Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
I am asking for proof not belief.. just calm down BrethrenWho cares if you do not believe, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off bitch. How much do you pay me to educate a fool?
Ametumwa na wapiga kura wake wewe macho kodo kwenye ugali 😂😂😂😂Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Tusiweweseke tumwache aseme, huenda yapo mengi mazito, tukimshambulia kwa maneno ni ishara tosha kuwa kuna jambo linafichwaLuhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Kwahiyo hapo ndiyo umejibu hoja za mpina?! Bado tuna safari ndefuUwenda wazimu wake na frustrations tu... +wivu na chuki binafsi.
I am asking for proof not belief.. just calm down Brethren
Wakichunguza mniue saa sita mchana mbele ya TBC Terevision livetusubiri ripoti TU ya uchunguzi kama wataridhia uchunguzi ufanyike!!
Ah!..ah...!Kuna jamaa angu anaitwa Victor Molel na kaka yake anaitwa Lanyuni, usikute ndo wewe aisee?
1) mitkaaba ya kitapeli ,43 ipelekwe bungeniLuhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
SimbaLuhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Haiwezekan na haitawezekanaKabla hujatuhumu jiulize kwanini sasa yasemwe hayo!!?
Kwanini yametolewa matamko fulani kuhusu hayo yanayoleta uwalakini!!?
Katumwa na na nani!!?hujui Raise ni mali ya jamuhuri!!?
Haya mambo ya kimfumo tuwaachie wenyewe tusubiri ripoti TU ya uchunguzi kama wataridhia uchunguzi ufanyike!!
Watu wanalamba asali wewe tulia kimyaSasa Luhaga Kakosa Nini??? Kasema hela zimetoroshwa na zimeibwa kwanini msijibu hoja?? Kwamba hela hizi hapa hazijaibiwa mnamshambulia binafsi yaani nchi ina watu wajinga sana
MIAKA 7000 HAITASOGEA mbele nyie wanafiki ndio mnaumiza nchi hiyo.
Barabara zimezidiwa mpaka sasa unaweza kutumia saa 10 kutoka Dodoma mpaka Dar kim 425 halafu mtu mpuuzi anasema nchi iko vizuri.Acheni ujinga nyie.
Hakuna uchunguzi utakaofanyikaJuu ni sehemu ya Wadau walioona mazuri ya Hayat Rais. Hatahivyo, chini ni majibu yaliyojaa chenga za njama dhidi ya Hayat Rais Magufuli- soma vizuri au fuatilia nyuzi kwa kugonga nukuu
Alimuua nani?
Huo mkono ni Mkono Upi?
Huo ni upanga gani?
Kuna crypted Messages hapa JF. Nashauri Mahakama zitoe muongozo nyuzi nyingi zipitiwe na kuhifadhiwa tayari kwa Uchunguzi na wahusika wote wa messages kama hizi wachunguzwe. Walijua nini?
Peleka upumbavu wako hukoMtake msitake lazima uchunguzi ufanyike mbivu na mbichi zijulikane, na hiyo tayari ilishewekewa mpango. Tatizo lenu lilikuwa ni kutekeleza mauaji na kuanza kuropoka ropoka na vijembe kuonesha kuwa eti mlifanya sahihi eti wazee walichoka wakaona inatosha ndiyo maana wazuri hawafi hahaha , yaani kwa kauli zenu wenyewe mmejikaanga sana kujionesha Dkt Magufuli mlimuua
We hupendi kulamba asali?Can you prove your statement without any doubt?
Tulia wewe tulambe asaliNyie wauaji wa rais wetu ndiyo mnajua ndiyo maana mtajieleza
Acha ujinga wako wewe mpumbavuUshahidi bosi upo mwingi sana tena mwingi mno maana hata kauli tu za wauaji akina nt na s100 vinathibitisha walimuua tena wanafuraha mno kuwa walimuua na wewe unajua mpaka yule babu marope akasema eti wazee walisema wamechoka wakasema sasa basi wazuri hawafi inathibitisha walimuua Dkt Magufuli.
Kwani hofu yako ni nini? Ulihusika?Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.
Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.
Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Shikamoo mbarika nisamehe kama nimekukera mbarika, mimi ni mjumbe tu mtoa taarifa ambazo zipo kila sehemu juu ya wauaji wa Dkt Magufuli na marope ni moja ya wahusika kwa kauli yake aliyoitamka kuwa wazuri hawafi na wazee walichoka hivyo wakamuua Dkt Magufuli.Acha ujinga wako wewe mpumbavu
Unaropoka tuu
Kaa tulia ulambe asali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kaa kwa kutuliaHii nchi ukifukua kaburi moja inatoka misukule mia mbili...!
Kilichobaki "TUSIFUKUE MAKABURI"
Nimetoka Chato juzi daaah!...