Luhaga Mpina katumwa na nani?

A Ametumwa na wapiga kura wake wewe macho kodo kwenye ugali 😂😂😂😂
 
Tusiweweseke tumwache aseme, huenda yapo mengi mazito, tukimshambulia kwa maneno ni ishara tosha kuwa kuna jambo linafichwa
 
1) mitkaaba ya kitapeli ,43 ipelekwe bungeni
3).Kifo Cha dhalimu kichngizwe
3) wakuu wa mashirika wapitie usail

Naunga mkono hoja zake ingawa natilia shaka uzalendo wake
 
Simba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Haiwezekan na haitawezekana
Hakuna uchunguzi hapa


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanalamba asali wewe tulia kimya
We hupendi kulamba asali??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna uchunguzi utakaofanyika
Tulien mfanye kazi


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Peleka upumbavu wako huko
Labda huo uchunguzi ufanye wewe

Wahuni nyie
Hakuna uchunguzi utakaofanyika hapa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga wako wewe mpumbavu
Unaropoka tuu
Kaa tulia ulambe asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hofu yako ni nini? Ulihusika?
 
Acha ujinga wako wewe mpumbavu
Unaropoka tuu
Kaa tulia ulambe asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shikamoo mbarika nisamehe kama nimekukera mbarika, mimi ni mjumbe tu mtoa taarifa ambazo zipo kila sehemu juu ya wauaji wa Dkt Magufuli na marope ni moja ya wahusika kwa kauli yake aliyoitamka kuwa wazuri hawafi na wazee walichoka hivyo wakamuua Dkt Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…