Luhaga Mpina aungana na Bashe na kutuacha midomo wazi wakati sisi tulitaka huu mgogoro udumu milele

Luhaga Mpina aungana na Bashe na kutuacha midomo wazi wakati sisi tulitaka huu mgogoro udumu milele

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Hawa wanasiasa wa Tanzania siyo wa kuwaamini embu imagine Luaga Mpina alivyo mkanga Bashe na sisi wananchi tukaapa kumsapoti ila ajabu Leo waziri bashe amefanya ziara kisesa na kupokelewa na umati mkubwa ya watu wa kisesa pamoja na mbunge wao Luaga Mpina

Luaga Mpina ametupa sisi wakati mgumu.

Au tuseme zote hizo tuhuma za sukari Ilikuwa uzushi na uongo kwa kosa la kunyimwa uwaziri katika awamu hii ya Rais Samia Sululu ndio maan Mpina akawa mwiba chungu kwa Mawaziri wengi.

Soma Pia:
Luaga mpina wee ni Muoga, wewe una chuki hi nafsi moyoni mwako, na kuwa Spika Tulia alikuwa sahih kukutUpa nje ya Bunge kwa kusema uongo na uzandiki.
 
Acha ujinga luaga khaaa
 

Attachments

  • IMG_20240913_215307.jpg
    IMG_20240913_215307.jpg
    65.7 KB · Views: 2
Usimuamini msukuma narudia usimwamini msukuma hao watu vichwa vyao chenga.
Napigilia msumali..
Wasukuma ni
1 Wachawi sana, mtu anaweza akuroge ili tuu usipate choo..
2. Wachafu sanaa, kujisaidia nje ni jambo dogo sana kwao
3. Wezi sana, tena wizi wa vitu vya ajabu, mtu anayeiba kandambili huyo ni mwizi au juha?
4 Wanaroho mbaya tofauti na tulivyokua tunaaminishwa...
5. Wabinafsi sana, mgeni hufanyi jambo kwao kirahisi.
6. Mifumo ya kibabe, umeenda kwao mgeni, eti lazima ujiunge sijui na nzego, na unalipia, Hapa niliwapa somo likaeleweka.

Note Experience hii ni ya Wasukuma wa Bariadi, wanawaita sijui wanyantunzu, tena kwa mda mfupi sana...

Nasubiri mashambulizi, kutoka katika kila pembe ya nchi.
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi.
 
Napigilia msumali..
Wasukuma ni
1 Wachawi sana, mtu anaweza akuroge ili tuu usipate choo..
2. Wachafu sanaa, kujisaidia nje ni jambo dogo sana kwao
3. Wezi sana, tena wizi wa vitu vya ajabu, mtu anayeiba kandambili huyo ni mwizi mjina
4 Wanaroho mbaya tofauti na tulivyokua tunaaminishwa...
5. Wabinafsi sana, mgeni hufanyi jambo kwao kirahisi.

Note Experience hii ni ya Wasukuma wa Bariadi, wanawaita sijui wanyantunzu..

Nasubiri mashambulizi, kutoka katika kila pembe ya nchi nzima.
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi.
Mkuu umekabia juu sana, ungeacha na wengine watoe pass😂😂😂🙌
 
Napigilia msumali..
Wasukuma ni
1 Wachawi sana, mtu anaweza akuroge ili tuu usipate choo..
2. Wachafu sanaa, kujisaidia nje ni jambo dogo sana kwao
3. Wezi sana, tena wizi wa vitu vya ajabu, mtu anayeiba kandambili huyo ni mwizi mjina
4 Wanaroho mbaya tofauti na tulivyokua tunaaminishwa...
5. Wabinafsi sana, mgeni hufanyi jambo kwao kirahisi.

Note Experience hii ni ya Wasukuma wa Bariadi, wanawaita sijui wanyantunzu..

Nasubiri mashambulizi, kutoka katika kila pembe ya nchi nzima.
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi.
Hahajajja ni wezi sna wa vitu vidogo wengi hapa ddm ni wajenzi anaiba San Misumari na vitu vidogo na chuki ndani kwa ndani aanumia
 
Sasa asingekuwepo kwenye tukio hilo unadhani angeleta taswira gani katika chama. Kuna wakati tofauti zenu mnaweka pembeni mnasimama pamoja kwa maslahi mapana ya chama. Kwahiyo kuwepo kwake Leo hakubatilishi harakati zake dhidi ya Bashe.
 
Hali yangu baada ya kuona wamepatana
 

Attachments

  • IMG_20240912_200737.jpg
    IMG_20240912_200737.jpg
    56.3 KB · Views: 2
Napigilia msumali..
Wasukuma ni
1 Wachawi sana, mtu anaweza akuroge ili tuu usipate choo..
2. Wachafu sanaa, kujisaidia nje ni jambo dogo sana kwao
3. Wezi sana, tena wizi wa vitu vya ajabu, mtu anayeiba kandambili huyo ni mwizi au juha?
4 Wanaroho mbaya tofauti na tulivyokua tunaaminishwa...
5. Wabinafsi sana, mgeni hufanyi jambo kwao kirahisi.
6. Mifumo ya kibabe, umeenda kwao mgeni, eti lazima ujiunge sijui na nzego, na unalipia, Hapa niliwapa somo likaeleweka.

Note Experience hii ni ya Wasukuma wa Bariadi, wanawaita sijui wanyantunzu, tena kwa mda mfupi sana...

Nasubiri mashambulizi, kutoka katika kila pembe ya nchi nzima.
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi.
Huyu mtu Afungiwe JF kwa kosa la kuandika Ukweli mtupu bila kupunguza ukali wa maandishi, hali inayofanya wahanga wahisi kuingiliwa faragha zao.
 
Hawa wanasiasa wa Tanzania siyo wa kuwaamini embu imagine luaga mpina alivyo mkanga bashe na ss wananchi tukaapa kumsapoti ili huyu msomali arudi kwao mogadishu ila ajab Leo waziri bashe amefanya siara kisesa na kupokelewa na umati mkubwa ya watu wa kisesa pmj na mbunge wao luaga mpina

Luaga mpina ametupa ss wakt mgumu watu tunaoa mchukia huyu msomali wa mogadishu

Au tuseme zote hizo tuhuma za sukari Ilikuwa uzushi na uongo kwa kosa la kunyimwa uwaziri katk awamu hii ya samia sululu ndio maan mpina akawa mwiba chungu kwa Mawaziri wengi

Luaga mpina wee ni Muoga, wewe una chuki hi nafsi moyoni mwako, na kuwa spika tulia alikuwa sahih kukutUpa nnje ya bunge kwa kusema uongo na uzandiki
Mleta mada huna akili hata chembe,hutumii common sense ,na wengine wote mliochangia kutukana wasukuma ,eti wasukuma nyoko nyoko wote vichwani mwenu watupu kbs.

Mpina alitoa hoja yake ya sukari dhidi ya Bashe,hoja ilijadiliwa bungeni tunajua,Mpina alimpinga Bashe suala linalohusu sukari ila kumbuka Bashe Bado ni waziri,na ameenda pale kama waziri wa kilimo,mlitaka waziri wa kilimo aende jimboni kwake alafu mbunge wa pale asusie kuhudhuria kisa hoja ya sukari? Huo ni wendawazimu Sasa!
Hamjui kuwa waziri ni mwakilishi wa rais kwenye wizara ya kilimo!!! , Bashe akiwa Waziri ni serikali direct,kumgomea kisa hoja ya sukari ni kuonesha immaturity ya hali ya juu,lakini Pia kumgomea waziri ni kumgomea mwenyekiti wake wa chama aliyemteua waziri huyo ,Ebu mkue muache ujinga wa kutukana wasukuma,most of wasukuma Wana upeo mkubwa wa mambo na ni viongozi wa mfano kuliko nyie wakabila wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom