Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Inaonekana mambo yameendelea kuchemka huko CCM.
Imefikia hatua hata viongozi wa CCM wameanza kukosoa jinsi mchakato wa Uchaguzi Wa Serikali unavyoenda.
Soma pia: Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
Nimejiuliza tu, hivi kwa post hii, Luhaga Mpina atakuwa salama kweli au ndo watamfukuza uanachama na automatically kumvua Ubunge.
Inaonekana mambo yameendelea kuchemka huko CCM.
Imefikia hatua hata viongozi wa CCM wameanza kukosoa jinsi mchakato wa Uchaguzi Wa Serikali unavyoenda.
Soma pia: Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
Nimejiuliza tu, hivi kwa post hii, Luhaga Mpina atakuwa salama kweli au ndo watamfukuza uanachama na automatically kumvua Ubunge.