masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
🤔📝🆒Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Utaona kwamba kinacho mshawishi Luhaga Mpina Kuhusu kuanzishwa uchunguzi kwasababu za Utata wa Kifo cha Hayat Rais J.P. Magufuli is warrantedKwani wewe mudakitali?
Kwani the system aka DP wana maoni gani?Kabla hujatuhumu jiulize kwanini sasa yasemwe hayo!!?
Kwanini yametolewa matamko fulani kuhusu hayo yanayoleta uwalakini!!?
Katumwa na na nani!!?hujui Raise ni mali ya jamuhuri!!?
Haya mambo ya kimfumo tuwaachie wenyewe tusubiri ripoti TU ya uchunguzi kama wataridhia uchunguzi ufanyike!!
Juu ni sehemu ya Wadau walioona mazuri ya Hayat Rais. Hatahivyo, chini ni majibu yaliyojaa chenga za njama dhidi ya Hayat Rais Magufuli- soma vizuri au fuatilia nyuzi kwa kugonga nukuuKimsingi hakuna rais aliyeijenga hii nchi Kama Magufuli hata Nyerere alikuwa na maono lkn uchumi ulimbana Magu kajenga nchi bwana hajapata kutokea mwingine,tusifu tu lkn hata tunaowasifu wanaujua ukweli.
Alimuua nani?Ukifanya mazuri mengi lakini ukiua mara moja tu, mkono wa sheria uko juu yako.
Huo ni upanga gani?Hekima katika uongozi ni muhimu sana.
Hakuna kitu cha udhalimu chini ya jua ambacho hakima malipo hapa hapa duniani.
Na madaraka yoyote ni kama upanga wa pande mbili, ukikata kwa udhalimu, upanga nao utakukata.
Fuatilia ujiridhishe.
Mtake msitake lazima uchunguzi ufanyike mbivu na mbichi zijulikane, na hiyo tayari ilishewekewa mpango. Tatizo lenu lilikuwa ni kutekeleza mauaji na kuanza kuropoka ropoka na vijembe kuonesha kuwa eti mlifanya sahihi eti wazee walichoka wakaona inatosha ndiyo maana wazuri hawafi hahaha , yaani kwa kauli zenu wenyewe mmejikaanga sana kujionesha Dkt Magufuli mlimuuaLuhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Can you prove your statement without any doubt?Kuna kundi kubwa sana nyuma ya Magufuli ideology, who ever take that opportunity will go very far, Magufuli ideology lives among fools, unfortunately fools are many....
Can you prove your statement without any doubt?
Kwamba Magufuli aliuwawa si sera ya maendeleo ya chama.Mtake msitake lazima uchunguzi ufanyike mbivu na mbichi zijulikane, na hiyo tayari ilishewekewa mpango. Tatizo lenu lilikuwa ni kutekeleza mauaji na kuanza kuropoka ropoka na vijembe kuonesha kuwa eti mlifanya sahihi eti wazee walichoka wakaona inatosha ndiyo maana wazuri hawafi hahaha , yaani kwa kauli zenu wenyewe mmejikaanga sana kujionesha Dkt Magufuli mlimuua
Nyie wauaji wa rais wetu ndiyo mnajua ndiyo maana mtajielezaKwamba Magufuli aliuwawa si sera ya maendeleo ya chama.
Halafu mjiridhishe kuwa liko wapi fsili la Mirembe.
Mkuu ridhika kuwa it was a natural death, kwa kiherehere chenu muweke ushahidi wenu kuwa aliuwawa.Nyie wauaji wa rais wetu ndiyo mnajua ndiyo maana mtajieleza
Ushahidi bosi upo mwingi sana tena mwingi mno maana hata kauli tu za wauaji akina nt na s100 vinathibitisha walimuua tena wanafuraha mno kuwa walimuua na wewe unajua mpaka yule babu marope akasema eti wazee walisema wamechoka wakasema sasa basi wazuri hawafi inathibitisha walimuua Dkt Magufuli.Mkuu ridhika kuwa it was a natural death, kwa kiherehere chenu muweke ushahidi wenu kuwa aliuwawa.
Na kama mbao ushahidi kwa nini hamuendi polisi?
Usilazimishe ushahidi usio na mashiko.Ushahidi bosi upo mwingi sana tena mwingi mno maana hata kauli tu za wauaji akina nt na s100 vinathibitisha walimuua tena wanafuraha mno kuwa walimuua na wewe unajua mpaka yule babu marope akasema eti wazee walisema wamechoka wakasema sasa basi wazuri hawafi inathibitisha walimuua Dkt Magufuli.
Kwenye kifo bosi huwa hatuleti utani aisee, yaani useme eti unamshukuru mungu umepata urais kwa kudra za mwenyezi mungu??? Maana yake umemuua mwenzako uwe rais????Usilazimishe ushahidi usio na mashiko.
Uliowataja wanaweza kuwa hawakumpenda Magufuli kama wewe, na hakuna sheria ilitungwa kumpenda Magufuli.
Msijidsi kutokujua kuwa Magufuli alibambika watu wengi sana kesi za kughushi za uhujumu.
Hilo peke yake lilimtengenezea maadui wengi wasio wa lazima.
MKUU USITOKE POVU, ATAKUWA NA USHAHIDI WA KUTOSHA SIO KICHAA YULE.Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?