Luhaga Mpina kama kina Bashe, Polepole na wengine, anatafuta uteuzi tu

Luhaga Mpina kama kina Bashe, Polepole na wengine, anatafuta uteuzi tu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huo ndio ukweli mchungu kwani huwezi kuwa mzalendo na mwenye uchungu na nchi hii halafu ukawa mwana-CCM isipokuwa Nyerere, mtu kama Sokoine na wengine wachache sana.

Wengi huko ni wasaka fursa, fursa ambazo huwezi kuzipata ukiwa upinzani na wengine wako katika hicho chama ili wabaki salama baada ya kutupiga.

Huyu bwana nae akipata uteuzi atatulia kimya na hawezi kuwa kama Mrema wa miaka ya 90 mwanzoni aliyeweka uwaziri wake rehani kutetea na kulinda nchi yake.

Nawashangaa sana wadanganyika kwanini hatujifunzi ili hali tuna mifano mingi ya watu wa aina hii.

Kwakuwa hakuna mtawala anaependa kelele hasa kutoka kwa watu wa chamade chake, sitashangaa akalamba uteuzi ili anyamaze.

Swali ni je, kila anaepiga kelele ataweza kumpa uteuzi?

Kazi kwake.
 
mimi sasa hivi hao wabunge wao wakupita bila kupingwa hata siwasikilizagi
 
Chama kama chama hakina shida

Shida ni waliopo chamani.

Sasa Hilo haliondoi ukweli kua pamoja na kuwepo wanachama wasokua nanuchungu, Kuna wachache wenye uchungu ndo unakutana na Akina Mpina, Akina Bashe, Pole pole.


Kwani tuache unafiki na Siasa...Anachokiongea Mpina, sindo walio wengi mitaani wanayasema???.


Embu Tumuunge mkono ,tumtie nguvu .




Haya tuje kwenye Upinzani, Zito?? Huyuhuyu Fisadi Mzee wa 10%.
 
Huo ndio ukweli mchungu kwani huwezi kuwa mzalendo na mwenye uchungu na nchi hii halafu ukawa mwana-CCM isipokuwa Nyerere, mtu kama Sokoine na wengine wachache sana.

Wengi huko ni wasaka fursa, fursa ambazo huwezi kuzipata ukiwa upinzani na wengine wako katika hicho chama ili wabaki salama baada ya kutupiga.

Huyu bwana nae akipata uteuzi atatulia kimya na hawezi kuwa kama Mrema wa miaka ya 90 mwanzoni aliyeweka uwaziri wake rehani kutetea na kulinda nchi yake.

Nawashangaa sana wadanganyika kwanini hatujifunzi ili hali tuna mifano mingi ya watu wa aina hii.

Kwakuwa hakuna mtawala anaependa kelele hasa kutoka kwa watu wa chamade chake, sitashangaa akalamba uteuzi ili anyamaze.

Swali ni je, kila anaepiga kelele ataweza kumpa uteuzi?

Kazi kwake.
Mama akimteuwa mpina mchoma nyavu muhuni mteka mashine zetu Mimi nahama ccm nidharau kwa wavuvi
 
Huo ndio ukweli mchungu kwani huwezi kuwa mzalendo na mwenye uchungu na nchi hii halafu ukawa mwana-CCM isipokuwa Nyerere, mtu kama Sokoine na wengine wachache sana.

Wengi huko ni wasaka fursa, fursa ambazo huwezi kuzipata ukiwa upinzani na wengine wako katika hicho chama ili wabaki salama baada ya kutupiga.

Huyu bwana nae akipata uteuzi atatulia kimya na hawezi kuwa kama Mrema wa miaka ya 90 mwanzoni aliyeweka uwaziri wake rehani kutetea na kulinda nchi yake.

Nawashangaa sana wadanganyika kwanini hatujifunzi ili hali tuna mifano mingi ya watu wa aina hii.

Kwakuwa hakuna mtawala anaependa kelele hasa kutoka kwa watu wa chamade chake, sitashangaa akalamba uteuzi ili anyamaze.

Swali ni je, kila anaepiga kelele ataweza kumpa uteuzi?

Kazi kwake.
Umejisoma kwel pole pole alikuwa anatafuta uteuzi gan
 
Mama akimteuwa mpina mchoma nyavu muhuni mteka mashine zetu Mimi nahama ccm nidharau kwa wavuvi
Aaahhh kwamba Mpina Hana akili ,alijichukulia maamuzi tu kukamata na kuchoma nyavu???

Sasa kama nyavu hizo haziruhusiwi, ulitaka asizichome, ungeenda kuvulia nchi gan??

Au ulitaka aziache ili usiku mkafanye uvuvi haramu??


Ulivyo Mpuuzi wa Kiwango Cha SGR, ulichoangalia ni masilahi yako na sio Uhai wa Samaki , hujaangalia Utumiaji Sumu n.k ?




Usije ukaongea Huu UPUUZI mbele ya mkeo na watoto wako.
 
Huo ndio ukweli mchungu kwani huwezi kuwa mzalendo na mwenye uchungu na nchi hii halafu ukawa mwana-CCM isipokuwa Nyerere, mtu kama Sokoine na wengine wachache sana.

Wengi huko ni wasaka fursa, fursa ambazo huwezi kuzipata ukiwa upinzani na wengine wako katika hicho chama ili wabaki salama baada ya kutupiga.

Huyu bwana nae akipata uteuzi atatulia kimya na hawezi kuwa kama Mrema wa miaka ya 90 mwanzoni aliyeweka uwaziri wake rehani kutetea na kulinda nchi yake.

Nawashangaa sana wadanganyika kwanini hatujifunzi ili hali tuna mifano mingi ya watu wa aina hii.

Kwakuwa hakuna mtawala anaependa kelele hasa kutoka kwa watu wa chamade chake, sitashangaa akalamba uteuzi ili anyamaze.

Swali ni je, kila anaepiga kelele ataweza kumpa uteuzi?

Kazi kwake.
Acha ajiongeleshe atapuuzwa kama Kigwangala licha ya kujipendekeza lakini hakupata uteuzi eti saizi anadai Katiba mpya huko Twitter 🤣🤣
 
Aaahhh kwamba Mpina Hana akili ,alijichukulia maamuzi tu kukamata na kuchoma nyavu???

Sasa kama nyavu hizo haziruhusiwi, ulitaka asizichome, ungeenda kuvulia nchi gan??

Au ulitaka aziache ili usiku mkafanye uvuvi haramu??


Ulivyo Mpuuzi wa Kiwango Cha SGR, ulichoangalia ni masilahi yako na sio Uhai wa Samaki , hujaangalia Utumiaji Sumu n.k ?




Usije ukaongea Huu UPUUZI mbele ya mkeo na watoto wako.
Wewe haramia uliozaliwa kwanjia yanyuma kilasiku nimekuwa nikitoa habari humu sisi kata yetu hatuna uvuvi haram walituomba tuwaonyeshe zana tunazotumia tuliwaonyesha nawalisema zipo sawa kabisa lakini wao wametumwa pesa kama hutoi pesa licha yakuonesha leseni wanachoma wanachoma sikwasababu niharam aukukosa leseni bali wametumwa pesa ilikutisha wengine wakiona unachelewa wanachoma walio toa pesa mapema waliachiwa waliochomewa walichukuliwa vifaa kama mashine uwende ukanunue mashine yako kwao
Sasawewe unaita uvuvi haram je serekali inatoa leseni kwa kitu haram? Ukiwapa pesa wanakuacha namanyavu yako inakuwa halali wehu kabisa na ukwapuaji kama panya road
 
Si ameshapewa tayari ubalozi! Umemsikia tena kuanzia siku ile?
Ndugu yangu www fikiria vizuri HIV kuna mtu atataka ubalozi halafu aukimbie ubunnge? Haiwezkan? Hadhi ya ubunnge ni kubwa kimaslah na kila kitu, nan anapenda kukaa bench huko nchi za watu,? Ubalozi Kwa pole pole ni demotion na kimziba mdomo ndugu yangu. Koz akijfanya ana kamdomo chap anatenguliwa. Lione hili. Maboloz kipindi Cha uchaguz wanakuja kuhangaikia ubunnge.
 
Some tena uelewe nilichosema kabla ya kuchangia.
Nieleweshe mtia mada, kwamba pole pole alikuwa anatafuta uteuzi, wakati anacheo kikubwa ambacho kila mtanzania anakitamn. Wakuu wa mikoa wanataka ubunnge, mabaloz wanatka ubunge
 
Huo ndio ukweli mchungu kwani huwezi kuwa mzalendo na mwenye uchungu na nchi hii halafu ukawa mwana-CCM isipokuwa Nyerere, mtu kama Sokoine na wengine wachache sana.

Wengi huko ni wasaka fursa, fursa ambazo huwezi kuzipata ukiwa upinzani na wengine wako katika hicho chama ili wabaki salama baada ya kutupiga.

Huyu bwana nae akipata uteuzi atatulia kimya na hawezi kuwa kama Mrema wa miaka ya 90 mwanzoni aliyeweka uwaziri wake rehani kutetea na kulinda nchi yake.

Nawashangaa sana wadanganyika kwanini hatujifunzi ili hali tuna mifano mingi ya watu wa aina hii.

Kwakuwa hakuna mtawala anaependa kelele hasa kutoka kwa watu wa chamade chake, sitashangaa akalamba uteuzi ili anyamaze.

Swali ni je, kila anaepiga kelele ataweza kumpa uteuzi?

Kazi kwake.
Ni Waziri katili sana na ana roho mbaya sana, akipita Kanda ya ziwa anatembea kwa kujificha, anachukiwa sana huko
 
mimi sasa hivi hao wabunge wao wakupita bila kupingwa hata siwasikilizagi
Luhaga Mpina mwenyewe alishakataliwa kwao, ashukuru tu DED wa mwendazake walitumia ubabe kubadili matokeo.
 
Nieleweshe mtia mada, kwamba pole pole alikuwa anatafuta uteuzi, wakati anacheo kikubwa ambacho kila mtanzania anakitamn. Wakuu wa mikoa wanataka ubunnge, mabaloz wanatka ubunge
Hujui wenzako target yao hua ni zaid ya huo ubunge?

Bashe wakati wa Magu si alikuwa kama huyo Mpina leo hii?

Unadhani na huyo Mpina hajajifunza kwa Polepole?

Wenzako wakishajua udhaofu wa Mtawala, wanapita mule mule mradi mambo yao yaende.

Na Nkamia katuthibitishia tabia zao za kufanya kile watawala wanachopenda.
 
Hujui wenzako target yao hua ni zaid ya huo ubunge?

Bashe wakati wa Magu si alikuwa kama huyo Mpina leo hii?

Unadhani na huyo Mpina hajajifunza kwa Polepole?

Wenzako wakishajua udhaofu wa Mtawala, wanapita mule mule mradi mambo yao yaende.

Na Nkamia katuthibitishia tabia zao za kufanya kile watawala wanachopenda.
Hakna mbunge anapenda Kuwa balozi ndgu,Rud Shule ya siasa ujifunze Hilo, Ili wakati mwingne usaidie wengine. Ila wapo wasakatonge kma wabunge wanataka Kuwa mawazir hpo SAWA. Ila Kwa pole pole ndugu hyko Aliko anaumia Sana. Ni vile tu hana jinsi.
 
Back
Top Bottom