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, ameiomba Serikali kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia na kupitisha sheria kali, ikiwemo adhabu ya kunyongwa kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya ubadhilifu wa mali za umma.


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Nyakafuru, Halmashauri ya Mbogwe, mkoani Geita, Mpina alisisitiza kuwa matumizi mabaya ya kodi za wananchi yanawakosesha haki ya kupata huduma bora za kijamii, jambo linalosababisha madhara makubwa kwa jamii.

"Kutokana na mafisadi hawa wachache, bado tunashuhudia vifo vya wajawazito na watoto, wagonjwa wakikosa huduma muhimu hospitalini, elimu duni kutokana na ukosefu wa miundombinu bora ya kujifunzia na kufundishia, huku baadhi ya watu wachache wakigawana na kutafuna fedha hizo kwa tamaa," alisema Mpina.

Aidha, alibainisha kuwa alipowasilishwa kwa mara ya kwanza hoja hiyo bungeni, alikuwa Mbunge wa 121 kujiorodhesha kuunga mkono na hadi sasa wabunge 168 tayari wameunga mkono pendekezo hilo.


"Ninaamini katika Bunge lijalo la bajeti, hoja hii itajadiliwa kwa kina. Rais wetu aliunda tume ya maboresho ya kodi, nami nilichangia kwa kuandika ripoti yenye kurasa 235 kuhusu masuala ya kodi. Ripoti yangu ilibaini kuwa kila mwaka, takribani trilioni 42 zinapotea kutokana na ubadhilifu wa fedha za umma," aliongeza.

"Fedha za umma zikitumiwa vibaya, matokeo yake ni kwamba hospitali hazitakuwa na dawa wala madaktari wa kutosha. Watu wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma hizo muhimu? Watoto wangapi wamefariki kwa kukosa damu kwa sababu fedha zinaliwa na mafisadi?" alihoji Mpina.

Mbali na hayo, aliwataka wawakilishi wa wananchi kuepuka kuwa "machawa" wa viongozi wakubwa na badala yake wazingatie kusimamia maslahi ya wapiga kura wao.

Source: Nipashe
Yaani wapitishe sheria ya kujinyonga? Sio bungenhilo
 
Ikipitishwa hii sheria Abdul atakuwa wa kwanza kushughulikiwa.
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, ameiomba Serikali kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia na kupitisha sheria kali, ikiwemo adhabu ya kunyongwa kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya ubadhilifu wa mali za umma.


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Nyakafuru, Halmashauri ya Mbogwe, mkoani Geita, Mpina alisisitiza kuwa matumizi mabaya ya kodi za wananchi yanawakosesha haki ya kupata huduma bora za kijamii, jambo linalosababisha madhara makubwa kwa jamii.

"Kutokana na mafisadi hawa wachache, bado tunashuhudia vifo vya wajawazito na watoto, wagonjwa wakikosa huduma muhimu hospitalini, elimu duni kutokana na ukosefu wa miundombinu bora ya kujifunzia na kufundishia, huku baadhi ya watu wachache wakigawana na kutafuna fedha hizo kwa tamaa," alisema Mpina.

Aidha, alibainisha kuwa alipowasilishwa kwa mara ya kwanza hoja hiyo bungeni, alikuwa Mbunge wa 121 kujiorodhesha kuunga mkono na hadi sasa wabunge 168 tayari wameunga mkono pendekezo hilo.


"Ninaamini katika Bunge lijalo la bajeti, hoja hii itajadiliwa kwa kina. Rais wetu aliunda tume ya maboresho ya kodi, nami nilichangia kwa kuandika ripoti yenye kurasa 235 kuhusu masuala ya kodi. Ripoti yangu ilibaini kuwa kila mwaka, takribani trilioni 42 zinapotea kutokana na ubadhilifu wa fedha za umma," aliongeza.

"Fedha za umma zikitumiwa vibaya, matokeo yake ni kwamba hospitali hazitakuwa na dawa wala madaktari wa kutosha. Watu wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma hizo muhimu? Watoto wangapi wamefariki kwa kukosa damu kwa sababu fedha zinaliwa na mafisadi?" alihoji Mpina.

Mbali na hayo, aliwataka wawakilishi wa wananchi kuepuka kuwa "machawa" wa viongozi wakubwa na badala yake wazingatie kusimamia maslahi ya wapiga kura wao.

Source: Nipashe
Wezi wa kwanza wa fedha za uma ni wale ambao mapato yao (mishahara) haikatwi kodi.

Wezi wa pili ni wale waliojiwekea mishahara mikubwa mikubwa na marupurupu mengi tu bila kujali kada zingine zinapata vipi. Yaani mishahara yao ya siku ndio wengine wanachukua Kwa mwezi

Wezi wa tatu ni wale waliojiwekea ukomo wao wa kustaafu utumishi ni baada ya miaka mitano tu lakini wengine tusubiri mpaka tufikishe miaka 55. Na baada ya kumaliza hii miaka mitano wanaweza kuanza upya utumishi wakati sisi wengine ndio bas Tena.

Wezi wengine wa nne ni wale waliojipangia kiinua mgongo cha TZS 0.25Billion baada ya miaka mitano tu ya utumishi wakati wengine unaweza kufanya kazi hata miaka 35 na usitoke hata na nusu yao.

Wezi ni wengi sana nchi hii. Lakini Hawa hapa juu wasisahaulike pia
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, ameiomba Serikali kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia na kupitisha sheria kali, ikiwemo adhabu ya kunyongwa kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya ubadhilifu wa mali za umma.


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Nyakafuru, Halmashauri ya Mbogwe, mkoani Geita, Mpina alisisitiza kuwa matumizi mabaya ya kodi za wananchi yanawakosesha haki ya kupata huduma bora za kijamii, jambo linalosababisha madhara makubwa kwa jamii.

"Kutokana na mafisadi hawa wachache, bado tunashuhudia vifo vya wajawazito na watoto, wagonjwa wakikosa huduma muhimu hospitalini, elimu duni kutokana na ukosefu wa miundombinu bora ya kujifunzia na kufundishia, huku baadhi ya watu wachache wakigawana na kutafuna fedha hizo kwa tamaa," alisema Mpina.

Aidha, alibainisha kuwa alipowasilishwa kwa mara ya kwanza hoja hiyo bungeni, alikuwa Mbunge wa 121 kujiorodhesha kuunga mkono na hadi sasa wabunge 168 tayari wameunga mkono pendekezo hilo.


"Ninaamini katika Bunge lijalo la bajeti, hoja hii itajadiliwa kwa kina. Rais wetu aliunda tume ya maboresho ya kodi, nami nilichangia kwa kuandika ripoti yenye kurasa 235 kuhusu masuala ya kodi. Ripoti yangu ilibaini kuwa kila mwaka, takribani trilioni 42 zinapotea kutokana na ubadhilifu wa fedha za umma," aliongeza.

"Fedha za umma zikitumiwa vibaya, matokeo yake ni kwamba hospitali hazitakuwa na dawa wala madaktari wa kutosha. Watu wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma hizo muhimu? Watoto wangapi wamefariki kwa kukosa damu kwa sababu fedha zinaliwa na mafisadi?" alihoji Mpina.

Mbali na hayo, aliwataka wawakilishi wa wananchi kuepuka kuwa "machawa" wa viongozi wakubwa na badala yake wazingatie kusimamia maslahi ya wapiga kura wao.

Source: Nipashe
Nafikiri hata yeye pia ni kati ya watakao liwa kichwa!
 
Hio sheria itapita na makada wengi sana😂😂
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, ameiomba Serikali kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia na kupitisha sheria kali, ikiwemo adhabu ya kunyongwa kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya ubadhilifu wa mali za umma.


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Nyakafuru, Halmashauri ya Mbogwe, mkoani Geita, Mpina alisisitiza kuwa matumizi mabaya ya kodi za wananchi yanawakosesha haki ya kupata huduma bora za kijamii, jambo linalosababisha madhara makubwa kwa jamii.

"Kutokana na mafisadi hawa wachache, bado tunashuhudia vifo vya wajawazito na watoto, wagonjwa wakikosa huduma muhimu hospitalini, elimu duni kutokana na ukosefu wa miundombinu bora ya kujifunzia na kufundishia, huku baadhi ya watu wachache wakigawana na kutafuna fedha hizo kwa tamaa," alisema Mpina.

Aidha, alibainisha kuwa alipowasilishwa kwa mara ya kwanza hoja hiyo bungeni, alikuwa Mbunge wa 121 kujiorodhesha kuunga mkono na hadi sasa wabunge 168 tayari wameunga mkono pendekezo hilo.


"Ninaamini katika Bunge lijalo la bajeti, hoja hii itajadiliwa kwa kina. Rais wetu aliunda tume ya maboresho ya kodi, nami nilichangia kwa kuandika ripoti yenye kurasa 235 kuhusu masuala ya kodi. Ripoti yangu ilibaini kuwa kila mwaka, takribani trilioni 42 zinapotea kutokana na ubadhilifu wa fedha za umma," aliongeza.

"Fedha za umma zikitumiwa vibaya, matokeo yake ni kwamba hospitali hazitakuwa na dawa wala madaktari wa kutosha. Watu wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma hizo muhimu? Watoto wangapi wamefariki kwa kukosa damu kwa sababu fedha zinaliwa na mafisadi?" alihoji Mpina.

Mbali na hayo, aliwataka wawakilishi wa wananchi kuepuka kuwa "machawa" wa viongozi wakubwa na badala yake wazingatie kusimamia maslahi ya wapiga kura wao.

Source: Nipashe
Unadhani watakubali kujinyonga wenyewe
 
Ni sheria nzuri sana, maana tulipofikia,mafisadi wanatuona raia kama wapumbavu. Mimi nikiwa rais naanza na maafisa kwanza.
Yaani sekunde 1 baada ya kuapishwa, naanza mchakato wa kupeleka sheria bungeni ya kushughulika na mafisadi.
Ni kuwafilisi na kuweka jela miaka kuanzia 30.
 
Hati ya dharura kupitisha maslahi ya Wenza wa Viongozi. Hilo ndio Bunge la Tanzania.
 
Huyu aliyechukua ekari 1000 za kijiji cha Dalla huko Morogoro wakati anajua kijiji hakiruhusiwi kugawa zaidi ya ekari 50!
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, ameiomba Serikali kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia na kupitisha sheria kali, ikiwemo adhabu ya kunyongwa kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya ubadhilifu wa mali za umma.


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Nyakafuru, Halmashauri ya Mbogwe, mkoani Geita, Mpina alisisitiza kuwa matumizi mabaya ya kodi za wananchi yanawakosesha haki ya kupata huduma bora za kijamii, jambo linalosababisha madhara makubwa kwa jamii.

"Kutokana na mafisadi hawa wachache, bado tunashuhudia vifo vya wajawazito na watoto, wagonjwa wakikosa huduma muhimu hospitalini, elimu duni kutokana na ukosefu wa miundombinu bora ya kujifunzia na kufundishia, huku baadhi ya watu wachache wakigawana na kutafuna fedha hizo kwa tamaa," alisema Mpina.

Aidha, alibainisha kuwa alipowasilishwa kwa mara ya kwanza hoja hiyo bungeni, alikuwa Mbunge wa 121 kujiorodhesha kuunga mkono na hadi sasa wabunge 168 tayari wameunga mkono pendekezo hilo.


"Ninaamini katika Bunge lijalo la bajeti, hoja hii itajadiliwa kwa kina. Rais wetu aliunda tume ya maboresho ya kodi, nami nilichangia kwa kuandika ripoti yenye kurasa 235 kuhusu masuala ya kodi. Ripoti yangu ilibaini kuwa kila mwaka, takribani trilioni 42 zinapotea kutokana na ubadhilifu wa fedha za umma," aliongeza.

"Fedha za umma zikitumiwa vibaya, matokeo yake ni kwamba hospitali hazitakuwa na dawa wala madaktari wa kutosha. Watu wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma hizo muhimu? Watoto wangapi wamefariki kwa kukosa damu kwa sababu fedha zinaliwa na mafisadi?" alihoji Mpina.

Mbali na hayo, aliwataka wawakilishi wa wananchi kuepuka kuwa "machawa" wa viongozi wakubwa na badala yake wazingatie kusimamia maslahi ya wapiga kura wao.

Source: Nipashe
Na wezi wa kura pia wanyongwe kwa sababu ndio wanaenda kuwa mafisadi, tupambane na mzizi
 
Mpina anapoteza muda! Huwezi kupambana na Shetani ukiwa kwenye ngome yake! Yaani upambane na Mafisadi wa CCM ukiwa ndani ya CCM?
 
Back
Top Bottom