mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Na yeye ni mmojawapo ila hapo anaongea tu ili kuwafurahisha wananchi wamuone mwema.Nafikiri hata yeye pia ni kati ya watakao liwa kichwa!
Kama yuko serious na ni mzalendo wa kweli apiganie mishahara ya wabunge ipunguzwe hela zipelekwe mahospitalini.